Changamoto ya kupata mke

Changamoto ya kupata mke

Dah pole Mkuu tuko pamoja mi pia kama wewe naumiza kichwa nitampata wapi mke anayenifaa imekuwa ngumu hadi naelekea kukata tamaa nijitafutie mtoto tu make kwa umri huu miaka 30 mambo bado hayasomeki niliweka hadi post love connect kutafuta mke nikataja hadi sifa lakini bado. Duh kichwa kinauma na sitaki kubeba yeyote bora nizae tu.
 
Hii imenigusa hata mimi kwa umri na maisha yangu yako poa,pesa kwangu sio mtihani,kama ni elimu nina Shahada,ajira ya serikali,nina biashara ambazo nimeajiri watu,lakini ni miaka mitatu sasa natafuta mke sipati,naona wanawake wote wajasilia mwili,ni ngumu sana kupata mke hasa kwa sisi wakazi wa Dar es Salaam
 
Habari za weekend?

Mimi ni kijana mwenye miaka 30 sasa, nimeanza kujitegemea toka 2011 baada ya kumaliza chuo, si haba sasa nina ahueni ya maisha katika shughuli zangu za kila siku!!

Changamoto kubwa niliyonayo ni jinsi ya kupata mke, huko nyuma nafikiri niliwekeza mahali pasipo sahihi(wakati bado nasoma), mwisho wa siku nikaishia kuumizwa tu hali ambayo ilinifanya niwepowepo tu na mapenzi nishindwe kuyapa uzito unaostahili!

Huku mtaani kila nikijaribu kufurukuta nakutana na vikwazo, either nakutana na mabinti wa 20's ambao habari ya kuolewa si kipaumbele kwao, nikigeuka upande wa pili nakutana na single moms na vituko vyao, sasa huwa nikichanganya na yanayosemwa humu MMU navunjika moyo kabisa!!

Ninachouliza, ni mbinu gani zapaswa kufuatwa ili kupata mtu mwenye utayari na ndoa, najua wapo wanawake wengi wanaotamani kupata wanaume wenye utayari wa kuoa!! Lakini je nakutana nao wapi?

No short cut way dear. Spend more time with God to Grant your Holy heart desire . Do Fasting and and prayers .. Thanks ...
 
Si peke yako mkuu.mabinti wamekuwa UNOLEWEKABLE kabisa.
 
Nyie wenye kiasi cha mboga na kazi ya uhakika sanyingine mnajua na maringo flani hivi
ni kweri ila mm si mmoja wao 7bu nshavuta jiko ila chagua chagua sana mwishowe huchagua koloma
ka yaliyonikuta mm
coz hutatakaje mwanamke mwema mwenye tabia nzuri wakati wewe mwenyewe tabia zko mbaya na zaidi unazidi kuwaalibu mabintiwa watu tena wengine wanawafumua malinda bila HURUMA !!
nawe binti eti nataka MUME MWEMA kutwa kucha KUBINUA MAKARIO insta na FB na fake life yako ya kuigaiga kazi kuwapanga wanaume
mtu anakupenda anataka kukuoa na kuaza kukuhudumia kumbe wewe una mfanya mladi tu una mpango nae ETI una msubili HANDSOME BOY mwenye mpunga mwingi kama mimi Mzimu wa kolelo !! utanipata wapi mm wakati hata hujui hzo pesa nimezichuma kwa njia gani

ni kioja 7bu MWENYEZIMUNGU awezi kukupa MJAWAKE mwema kwa wewe mshezi wa tabia
DHULUMATI
MUONGO
TAPERI
MPIGA DIRI
MLEVI
MZINIFU nk

badilika kwanza nafsini ama sivyo mwisho utayachoka hayo maisha utaishia kwa NAZI KOLOMA mwenzio
 
Mleta mada nakuelewa sanaa.

Msingi ni kuachilia mambo yaje naturally na umuombe sana Mungu. Hata ikatokea ukapata mwanamke mrembo...hakikisha ana busara na uvumilivu sanaa. Kama hana spirit ya uhangaikaji, familia yao ni low class yet anapendeza daily achana nae utakuja mwaga kilio.
 
