Changamoto ya Ajira katika nchi zinazoendelea

Changamoto ya Ajira katika nchi zinazoendelea

Fahami Matsawili

Senior Member
Joined
Mar 8, 2018
Posts
172
Reaction score
153
Suala la Ajira ni cross culting issuers katika nchi zinazoendelea Kwa sababu Uchumi katika nchi hizi umeshikiliwa na watu wachache siyo Jumuishi wala shirikishi. (Inclusive economy) matokeo yake Uchumi huu umeshindwa kuzalisha Ajira kama ilivyotegemewa na Sayansi ya kuwa (Jobs are created by economy)

Mfano Kuna Sekta ukichekecha kidogo kwa Sera na Mipango unazalisha Ajira Milioni 3 Kwa Mwaka.

1. Sekta ya Sukari, Mafuta ya kula na Ngano

Kwa mwaka kupitia Viwanda yetu vya ndani jumla ya tani 380,000 za sukari zinazalishwa kutoka kwenye viwanda vilivyopo nchini 1. Kilombero Sugar Company Ltd, 2. Mtibwa Sugar Estate, 3. Kagera Sugar Ltd, 4. TPC Ltd 5. Manyara Sugar Ltd na 6. Bagamoyo Sugar.

Kwa soko la Sukari la ndani ya nchi pekee kwa mahitaji ya matumizi ya kawaida na viwandani ni tani 660,000 kwa mwaka.

A) Sekta ya sukari tuna upungufu wa Tani 280,000 Kwa ajili ya soko la ndani pekee

B. Viwanda vya sukari 90% vinalima miwa na kuzalisha Sukari vyenyewe, hivyo hakuna Multiplayers effect ya Kiuchumi

C) Multiplay effect Wananchi walime Miwa na Viwanda vizalishe sukari hapo ndiyo Mabilioni ya pesa kwenye Sekta ya sukari yatasaidia kupunguza Umaskini na kuzalisha ajira, kuliko ilivyo sasa pesa hizo zipo kwenye mzunguko wa wenye Viwanda vya sukari na vibarua wanaolipwa laki moja Kwa mwezi mzima.

D) Halmashauri zetu katika kutekeleza Agizo la Mhe Rais wetu Samia suluhu Hassan la kutaka kila mkoa kutenga maeneo ya Kilimo, Halmashauri zinaweza kutenga Ardhi yenye miundombinu ya umwagiliaji Kwa ajili kuanzisha Kilimo cha (block farming system) Kwa mazao ya kimkakati Miwa, Alzeti na Ngano alafu wanakopeshwa vijana/Wananchi Kwa mkataba wa miaka 3. na kila wakivuna Halmashauri inakata gharama zake.

F) siyo sahihi Sana kutegemea wawekezaji wakubwa waje kulima mashamba makubwa kwenye mazao ya kimkakati ni Muhimu tuwezeshe Wananchi wetu walime mazao ya kimkakati China imefanya hivyo imefanikiwa pakubwa.

2. Sekta ya Ujenzi -Miundombinu - Nyumba, na Mali za Ofisi

Eneo la pili ni Sekta ya ujenzi inayokuwa kwa kasi na moja ya huduma za kimsingi kwa maendeleo na ukuaji wa uchumi wa nchi.

A) Halmashauri zinaweza kuwakopesha Vijana machine za kufyatua Matofali, Machine za Kisasa ni (milioni 5)

B) Serikali inatumia pesa nyingi Kwa ajili ya ujenzi wa Majengo ya Umma Mfano Hospital, madarasa, nyumba za watumishi wa Umma, kazi ya Tamisemi ni kutoa Notes ya Maelekezo Kwa wazabuni wa Majengo ya Umma watakaoshinda Zabuni watalazimika kutumia matofali ya vikundi vya Vijana hawa ndani ya kila Halmashauri.

C) ununuzi wa vifaa vya Samani vitanunuliwa kutoka Kwa mafundi wetu wa furniture ambao ni Vijana.

