Changamoto ya kujifunza UDSM

Aisee ni mtu kaokota kitambulisho chako anataka kukupigisha shoti au ?
 
Wewe ni mzee wa 2005/2006 mpaka 2008/2009 bila shaka hahaa
 
Mtoa mada ni new Tundu lissu, new zitto!

Erythrocyte chukueni chuma hicho kinafaa kuichakaza CCM! Ameweza kuwakosoa TA sembuse OCDs
 
DISCO inakuhusu nyauweee
 
Kabla ya kuja kulalamika huku ulishamuona mkuu wa idara ya PSPA au just course instructor na kuwasilisha malalamiko yako? Ndio usomi gani huu wa kutofuata taratibu? Unadhani wizara ya elimu ina mamlaka juu ya academic autonomy ya chuo?
Aende akamuone kama ajalamba discontinue
 
Aisee..hiyo ni chuo kazini utatoboa kweli?
Utavumilia mateso ya maboss kweli wewe
 
Nahisi hakukuwa na haja ya kuji expose kiasi hiko.
 
Nina mshkaji wang anasomea iyo ishu mwaka wa kwanza naomba ukimaliza chuo ukapata kazi umfanyie koneksheni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…