ni kweri ila mm si mmoja wao 7bu nshavuta jiko ila chagua chagua sana mwishowe huchagua koloma
ka yaliyonikuta mm
coz hutatakaje mwanamke mwema mwenye tabia nzuri wakati wewe mwenyewe tabia zko mbaya na zaidi unazidi kuwaalibu mabintiwa watu tena wengine wanawafumua malinda bila HURUMA !!
nawe binti eti nataka MUME MWEMA kutwa kucha KUBINUA MAKARIO insta na FB na fake life yako ya kuigaiga kazi kuwapanga wanaume
mtu anakupenda anataka kukuoa na kuaza kukuhudumia kumbe wewe una mfanya mladi tu una mpango nae ETI una msubili HANDSOME BOY mwenye mpunga mwingi kama mimi Mzimu wa kolelo !! utanipata wapi mm wakati hata hujui hzo pesa nimezichuma kwa njia gani

ni kioja 7bu MWENYEZIMUNGU awezi kukupa MJAWAKE mwema kwa wewe mshezi wa tabia
DHULUMATI
MUONGO
TAPERI
MPIGA DIRI
MLEVI
MZINIFU nk

badilika kwanza nafsini ama sivyo mwisho utayachoka hayo maisha utaishia kwa NAZI KOLOMA mwenzio
Upo sawia

Ukitaka mwema hakikisha nawe ni mwema
 
Habari za weekend?

Mimi ni kijana mwenye miaka 30 sasa, nimeanza kujitegemea toka 2011 baada ya kumaliza chuo, si haba sasa nina ahueni ya maisha katika shughuli zangu za kila siku!!

Changamoto kubwa niliyonayo ni jinsi ya kupata mke, huko nyuma nafikiri niliwekeza mahali pasipo sahihi(wakati bado nasoma), mwisho wa siku nikaishia kuumizwa tu hali ambayo ilinifanya niwepowepo tu na mapenzi nishindwe kuyapa uzito unaostahili!

Huku mtaani kila nikijaribu kufurukuta nakutana na vikwazo, either nakutana na mabinti wa 20's ambao habari ya kuolewa si kipaumbele kwao, nikigeuka upande wa pili nakutana na single moms na vituko vyao, sasa huwa nikichanganya na yanayosemwa humu MMU navunjika moyo kabisa!!

Ninachouliza, ni mbinu gani zapaswa kufuatwa ili kupata mtu mwenye utayari na ndoa, najua wapo wanawake wengi wanaotamani kupata wanaume wenye utayari wa kuoa!! Lakini je nakutana nao wapi?


Funga na kuomba walau mara mbili kwa wiki, pata mwanamke wa imani moja nawe, unaye mzidi kila kitu; elimu, kipato, umri, ingawaje gap lisiwe kubwa sana. Akiwa kabila moja nawe itakuwa njema zaidi.
 
kupata gentleman ni shida sana, ni wavaa hereni, kushinda kwenye tv na tegemezi kizazi hiki ni jipu kihamishiwe somalia
 
Dah pole Mkuu tuko pamoja mi pia kama wewe naumiza kichwa nitampata wapi mke anayenifaa imekuwa ngumu hadi naelekea kukata tamaa nijitafutie mtoto tu make kwa umri huu miaka 30 mambo bado hayasomeki niliweka hadi post love connect kutafuta mke nikataja hadi sifa lakini bado. Duh kichwa kinauma na sitaki kubeba yeyote bora nizae tu.
Hata mimi nimeamua hivyo tu.
 
ee mwenyez mungu nijaalie mumemwema!insahaalah╮(╯_╰)╭☜
 
Hata hao single moms bado wanastahili kuolewa. Kuwa kwao na mtoto isiwe kigezo cha kukwepwa. Wako wanaojielewa na kuwa na mtoto kwa ilitokea isivyotarajiwa.
 
Wanawake wengi wanaotaka kuolewa hupenda kuhudhuria harusi na mara nyingi kusjona sare. Ukiwa makini unaweza kuwafuatilia na kujua background zao na baadae ukiridhiki kuoana.

isije kuwa wanapenda kupendeza tu na tukio la harusi...

maana ndoa na harusi siku moja tu baada ya hapo maisha rasmi yanaanza
 
ili sasa lishakuwa tatizo sugu inabidi selikari iingilie kati mana hali ishakuwa mbayaa wanaume tumekata tamaa kabisa ya kupata majiko

ila najiuliza kwann vijana wa vipato vya kawaida tena wengine tumewaajili ktk vitega uchumi wanaWAKE na wanaishi maisha ya AMANI
why sisi wenye kiasi cha mboga kazi ya uhakika wengne gari za kutembelea nyumba nk
lkn tunalandalanda tu mitaani na kuzidi kulalamika nahisi kina sehemu tunakosea tujichunguzee sisi wenyewe kwanza udhaifu ni upi
Njoo kwangu nami natafuta
 
Back
Top Bottom