Faida zake ni nyingi

Moja utafungua Uchumi ambao utazalisha ajira zaidi Kwa Vijana na kupunguza changamoto ya ajira.

Pili utaongeza idadi ya walipa kodi kwenye (taxbase)

Tatu. Utaongeza mzunguko wa pesa na Utachochea nguvu ya manunuzi Kwa Wananchi ambao walikuwa jobless sasa wana kipato kinachowawezesha kununua vitu sokoni, Viwanda vyetu vitachangamka Kwa sababu na jobless wamepata kipato wananunua Nguo, Viatu, saruji, mabati, vyakula, Vinywaji n.k

Nne. Utapunguza panya road mtaani, wapiga debe, Bodaboda hawa watakwenda kusomba mchanga, wengine watakuwa wanafyatua tofali, wengine wanapanga tofali.

Tano. Utakuwa umesaidia kujenga mfumo wa uzalishaji kuwa shirikishi na Jumuishi (inclusive economy) na kuempower vijana wasio na kazi, kuwa Na kazi na kuzuia mfumo wa ma cartel (mabepari) kuhodhi shughuli za Kiuchumi za uzalishaji wao pekee. bali na Wananchi maskini wanashiriki.

b10f9947-0dfc-417f-a049-61c7016f291e.jpg
 
Suala la Ajira ni cross culting issuers katika nchi zinazoendelea Kwa sababu Uchumi katika nchi hizi umeshikiliwa na watu wachache siyo Jumuishi wala shirikishi. (Inclusive economy) matokeo yake Uchumi huu umeshindwa kuzalisha Ajira kama ilivyotegemewa na Sayansi ya kuwa (Jobs are created by economy)

Mfano Kuna Sekta ukichekecha kidogo kwa Sera na Mipango unazalisha Ajira Milioni 3 Kwa Mwaka.

1. Sekta ya Sukari, Mafuta ya kula na Ngano

Kwa mwaka kupitia Viwanda yetu vya ndani jumla ya tani 380,000 za sukari zinazalishwa kutoka kwenye viwanda vilivyopo nchini 1. Kilombero Sugar Company Ltd, 2. Mtibwa Sugar Estate, 3. Kagera Sugar Ltd, 4. TPC Ltd 5. Manyara Sugar Ltd na 6. Bagamoyo Sugar.

Kwa soko la Sukari la ndani ya nchi pekee kwa mahitaji ya matumizi ya kawaida na viwandani ni tani 660,000 kwa mwaka.

A) Sekta ya sukari tuna upungufu wa Tani 280,000 Kwa ajili ya soko la ndani pekee

B. Viwanda vya sukari 90% vinalima miwa na kuzalisha Sukari vyenyewe, hivyo hakuna Multiplayers effect ya Kiuchumi

C) Multiplay effect Wananchi walime Miwa na Viwanda vizalishe sukari hapo ndiyo Mabilioni ya pesa kwenye Sekta ya sukari yatasaidia kupunguza Umaskini na kuzalisha ajira, kuliko ilivyo sasa pesa hizo zipo kwenye mzunguko wa wenye Viwanda vya sukari na vibarua wanaolipwa laki moja Kwa mwezi mzima.

D) Halmashauri zetu katika kutekeleza Agizo la Mhe Rais wetu Samia suluhu Hassan la kutaka kila mkoa kutenga maeneo ya Kilimo, Halmashauri zinaweza kutenga Ardhi yenye miundombinu ya umwagiliaji Kwa ajili kuanzisha Kilimo cha (block farming system) Kwa mazao ya kimkakati Miwa, Alzeti na Ngano alafu wanakopeshwa vijana/Wananchi Kwa mkataba wa miaka 3. na kila wakivuna Halmashauri inakata gharama zake.

F) siyo sahihi Sana kutegemea wawekezaji wakubwa waje kulima mashamba makubwa kwenye mazao ya kimkakati ni Muhimu tuwezeshe Wananchi wetu walime mazao ya kimkakati China imefanya hivyo imefanikiwa pakubwa.

