Changamoto ya kupata mke

Changamoto ya kupata mke

Habari za weekend?

Mimi ni kijana mwenye miaka 30 sasa, nimeanza kujitegemea toka 2011 baada ya kumaliza chuo, si haba sasa nina ahueni ya maisha katika shughuli zangu za kila siku!!

Changamoto kubwa niliyonayo ni jinsi ya kupata mke, huko nyuma nafikiri niliwekeza mahali pasipo sahihi(wakati bado nasoma), mwisho wa siku nikaishia kuumizwa tu hali ambayo ilinifanya niwepowepo tu na mapenzi nishindwe kuyapa uzito unaostahili!

Huku mtaani kila nikijaribu kufurukuta nakutana na vikwazo, either nakutana na mabinti wa 20's ambao habari ya kuolewa si kipaumbele kwao, nikigeuka upande wa pili nakutana na single moms na vituko vyao, sasa huwa nikichanganya na yanayosemwa humu MMU navunjika moyo kabisa!!

Ninachouliza, ni mbinu gani zapaswa kufuatwa ili kupata mtu mwenye utayari na ndoa, najua wapo wanawake wengi wanaotamani kupata wanaume wenye utayari wa kuoa!! Lakini je nakutana nao wapi?
hi story kama.zamani nilikuwa naona kupata mke kazi rahisi sana.imefika wakati sasa nataka nioe ndo nagundua kumbe kazi ngumu kweli
 
Hii imenigusa hata mimi kwa umri na maisha yangu yako poa,pesa kwangu sio mtihani,kama ni elimu nina Shahada,ajira ya serikali,nina biashara ambazo nimeajiri watu,lakini ni miaka mitatu sasa natafuta mke sipati,naona wanawake wote wajasilia mwili,ni ngumu sana kupata mke hasa kwa sisi wakazi wa Dar es Salaam
Kweli Mkuu ni ngumu sana
 
Dah pole Mkuu tuko pamoja mi pia kama wewe naumiza kichwa nitampata wapi mke anayenifaa imekuwa ngumu hadi naelekea kukata tamaa nijitafutie mtoto tu make kwa umri huu miaka 30 mambo bado hayasomeki niliweka hadi post love connect kutafuta mke nikataja hadi sifa lakini bado. Duh kichwa kinauma na sitaki kubeba yeyote bora nizae tu.
Atafutae hachoki
Hii imenigusa hata mimi kwa umri na maisha yangu yako poa,pesa kwangu sio mtihani,kama ni elimu nina Shahada,ajira ya serikali,nina biashara ambazo nimeajiri watu,lakini ni miaka mitatu sasa natafuta mke sipati,naona wanawake wote wajasilia mwili,ni ngumu sana kupata mke hasa kwa sisi wakazi wa Dar es Salaam
Si ajabu nae huko aliko anakutafuta ubavu wake ulipo... Ni kuvuta subira tu

Good things take time
 
Hata hao single moms bado wanastahili kuolewa. Kuwa kwao na mtoto isiwe kigezo cha kukwepwa. Wako wanaojielewa na kuwa na mtoto kwa ilitokea isivyotarajiwa.
Ni kweli usemayo...

Single mothers haimaanishi amepunguza ubora wake
 
Mkuu wanawake wote hao? Tatizo letu km mda bd wa kuoa tunawaburuza sana hawa mabint Na kuwaacha unapofika mda wa kuoa unatafuta ambaye hajafanywa upuuz huu mwanamke anabadilika tu kulingana na msimamo wako hata km tabia yake ilikuwa mbovu na yote ss wanaume huwa ndio tunasababsha utakuta ke ameachwa Na kila mwanaume na wote walio mpitia hawakua serious kwenye ndoa
Ushaur kwa dunia ya sasa huna haja ya kuchagua sana tafta utakae
Mwona ni mzur kwako kimaumbile thn mwambie suala la ndoa tabia huwa inabadilika tu ukichagua sana utapata koroma
 
Mkuu wanawake wote hao? Tatizo letu km mda bd wa kuoa tunawaburuza sana hawa mabint Na kuwaacha unapofika mda wa kuoa unatafuta ambaye hajafanywa upuuz huu mwanamke anabadilika tu kulingana na msimamo wako hata km tabia yake ilikuwa mbovu na yote ss wanaume huwa ndio tunasababsha utakuta ke ameachwa Na kila mwanaume na wote walio mpitia hawakua serious kwenye ndoa
Ushaur kwa dunia ya sasa huna haja ya kuchagua sana tafta utakae
Mwona ni mzur kwako kimaumbile thn mwambie suala la ndoa tabia huwa inabadilika tu ukichagua sana utapata koroma
Angalau hii inamake sense...asante mkuu!!
 
Mkuu wanawake wote hao? Tatizo letu km mda bd wa kuoa tunawaburuza sana hawa mabint Na kuwaacha unapofika mda wa kuoa unatafuta ambaye hajafanywa upuuz huu mwanamke anabadilika tu kulingana na msimamo wako hata km tabia yake ilikuwa mbovu na yote ss wanaume huwa ndio tunasababsha utakuta ke ameachwa Na kila mwanaume na wote walio mpitia hawakua serious kwenye ndoa
Ushaur kwa dunia ya sasa huna haja ya kuchagua sana tafta utakae
Mwona ni mzur kwako kimaumbile thn mwambie suala la ndoa tabia huwa inabadilika tu ukichagua sana utapata koroma
Haya mkuu,15-25yrs tunawaburuza,,,,
kuanzia 26yrs tunatafuta ambaye hajaburuzwa ni shida sana
 
Mimi nilikuwa natamani sana kuoa hila kwa sasa nimegairi maana nilipanga mwaka huu nioe hila ngoja nivumilie kwanza
 
Hivi kwani kuishi na furaha ni lazima kuoa? kabla ya kufanya maamauzi ya kuoa ni vema ukafikiriaa haya, pengine ndoa yaweza kuwa kikwazo ktk maisha yako ya kila siku.
Tambua unapowaza kuoa wengine wanangojea kwa hamu kwani ndilo pori nafuu la kufingulia zipu!
 
Back
Top Bottom