Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 220
samahani wandugu, hivi watu kaama, mwanakijij ni mwansiasa?, companero, de novo, luteni nk. wako wapi? ................... hivi wameshindwa kukomemnti chochote hata kwa mwanasiasa huyu aliyejileta live........... kasema sera zake na alichofanya huko na alichokutana nacho................... halafu wanajidai kuleta makala ndefu za kisisasa ... eti wanachambua siasa, kwani hii si siasa.????????????///// kila siku mnaponda CCM kwani huyu si mwansiasa toka CCM???? nimegundua hapa hakuna hoja ya maana watu wanpulizia tu kwa ushabuki..................
nahisi hapa JF kuna wababaishaji na mashabiki tu. kama haya yangeandikwa na mwanakijiji ungeona mathanks meeeeengi, na michango kedekede............... juzi mwankijiji kasema ni CCJ yeye anaita sisijuu............... watu acha wamquote, na mathanks juuu!!!!!!!!!!!..............
kweli hapa akija great thinker wa kweli atakatishwa tamaa kabisa.............. tukiendelea hivi JF itaendelea kudharauliwa, magreat thinkers wanachangia kwa ushabiki????? very sad!!!!!!!!!!!.....................
nahisi hapa JF kuna wababaishaji na mashabiki tu. kama haya yangeandikwa na mwanakijiji ungeona mathanks meeeeengi, na michango kedekede............... juzi mwankijiji kasema ni CCJ yeye anaita sisijuu............... watu acha wamquote, na mathanks juuu!!!!!!!!!!!..............
kweli hapa akija great thinker wa kweli atakatishwa tamaa kabisa.............. tukiendelea hivi JF itaendelea kudharauliwa, magreat thinkers wanachangia kwa ushabiki????? very sad!!!!!!!!!!!.....................