Changamoto ya barabara mbovu Goba Kulangwa/Tegeta a Serikali inapuuza?

Changamoto ya barabara mbovu Goba Kulangwa/Tegeta a Serikali inapuuza?

Ms Billionaire

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2020
Posts
2,452
Reaction score
4,955
Habari wadau.

Narudi tena kusisitiza shida za Barabara za Goba kulangwa!

Leo tumenusurika tena kupoteza watoto kumi. Sijui tupige vipi kelele hizi barabara zitengenezwe kwa ubora. Sio kutupitishia magreda! Maana Mvua zikija zinasomba tena!

Nasisitiza tena. 1. Kuna ile njia Goba kulangwa inachepua kushoto kabla ya skymart supermarket kama umetokea njia nne ile njia inayoenda St Yohanne Health center na Victoria Adonai school ile njia ni mbovu sana sana sana na kuna caravat pale halifai lile ndo linasubiri kuua kabisa. Viongozi wanajua na hawajali! Tunaomba ile njia itengenezwe!

2. Kuna hii njia inaingilia hapa deez pub inaenda kutokea makanisa ya catholic na anglikana tegeta A pale napo ni kisanga mto unapita hakuna caravat

3. Kuna ile njia ambayo ukitokea Goba njia nne unaenda kuingilia kwa mbele kidogo kama unaenda madale, ile njia inaelekea tegeta A shule ya msingi ni mbovu hakuna mfano.

Serikali itusikie, kama isipotusikiliza wapiga kura wake nani atafanya?

Na nimetoka kuandika huu uzi kuhusu Goba kulangwa hata siku mbili hazijapita tumenusurika maafa makubwa nusura tupoteze watoto. KERO - Wakazi wa Goba njia ya Tegeta A kwenda Madawa na Kulangwa tuna changamoto kubwa ya Barabara
MAMA SAMIA TUSAIDIE BARABARA ZA GOBA KULANGWA KUREKEBISHWA NA KUWEKEWA CARAVAT. 1. KUNA BARABARA YA KARIBU NA KITUO CHA AFYA CHA ST YOHANNE GOBA KULANGWA KUELEKEA TEGETA A, IMELIKA HAKUNA MFANO, TUNAHITAJI CARAVAT. NA PIA KUTOKEA TEGETA A SHULE YA MSINGI KUELEKEA MAKANISA YA CATHOLIC NA ANGLIKANA TEGETA A kukatisha mtoni pale hakuna Caravat Mama. Tuokoe na watoto wetu! Sijui lami inashindwa vipi kuwekwa zile njia.

TUNAELEKEA KUPOTEZA WATOTO SIJUI TUSEMEJE MTUSIKIE AU MNASUBIRI MAAFA MJE KUSIKITIKA KWENYE MITANDAO.

Na jamii forum naombeni MUACHE kuturekebishia post zetu. Tunajua tunachokiandika tunataka ujumbe ufike kama ulivyo. Kwenye post yangu nilimwita mama samia nyinyi mmekuja kurekebisha mmetoa hiyo point.

GOBA KULANGWA NI JANGA KWA BARABARA NA SIKU SI NYINGI MTASIKIA MAAFA MABAYA ZAIDI

TUNAOMBA MAREKEBISHO MAKUBWA NA CARAVAT. Tumenusurika kupoteza watoto leo kwasababu ya ubinafsi.

Wewe Kindeena na kiherehere chako haya njoo ubishane na hapa.

1715793799418.png

1715793838808.png

1715793877788.png

1715793925903.png
 
Ubovu wa barabara ni DAR nzima..
Uchaguzi wa mwaka huu wa serikali za mitaa agenda kubwa itakuwa barabara tu
 
Habari wadau.
Narudi tena kusisitiza shida za Barabara za Goba kulangwa!

Leo tumenusurika tena kupoteza watoto kumi. Sijui tupige vipi kelele hizi barabara zitengenezwe kwa ubora. Sio kutupitishia magreda! Maana Mvua zikija zinasomba tena!

