Changamoto ya afya ya moyo ya Mkuu wa tano wa utawala wa nchi yetu ilijulikana kwa kuchelewa sana (baada ya kifo chake) kuwa alikuwa na matatizo ya kiafya.
Changamoto ya afya ya moyo ambayo ndiyo iliyomlazimu (hili nina uhakika kabisa ukirejea utaalamu wa kiafya) asiweze kusafiri mbali kwa usafiri wa ndege aliitumia kwa ubinafsi wa hali ya juu.
Yeye aliamua watu wake wasisafiri na kuifanya kama Sera (Sera Tamko) kumbe tu ilikuwa ni ubinafasi tu na kuona wivu watu wengine kusafiri. Aliamua wasaidizi wake wachache wasafiri huku safari zingine nyingi akizifumbia macho. Alijaribu kutufumba mambo kwa kuzifanya safari za nje ya nchi zionakane mbaya na zisizo na maufaa kumbe yote hiyo kwa sababu yeye asingeweza kusafiri kwenda mbali.
Ukweli ukiwa na kiongozi mbinafsi wa kiwango kile basi ujue watu wataumia sana na siasa hizo na hata uchumi wa nchi ni lazima tu uporomoke. Huwezi kujustify ukuaji wa uchumi kama nchi yako imejiwekwa kisiwani yenyewe.
Angalia nchi kama USA na China ambazo raia wake (serikalini na binafsi) wanasafiri sana duniani ndiyo nchi ambazo zinakimbiza uchumi wa dunia kwa sasa. Wakati mwingine ukweli kabisa inabidi mtu anayegombea uongozi wa juu kwa nafasi ya Rais aangaliwe afya yake kabla. Tusioneane aibu! Kiongozi mbinafsi hatufai!
Changamoto ya afya ya moyo ambayo ndiyo iliyomlazimu (hili nina uhakika kabisa ukirejea utaalamu wa kiafya) asiweze kusafiri mbali kwa usafiri wa ndege aliitumia kwa ubinafsi wa hali ya juu.
Yeye aliamua watu wake wasisafiri na kuifanya kama Sera (Sera Tamko) kumbe tu ilikuwa ni ubinafasi tu na kuona wivu watu wengine kusafiri. Aliamua wasaidizi wake wachache wasafiri huku safari zingine nyingi akizifumbia macho. Alijaribu kutufumba mambo kwa kuzifanya safari za nje ya nchi zionakane mbaya na zisizo na maufaa kumbe yote hiyo kwa sababu yeye asingeweza kusafiri kwenda mbali.
Ukweli ukiwa na kiongozi mbinafsi wa kiwango kile basi ujue watu wataumia sana na siasa hizo na hata uchumi wa nchi ni lazima tu uporomoke. Huwezi kujustify ukuaji wa uchumi kama nchi yako imejiwekwa kisiwani yenyewe.
Angalia nchi kama USA na China ambazo raia wake (serikalini na binafsi) wanasafiri sana duniani ndiyo nchi ambazo zinakimbiza uchumi wa dunia kwa sasa. Wakati mwingine ukweli kabisa inabidi mtu anayegombea uongozi wa juu kwa nafasi ya Rais aangaliwe afya yake kabla. Tusioneane aibu! Kiongozi mbinafsi hatufai!