Changamoto na Ubora wa wanawake wa Rufiji (Wandengereko)

Changamoto na Ubora wa wanawake wa Rufiji (Wandengereko)

Udochi

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2015
Posts
787
Reaction score
1,056
Habari zenu wakuu.

Niende kwenye mada kabisa.

Kuna ndugu yangu yeye ni mjasiriamali anaishi Dar es Salaam
Katika pilika za maisha kakutana na binti wa Kindengereko kutoka Rufiji ila naye anaishi Dar.

Jamaa amevutiwa na binti kwa mwonekano wa nje kama vile mavazi ya binti ni ya heshima na kujisitiri sana,
Kutii yale anayomwelekeza na lugha nzuri katika mazungumzo.

Wamefahamiana kwa miezi miwili,
Na ndugu kapata fikra za kumtambulisha binti kwao
Naye kwenda kutambulishwa kwa binti
Ili wakijaaliwa waje waoane.


Lengo la Uzi:
Kwa wenyeji au wanaowafahamu wanawake wa Hii Jamii wataje changamoto zao na ubora wao ili jamaa ajiandae ama kukabiliana au kukubaliana nazo.

Karibuni.
 
Mkuu kwani ukisema wew ndo unayeoa utapungukiwa nini.... JF ni shule usiogope mtu la sivyo hutofanikiwa kama unaficha hata kwenye jambo la kutaka kujua
 
Ubora wao uko kwenye mapenzi kitandani tu, ila changamoto yao, ni ngumu kuishi naye mikoa mingine tofauti na dar, lindi, pwani na mtwara, kwani ni lazima aishi mikoa hiyo ambako kuna wenzake kwani kila siku ni shughuri tu, lazima ahudhurie. Ukimpeleka mbali ataishi kama yupo guantanamo prison, hivyo hawezi, kwani makabila mengine hayo hawana, pili kila leo atatakiwa kwenda kwao kuhudhuria ngoma na ni lazima, bora auze kabati apate nauli, sasa awe huko MUGUMU, kweli si utamtesa?

Kingine wao inshu ya kuachika wala haimtishi hata, kwanza kuachika sana kwao ndio anaonekana PROFESA, MWANDAMIZI, na ni sifa kwa jamii yake iliyotukuka!! Na cha mwisho wao bwana kuwa na wanaume watatu kwa wakati mmoja ni kawaida tu na hana wivu ki vile kwa mme wake. Nimeishi nao huko utete rufiji hiki ninachokiongea nakijua hasa, ila una weza jilipua tu, huwezi jua labda inaweza kuwa ndio ile %inayobakia ya kutimiza kitu kizima. 0.1.
 
Ubora wao uko kwenye mapenzi kitandani tu, ila changamoto yao, ni ngumu kuishi naye mikoa mingine tofauti na dar, lindi, pwani na mtwara, kwani ni lazima aishi mikoa hiyo ambako kuna wenzake kwani kila siku ni shughuri tu, lazima ahudhurie. Ukimpeleka mbali ataishi kama yupo guantanamo prison, hivyo hawezi, kwani makabila mengine hayo hawana, pili kila leo atatakiwa kwenda kwao kuhudhuria ngoma na ni lazima, bora auze kabati apate nauli, sasa awe huko MUGUMU, kweli si utamtesa?

Kingine wao inshu ya kuachika wala haimtishi hata, kwanza kuachika sana kwao ndio anaonekana PROFESA, MWANDAMIZI, na ni sifa kwa jamii yake iliyotukuka!! Na cha mwisho wao bwana kuwa na wanaume watatu kwa wakati mmoja ni kawaida tu na hana wivu ki vile kwa mme wake. Nimeishi nao huko utete rufiji hiki ninachokiongea nakijua hasa, ila una weza jilipua tu, huwezi jua labda inaweza kuwa ndio ile %inayobakia ya kutimiza kitu kizima. 0.1.
Lazima akubaliwe kwenda ngomani. Akose vyote lakini huko lazima aende.
Ya ngomani lazima uyajue. Watu watamla sana huko.
 
Wanawake wa utete, ikwriri, Nyamwage n.k ni wanawake wazuri sana yaani hutojutia mzee ila wanapenda sana shughuli, si unajua tena wana mwambao tunapenda sana mambo ya unyago na jando.
 