2. Sekta ya Ujenzi -Miundombinu - Nyumba, na Mali za Ofisi

Eneo la pili ni Sekta ya ujenzi inayokuwa kwa kasi na moja ya huduma za kimsingi kwa maendeleo na ukuaji wa uchumi wa nchi.

A) Halmashauri zinaweza kuwakopesha Vijana machine za kufyatua Matofali, Machine za Kisasa ni (milioni 5)

B) Serikali inatumia pesa nyingi Kwa ajili ya ujenzi wa Majengo ya Umma Mfano Hospital, madarasa, nyumba za watumishi wa Umma, kazi ya Tamisemi ni kutoa Notes ya Maelekezo Kwa wazabuni wa Majengo ya Umma watakaoshinda Zabuni watalazimika kutumia matofali ya vikundi vya Vijana hawa ndani ya kila Halmashauri.

C) ununuzi wa vifaa vya Samani vitanunuliwa kutoka Kwa mafundi wetu wa furniture ambao ni Vijana.

Faida zake ni nyingi

Moja utafungua Uchumi ambao utazalisha ajira zaidi Kwa Vijana na kupunguza changamoto ya ajira.

Pili utaongeza idadi ya walipa kodi kwenye (taxbase)

Tatu. Utaongeza mzunguko wa pesa na Utachochea nguvu ya manunuzi Kwa Wananchi ambao walikuwa jobless sasa wana kipato kinachowawezesha kununua vitu sokoni, Viwanda vyetu vitachangamka Kwa sababu na jobless wamepata kipato wananunua Nguo, Viatu, saruji, mabati, vyakula, Vinywaji n.k

Nne. Utapunguza panya road mtaani, wapiga debe, Bodaboda hawa watakwenda kusomba mchanga, wengine watakuwa wanafyatua tofali, wengine wanapanga tofali.

Tano. Utakuwa umesaidia kujenga mfumo wa uzalishaji kuwa shirikishi na Jumuishi (inclusive economy) na kuempower vijana wasio na kazi, kuwa Na kazi na kuzuia mfumo wa ma cartel (mabepari) kuhodhi shughuli za Kiuchumi za uzalishaji wao pekee. bali na Wananchi maskini wanashiriki.

View attachment 2363698
Fahami ukitaka kilimo kitengeneze ajira usiingize siasa, hiyo habari ya halmashauri sijui itenge maeneo au kuwe na block farming zenye miundombinu ya umwagiliaji hizo ni siasa mpango wa namna hii hauwezi kufanikiwa, jambo lolote ukitaka lisifanikiwe ni pale unapopanga lifanyike kwa vikundi, mambo ya kufanya kwa vikundi yana vitu vingi ndani yake vinavyosababisha kushindwa, tofauti zozote ndani ya kikundi..umri, dini, itikadi za kisiasa, elimu..nk haviwezi kuwaweka pamoja wahusika kwa muda mrefu.
Pili, sina hakika kama unafahamu hatari ya kuruhusu utengenezaji wa vifaa vya ujenzi kwa aina unayopendekeza, NHC si walishawahi kufanya hii modal? waulize ilifia wapi..
Jibu la AJIRA ni kuanzisha viwanda aina ya A to Z kwenye mazao ya kimkakati pamba, alizeti, karanga, muhogo, korosho nk serikali iweke mazingira mazuri ya uwezeshaji sambamba na motisha kuvutia vijana kwenye kilimo na wawekezaji kwenye viwanda.
Kwa kifupi bado serikali haijawahi kufanya kile kinachopaswa kufanyika kwenye kilimo, aidha kwa kutokujua au kufanya kwa kuangalia maslahi kisiasa..hata suala la viwanda, namna serikali inafanya haiwezekani kuwa na viwanda vyenye kutoa ajira nyingi kama ilivyo kwa kiwanda cha A to Z Arusha..
 
Ni sahihi kabisa,lakini Fahami hujiulizi kwanini hawafanyi hivyo.ni kwa sababu hakuna anayejali,lakini tabu ipo kwetu wananchi sababu hatujui tunataka nini,hatuwajibiki ipasavyo.
 
