jembe_jembe
Senior Member
- Apr 14, 2015
- 185
- 66
Habari wanajamvi
Tangu miaka michache iliyopita kulitokea changamoto ya upatikanaji wa ajira kwa wataalamu wa afya, na sasa tumefika mashala ambapo mtu anapomaliza internship, anarudi nyumbani na kukaa muda mrefu, hata miaka bila kuitwa hata kwenye usaili wa kazi nyingi ambazo ameshaomba.
Hiyo inapelekea kukata tamaa, majuto na msongo wa mawazo.
Kwa upande mwingine, nchi zilizoendelea kama Uingereza 🇬🇧 Marekani 🇺🇸 Canada na Australia 🇦🇺 zikiwa na uhaba na uhitaji mkubwa mno wa nguvu kazi ya taaluma hizo.
Nini basi tunaweza tukafanya kujikwamua na hii changamoto?
Tumeandaa fomu hii Je, umeridhika na kazi yako? kuangalia ukubwa wa tatizo ili tujaribu kulitatua pamoja, ukiacha anwani yako ya barua pepe, utapata mwongozo wa moja kwa moja wa fursa za kazi za kimataifa.
N.B: Walengwa ni wataalamu wa afya kama madaktari (MD and above), manesi (Diploma in nursing holders and above), wafamasia
(B.Sc Pharm), Physiotherapists, Occupational therapists
Wasalaam
Dr Kay
MD, GPST
Kent, UK 🇬🇧
Tangu miaka michache iliyopita kulitokea changamoto ya upatikanaji wa ajira kwa wataalamu wa afya, na sasa tumefika mashala ambapo mtu anapomaliza internship, anarudi nyumbani na kukaa muda mrefu, hata miaka bila kuitwa hata kwenye usaili wa kazi nyingi ambazo ameshaomba.
Hiyo inapelekea kukata tamaa, majuto na msongo wa mawazo.
Kwa upande mwingine, nchi zilizoendelea kama Uingereza 🇬🇧 Marekani 🇺🇸 Canada na Australia 🇦🇺 zikiwa na uhaba na uhitaji mkubwa mno wa nguvu kazi ya taaluma hizo.
Nini basi tunaweza tukafanya kujikwamua na hii changamoto?
Tumeandaa fomu hii Je, umeridhika na kazi yako? kuangalia ukubwa wa tatizo ili tujaribu kulitatua pamoja, ukiacha anwani yako ya barua pepe, utapata mwongozo wa moja kwa moja wa fursa za kazi za kimataifa.
N.B: Walengwa ni wataalamu wa afya kama madaktari (MD and above), manesi (Diploma in nursing holders and above), wafamasia
(B.Sc Pharm), Physiotherapists, Occupational therapists
Wasalaam
Dr Kay
MD, GPST
Kent, UK 🇬🇧