KERO Changamoto utoaji huduma Safi Shule ya Makabe

KERO Changamoto utoaji huduma Safi Shule ya Makabe

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Uchumikati

Member
Joined
Dec 8, 2020
Posts
82
Reaction score
97
Hii shule ya Safi (Safi School) iliyopo makabe imekua shule ya hovyo sana kwa sasa kwenye utoaji huduma. Kwanza nikiri kilichonisukuma kuleta huu uzi ni upuuzi wao waliotufanyia wazazi hii January kutopokea watoto ambao hawajalipa ada yote.

Hapa ndio wametukera wazazi, hivi kweli mzazi unalipa laki 5 January hii na wanagoma kumpokea mtoto? Kweli? Halafu tena hapo umewafuata na kuwaomba ada utaongezea mwisho wa mwezi January na bado wanakataa, really?

Huu ni utapeli mkubwa,imagine ni wazazi wangapi wamelipa pesa nusu na bado watoto wamerudishwa the whole of January hawajasoma meanwhile pesa zetu wamepokea zinaendelea kutumika kwenye shughuli zao. Na wanaona kabisa malalamiko ya wazazi kwenye WhatsApp groups ila full madharau. Hii ni fair? Sometimes wakipokea watoto ambao wanadaiwa ada wanaenda kuwafungia TV room siku nzima, hivi hii ni akili kweli?

Hii shule kwa sasa wamekua wabinafsi mno na hawajali kabisa other stakeholders na ndio maana hata ada wanapandisha kiholela sana. Bora huduma yao ingekuwa standard tusingelalamika,ila sasa kwa huduma zao zilivyo za kawaida mnatufanyia wazazi maringo kiasi hiki? Magari mabovu,walimu turnover kubwa kila mara mnaleta wapya,vitabu mnatoa mwisho wa muhula,chakula kibovu watoto hadi wanalalamika kukuta mende na buibui kwenye chakula na bado hatukuamua kuwaexpose ili kuwalinda mu-improve.

Shule kama hizi ndio zinafanya shule za kulipia zionekane mzigo mzito wakati si kweli. Bahati mbaya nimeshindwa kumhamisha mtoto sababu yupo darasa la mtihani, ila next year hamnioni namhamisha mapema sana maana hamna upeo wa kuona value for money,na consideration kwa wazazi ambao ni stakeholders wakubwa. by the way sishauri upeleke mtoto wako hapo.
 
Hii shule imekua shule ya hovyo sana kwa sasa kwenye utoaji huduma. Kwanza nikiri kilichonisukuma kuleta huu uzi ni upuuzi wao waliotufanyia wazazi hii January kutopokea watoto ambao hawajalipa ada yote. Hapa ndio wametukera wazazi, hivi kweli mzazi unalipa laki 5 January hii na wanagoma kumpokea mtoto? Kweli? Halafu tena hapo umewafuata na kuwaomba ada utaongezea mwisho wa mwezi January na bado wanakataa, really? Huu ni utapeli mkubwa,imagine ni wazazi wangapi wamelipa pesa nusu na bado watoto wamerudishwa the whole of January hawajasoma meanwhile pesa zetu wamepokea zinaendelea kutumika kwenye shughuli zao. Na wanaona kabisa malalamiko ya wazazi kwenye WhatsApp groups ila full madharau. Hii ni fair? Sometimes wakipokea watoto ambao wanadaiwa ada wanaenda kuwafungia TV room siku nzima, hivi hii ni akili kweli?
Hii shule kwa sasa wamekua wabinafsi mno na hawajali kabisa other stakeholders na ndio maana hata ada wanapandisha kiholela sana. Bora huduma yao ingekuwa standard tusingelalamika,ila sasa kwa huduma zao zilivyo za kawaida mnatufanyia wazazi maringo kiasi hiki? Magari mabovu,walimu turnover kubwa kila mara mnaleta wapya,vitabu mnatoa mwisho wa muhula,chakula kibovu watoto hadi wanalalamika kukuta mende na buibui kwenye chakula na bado hatukuamua kuwaexpose ili kuwalinda mu-improve. Shule kama hizi ndio zinafanya shule za kulipia zionekane mzigo mzito wakati si kweli.
Bahati mbaya nimeshindwa kumhamisha mtoto sababu yupo darasa la mtihani, ila next year hamnioni namhamisha mapema sana maana hamna upeo wa kuona value for money,na consideration kwa wazazi ambao ni stakeholders wakubwa..by the way sishauri upeleke mtoto wako hapo watakuona kama takataka.
Neenda ukaongee na mualimu mkuu umueleze kinacho kusibu kuliko kuja huko mtandaoni, nawenyewe ni binaadamu wanasikiliza, kusomesha mtoto EMs onahitaji moyo determination uvumilivu na sacrifice, otherwise utampeleka kwenye hizo shule za wakina LIKUD za kupoteza mda wa watoto.
 
Kwani makubaliano au mkataba wenu ukoje??
Sisi wabongo ni wepesi wa kutaka kuonewa huruma hata kwenye mambo ya kufata sheria.

Huko nyuma ilikuaje, na mkienda sababu mnaambiwa ni nini mpaka wawakazie??
 