Nasisitiza tena. 1. Kuna ile njia Goba kulangwa inachepua kushoto kabla ya skymart supermarket kama umetokea njia nne ile njia inayoenda St Yohanne Health center na Victoria Adonai school ile njia ni mbovu sana sana sana na kuna caravat pale halifai lile ndo linasubiri kuua kabisa. Viongozi wanajua na hawajali! Tunaomba ile njia itengenezwe!

2. Kuna hii njia inaingilia hapa deez pub inaenda kutokea makanisa ya catholic na anglikana tegeta A pale napo ni kisanga mto unapita hakuna caravat

3. Kuna ile njia ambayo ukitokea Goba njia nne unaenda kuingilia kwa mbele kidogo kama unaenda madale, ile njia inaelekea tegeta A shule ya msingi ni mbovu hakuna mfano.

Serikali itusikie, kama isipotusikiliza wapiga kura wake nani atafanya?


Na nimetoka uzi kuhusu Goba kulangwa hata siku mbili hazijapita tumenusurika maafa makubwa nusura tupoteze watoto. MAMA SAMIA TUSAIDIE BARABARA ZA GOBA KULANGWA KUREKEBISHWA NA KUWEKEWA CARAVAT. 1. KUNA BARABARA YA KARIBU NA KITUO CHA AFYA CHA ST YOHANNE GOBA KULANGWA KUELEKEA TEGETA A, IMELIKA HAKUNA MFANO, TUNAHITAJI CARAVAT. NA PIA KUTOKEA TEGETA A SHULE YA MSINGI KUELEKEA MAKANISA YA CATHOLIC NA ANGLIKANA TEGETA A kukatisha mtoni pale hakuna Caravat Mama. Tuokoe na watoto wetu! Sijui lami inashindwa vipi kuwekwa zile njia.

TUNAELEKEA KUPOTEZA WATOTO SIJUI TUSEMEJE MTUSIKIE AU MNASUBIRI MAAFA MJE KUSIKITIKA KWENYE MITANDAO.

Na jamii forum naombeni MUACHE kuturekebishia post zetu. Tunajua tunachokiandika tunataka ujumbe ufike kama ulivyo. Kwenye post yangu nilimwita mama samia nyinyi mmekuja kurekebisha mmetoa hiyo point.

GOBA KULANGWA NI JANGA KWA BARABARA NA SIKU SI NYINGI MTASIKIA MAAFA MABAYA ZAIDI

TUNAOMBA MAREKEBISHO MAKUBWA NA CARAVAT. Tumenusurika kupoteza watoto leo kwasababu ya ubinafsi.

Wewe Kindeena na kiherehere chako haya njoo ubishane na hapa

Attachments​

  • IMG_6371.jpeg
    IMG_6371.jpeg
    444.8 KB · Views: 1
  • IMG_6372.jpeg
    IMG_6372.jpeg
    625.4 KB · Views: 1
  • IMG_6373.jpeg
    IMG_6373.jpeg
    406.3 KB · Views: 1
  • IMG_6374.jpeg
    IMG_6374.jpeg
    584.9 KB · Views: 1
  • IMG_6375.jpeg
    IMG_6375.jpeg
    435.8 KB · Views: 1
  • IMG_6376.jpeg
    IMG_6376.jpeg
    400.6 KB · Views: 1
tumeipenda wenyewe--tarara tarara
 
Mama Samia anasubiri watu wafe ma school bus yazame kwenye mito ajifanye anatoa pole kwa wananchi asije akapost tena pole yakitokea maafa kwenye maeneo ambayo ameshaambiwa sana. Tusiskie kabisa wala kuona zile tweets zake za nasikitika. Alafu anatoa hela ovyo kutwa kwa watu wasio na mantiki. Na sijui kwanini hafanyi uchunguzi akawajibisha watendaji wake
 
Mama Samia anasubiri watu wafe ma school bus yazame kwenye mito ajifanye anatoa pole kwa wananchi asije akapost tena pole yakitokea maafa kwenye maeneo ambayo ameshaambiwa sana. Tusiskie kabisa wala kuona zile tweets zake za nasikitika. Alafu anatoa hela ovyo kutwa kwa watu wasio na mantiki. Na sijui kwanini hafanyi uchunguzi akawajibisha watendaji wake
Dah inasikitisha
 
Back
Top Bottom