Bila ya uchumi wa nchi kupanda juu na serikali kuongeza mapato yao, serikali haitomudu miradi au changamoto za kutengeneza ajira. Lazima uchumi ukue ndiyo serikali itaweza kutengeneza ajira. China ilifungua nchi yao kwanza kwa kuwaita wawekezaji wa nchi za magharibi wajenge viwanda kule, wafungue maofisi waajiri Wachina. Uchumi wao ulivyokuwa ndiyo serikali yao ikaanza kutengeneza ajira.
 
Fahami ukitaka kilimo kitengeneze ajira usiingize siasa, hiyo habari ya halmashauri sijui itenge maeneo au kuwe na block farming zenye miundombinu ya umwagiliaji hizo ni siasa mpango wa namna hii hauwezi kufanikiwa, jambo lolote ukitaka lisifanikiwe ni pale unapopanga lifanyike kwa vikundi, mambo ya kufanya kwa vikundi yana vitu vingi ndani yake vinavyosababisha kushindwa, tofauti zozote ndani ya kikundi..umri, dini, itikadi za kisiasa, elimu..nk haviwezi kuwaweka pamoja wahusika kwa muda mrefu.
Pili, sina hakika kama unafahamu hatari ya kuruhusu utengenezaji wa vifaa vya ujenzi kwa aina unayopendekeza, NHC si walishawahi kufanya hii modal? waulize ilifia wapi..
Jibu la AJIRA ni kuanzisha viwanda aina ya A to Z kwenye mazao ya kimkakati pamba, alizeti, karanga, muhogo, korosho nk serikali iweke mazingira mazuri ya uwezeshaji sambamba na motisha kuvutia vijana kwenye kilimo na wawekezaji kwenye viwanda.
Kwa kifupi bado serikali haijawahi kufanya kile kinachopaswa kufanyika kwenye kilimo, aidha kwa kutokujua au kufanya kwa kuangalia maslahi kisiasa..hata suala la viwanda, namna serikali inafanya haiwezekani kuwa na viwanda vyenye kutoa ajira nyingi kama ilivyo kwa kiwanda cha A to Z Arusha..

Nimekuelewa Chief
 
Bila ya uchumi wa nchi kupanda juu na serikali kuongeza mapato yao, serikali haitomudu miradi au changamoto za kutengeneza ajira. Lazima uchumi ukue ndiyo serikali itaweza kutengeneza ajira. China ilifungua nchi yao kwanza kwa kuwaita wawekezaji wa nchi za magharibi wajenge viwanda kule, wafungue maofisi waajiri Wachina. Uchumi wao ulivyokuwa ndiyo serikali yao ikaanza kutengeneza ajira.

Sawa pamoja na Uchumi kukua hapa tunahitaji inclusiveness ya Wananchi kwenye Uchumi, ndiyo umasikini utapungua na Uchumi kukua automatically
 
Suala la Ajira ni cross culting issuers katika nchi zinazoendelea Kwa sababu Uchumi katika nchi hizi umeshikiliwa na watu wachache siyo Jumuishi wala shirikishi. (Inclusive economy) matokeo yake Uchumi huu umeshindwa kuzalisha Ajira kama ilivyotegemewa na Sayansi ya kuwa (Jobs are created by economy)

Mfano Kuna Sekta ukichekecha kidogo kwa Sera na Mipango unazalisha Ajira Milioni 3 Kwa Mwaka.

1. Sekta ya Sukari, Mafuta ya kula na Ngano

Kwa mwaka kupitia Viwanda yetu vya ndani jumla ya tani 380,000 za sukari zinazalishwa kutoka kwenye viwanda vilivyopo nchini 1. Kilombero Sugar Company Ltd, 2. Mtibwa Sugar Estate, 3. Kagera Sugar Ltd, 4. TPC Ltd 5. Manyara Sugar Ltd na 6. Bagamoyo Sugar.