Hii shule imekua shule ya hovyo sana kwa sasa kwenye utoaji huduma. Kwanza nikiri kilichonisukuma kuleta huu uzi ni upuuzi wao waliotufanyia wazazi hii January kutopokea watoto ambao hawajalipa ada yote. Hapa ndio wametukera wazazi, hivi kweli mzazi unalipa laki 5 January hii na wanagoma kumpokea mtoto? Kweli? Halafu tena hapo umewafuata na kuwaomba ada utaongezea mwisho wa mwezi January na bado wanakataa, really? Huu ni utapeli mkubwa,imagine ni wazazi wangapi wamelipa pesa nusu na bado watoto wamerudishwa the whole of January hawajasoma meanwhile pesa zetu wamepokea zinaendelea kutumika kwenye shughuli zao. Na wanaona kabisa malalamiko ya wazazi kwenye WhatsApp groups ila full madharau. Hii ni fair? Sometimes wakipokea watoto ambao wanadaiwa ada wanaenda kuwafungia TV room siku nzima, hivi hii ni akili kweli?
Hii shule kwa sasa wamekua wabinafsi mno na hawajali kabisa other stakeholders na ndio maana hata ada wanapandisha kiholela sana. Bora huduma yao ingekuwa standard tusingelalamika,ila sasa kwa huduma zao zilivyo za kawaida mnatufanyia wazazi maringo kiasi hiki? Magari mabovu,walimu turnover kubwa kila mara mnaleta wapya,vitabu mnatoa mwisho wa muhula,chakula kibovu watoto hadi wanalalamika kukuta mende na buibui kwenye chakula na bado hatukuamua kuwaexpose ili kuwalinda mu-improve. Shule kama hizi ndio zinafanya shule za kulipia zionekane mzigo mzito wakati si kweli.
Bahati mbaya nimeshindwa kumhamisha mtoto sababu yupo darasa la mtihani, ila next year hamnioni namhamisha mapema sana maana hamna upeo wa kuona value for money,na consideration kwa wazazi ambao ni stakeholders wakubwa..by the way sishauri upeleke mtoto wako hapo watakuona kama takataka.
Si mnajifanya mnazo? Pambana! Wewe unaweza kwenda dukani na hela nusu ukapewa kitu kizima? Nayeye mwenye shule anataka hela yote ili apange mipango kamili! Usimpangie mwenye shule jinsi ya kuendesha shule! Kama huna hela mpeleke St. Kayumba abebe mfagio na kidumu cha maji kila siku!
 
Msiwege mnapeleka watoto wenu shule za EMs. Hiyo laki 5 si bora ungemtumia mama ako angekubariki na " Baba Asante sana ulipotoa Mungu akuongezee".


Haya Sasa twende Kazi, kimbia haraka Sana nenda kawatoe watoto wako shule ya EM warudishe Kayumba
You will thank me later.

🙏🙏🙏🙏🙏🙏
 
Na darasa la mitihani lazima mnyanyasike sana. Waziri wa elimu yupo inabidi mumjulishe kupitia vyombo vya Habari. Mfano Ayo Tv
Wakati anawekeza kwenye shule mlimchangia tofari! Shule za umma hamzioni? Mnaenda kumjazia choo na nzi wakati hela hamna! Kalaghabaho!
 
Si mnajifanya mnazo? Pambana! Wewe unaweza kwenda dukani na hela nusu ukapewa kitu kizima? Nayeye mwenye shule anataka hela yote ili apange mipango kamili! Usimpangie mwenye shule jinsi ya kuendesha shule! Kama huna hela mpeleke St. Kayumba abebe mfagio na kidumu cha maji kila siku!
Kinacho msumbua hataki kujishusha mbele ya mkuu wa shule kwamba hana pesa apewi mda bado ana ile mentality ya shule za Kayumba, ile ni private capital ya mtu yeye ndo anajua uchungu ya pesa yake na machu gu yake.
 
LIKUD atakuambia yamewashinda muwapeleke watoto huku👇
Pambaneni wazazi, elimu ni biashara kwa sasa, shule zinategemea hizo ada kujiendesha na kulipa madeni(nao wana madeni sip poa)
Screenshot_20250122_151552_Chrome.jpg


Hii iee option ya mwisho kabisa baada ya kila kitu kufeli👇
Screenshot_20250122_151454_Chrome.jpg
 
LIKUD atakuambia yamewashinda muwapeleke watoto huku👇
Pambaneni wazazi, elimu ni biashara kwa sasa, shule zinategemea hizo ada kujiendesha na kulipa madeni(nao wana madeni sip poa)View attachment 3210726

Hii iee option ya mwisho kabisa baada ya kila kitu kufeli👇
View attachment 3210727
Umekuwa na stereotype kuhusu shule za Kayumba.

99% hazipo kama hizo ulizo weka picha zake.

Mfano ni hii hapa chini👇👇👇
 

Attachments

  • VID_20250123_065419.mp4
    8 MB
LIKUD atakuambia yamewashinda muwapeleke watoto huku[emoji116]
Pambaneni wazazi, elimu ni biashara kwa sasa, shule zinategemea hizo ada kujiendesha na kulipa madeni(nao wana madeni sip poa)View attachment 3210726

Hii iee option ya mwisho kabisa baada ya kila kitu kufeli[emoji116]
View attachment 3210727
Kweli niwe na akili nipeleke mwanangu kwenye shule kama hizi hapana duh.
 
Umekuwa na stereotype kuhusu shule za Kayumba.

99% hazipo kama hizo ulizo weka picha zake.

Mfano ni hii hapa chini👇👇👇
Wa kwako yuko wapi kati ya hizi mkuu!
Screenshot_20250122_151527_Chrome.jpg

Screenshot_20250122_151621_Chrome.jpg

Acha utani na welfare ya watoto mkuu, hakuna binadam asiyependa maisha bora ni huu umasikini wetu tu.
 
Back
Top Bottom