Kama unatoa kanyumba ka vyumba viwili au kanyumba ka sebule, jiko, store na Chumba kimoja haina shida utakuwa na nafasi ya parking bustani ndogo na ukizungusha fensi patapendeza sana.
Ila usijiloge na ujenzi wa nyumba kubwa hapo. Jenga kakitu kadogo kama haka kwenye picha hapo. [emoji116]
View attachment 2617451