Kwa soko la Sukari la ndani ya nchi pekee kwa mahitaji ya matumizi ya kawaida na viwandani ni tani 660,000 kwa mwaka.

A) Sekta ya sukari tuna upungufu wa Tani 280,000 Kwa ajili ya soko la ndani pekee

B. Viwanda vya sukari 90% vinalima miwa na kuzalisha Sukari vyenyewe, hivyo hakuna Multiplayers effect ya Kiuchumi

C) Multiplay effect Wananchi walime Miwa na Viwanda vizalishe sukari hapo ndiyo Mabilioni ya pesa kwenye Sekta ya sukari yatasaidia kupunguza Umaskini na kuzalisha ajira, kuliko ilivyo sasa pesa hizo zipo kwenye mzunguko wa wenye Viwanda vya sukari na vibarua wanaolipwa laki moja Kwa mwezi mzima.

D) Halmashauri zetu katika kutekeleza Agizo la Mhe Rais wetu Samia suluhu Hassan la kutaka kila mkoa kutenga maeneo ya Kilimo, Halmashauri zinaweza kutenga Ardhi yenye miundombinu ya umwagiliaji Kwa ajili kuanzisha Kilimo cha (block farming system) Kwa mazao ya kimkakati Miwa, Alzeti na Ngano alafu wanakopeshwa vijana/Wananchi Kwa mkataba wa miaka 3. na kila wakivuna Halmashauri inakata gharama zake.

F) siyo sahihi Sana kutegemea wawekezaji wakubwa waje kulima mashamba makubwa kwenye mazao ya kimkakati ni Muhimu tuwezeshe Wananchi wetu walime mazao ya kimkakati China imefanya hivyo imefanikiwa pakubwa.

2. Sekta ya Ujenzi -Miundombinu - Nyumba, na Mali za Ofisi

Eneo la pili ni Sekta ya ujenzi inayokuwa kwa kasi na moja ya huduma za kimsingi kwa maendeleo na ukuaji wa uchumi wa nchi.

A) Halmashauri zinaweza kuwakopesha Vijana machine za kufyatua Matofali, Machine za Kisasa ni (milioni 5)

B) Serikali inatumia pesa nyingi Kwa ajili ya ujenzi wa Majengo ya Umma Mfano Hospital, madarasa, nyumba za watumishi wa Umma, kazi ya Tamisemi ni kutoa Notes ya Maelekezo Kwa wazabuni wa Majengo ya Umma watakaoshinda Zabuni watalazimika kutumia matofali ya vikundi vya Vijana hawa ndani ya kila Halmashauri.

C) ununuzi wa vifaa vya Samani vitanunuliwa kutoka Kwa mafundi wetu wa furniture ambao ni Vijana.

Faida zake ni nyingi

Moja utafungua Uchumi ambao utazalisha ajira zaidi Kwa Vijana na kupunguza changamoto ya ajira.

Pili utaongeza idadi ya walipa kodi kwenye (taxbase)

Tatu. Utaongeza mzunguko wa pesa na Utachochea nguvu ya manunuzi Kwa Wananchi ambao walikuwa jobless sasa wana kipato kinachowawezesha kununua vitu sokoni, Viwanda vyetu vitachangamka Kwa sababu na jobless wamepata kipato wananunua Nguo, Viatu, saruji, mabati, vyakula, Vinywaji n.k

Nne. Utapunguza panya road mtaani, wapiga debe, Bodaboda hawa watakwenda kusomba mchanga, wengine watakuwa wanafyatua tofali, wengine wanapanga tofali.

Tano. Utakuwa umesaidia kujenga mfumo wa uzalishaji kuwa shirikishi na Jumuishi (inclusive economy) na kuempower vijana wasio na kazi, kuwa Na kazi na kuzuia mfumo wa ma cartel (mabepari) kuhodhi shughuli za Kiuchumi za uzalishaji wao pekee. bali na Wananchi maskini wanashiriki.

View attachment 2363698
Nilikuwa nakukubali sana enzi hizo sijuiulipotelea wapi Kaka
 
Back
Top Bottom