Mzee wa fm pub, na mtangebandu
Ubora wao uko kwenye mapenzi kitandani tu, ila changamoto yao, ni ngumu kuishi naye mikoa mingine tofauti na dar, lindi, pwani na mtwara, kwani ni lazima aishi mikoa hiyo ambako kuna wenzake kwani kila siku ni shughuri tu, lazima ahudhurie. Ukimpeleka mbali ataishi kama yupo guantanamo prison, hivyo hawezi, kwani makabila mengine hayo hawana, pili kila leo atatakiwa kwenda kwao kuhudhuria ngoma na ni lazima, bora auze kabati apate nauli, sasa awe huko MUGUMU, kweli si utamtesa?

Kingine wao inshu ya kuachika wala haimtishi hata, kwanza kuachika sana kwao ndio anaonekana PROFESA, MWANDAMIZI, na ni sifa kwa jamii yake iliyotukuka!! Na cha mwisho wao bwana kuwa na wanaume watatu kwa wakati mmoja ni kawaida tu na hana wivu ki vile kwa mme wake. Nimeishi nao huko utete rufiji hiki ninachokiongea nakijua hasa, ila una weza jilipua tu, huwezi jua labda inaweza kuwa ndio ile %inayobakia ya kutimiza kitu kizima. 0.1.
 
Habari zenu wakuu.

Niende kwenye mada kabisa.

Kuna ndugu yangu yeye ni mjasiriamali anaishi Dar es Salaam
Katika pilika za maisha kakutana na binti wa Kindengereko kutoka Rufiji ila naye anaishi Dar.

Jamaa amevutiwa na binti kwa mwonekano wa nje kama vile mavazi ya binti ni ya heshima na kujisitiri sana,
Kutii yale anayomwelekeza na lugha nzuri katika mazungumzo.

Wamefahamiana kwa miezi miwili,
Na ndugu kapata fikra za kumtambulisha binti kwao
Naye kwenda kutambulishwa kwa binti
Ili wakijaaliwa waje waoane.


Lengo la Uzi:
Kwa wenyeji au wanaowafahamu wanawake wa Hii Jamii wataje changamoto zao na ubora wao ili jamaa ajiandae ama kukabiliana au kukubaliana nazo.

Karibuni.

Wengi wao kazi za ndoto zao ni kuuza chakula kama mama lishe au kuajiriwa kwa mama lishe au kuwa na vibiashara vidogo vidogo!

Unampa laki tano anaenda kununulia vijora ndugu zake mpaka marafiki na kuwalipia kuchora hina, yaan hapo ndiyo tajiri wa ukoo! Anachojali anabakisha 50,000 tu ya mtaji wa kuuzia vitumbua 😂😂😂

Hawataki presha za mamilioni!
 
Wengi wao kazi za ndoto zao ni kuuza chakula kama mama lishe au kuajiriwa kwa mama lishe au kuwa na vibiashara vidogo vidogo!

Unampa laki tano anaenda kununulia vijora ndugu zake mpaka marafiki na kuwalipia kuchora hina, yaan hapo ndiyo tajiri wa ukoo! Anachojali anabakisha 50,000 tu ya mtaji wa kuuzia vitumbua [emoji23][emoji23][emoji23]

Hawataki presha za mamilioni!
[emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Habari zenu wakuu.

Niende kwenye mada kabisa.

Kuna ndugu yangu yeye ni mjasiriamali anaishi Dar es Salaam
Katika pilika za maisha kakutana na binti wa Kindengereko kutoka Rufiji ila naye anaishi Dar.

Jamaa amevutiwa na binti kwa mwonekano wa nje kama vile mavazi ya binti ni ya heshima na kujisitiri sana,
Kutii yale anayomwelekeza na lugha nzuri katika mazungumzo.

Wamefahamiana kwa miezi miwili,
Na ndugu kapata fikra za kumtambulisha binti kwao
Naye kwenda kutambulishwa kwa binti
Ili wakijaaliwa waje waoane.


Lengo la Uzi:
Kwa wenyeji au wanaowafahamu wanawake wa Hii Jamii wataje changamoto zao na ubora wao ili jamaa ajiandae ama kukabiliana au kukubaliana nazo.

Karibuni.
Ila ufahamu.wandengereko asili yao ni Iringa...yaani wandengereko ni Wahehe waliotoka Iringa kuja Rufuji na wengine Kilwa wakati biashara karibu miaka 300 iliyopita...
 
Back
Top Bottom