shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,329
Mbona hata mi natafuta mume aliye tayar sijampata
ndio game ilivyo ya maisha ilivyo... anaetafuta mume anakutana na wehu na anaetafuta mke anakutana na wehu.. hawa watu kukutana ngumu sana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hata mi natafuta mume aliye tayar sijampata
[emoji12] [emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji468] [emoji468] [emoji468] [emoji468] [emoji468]Njoo kwangu nami natafuta
hi story kama.zamani nilikuwa naona kupata mke kazi rahisi sana.imefika wakati sasa nataka nioe ndo nagundua kumbe kazi ngumu kweliHabari za weekend?
Mimi ni kijana mwenye miaka 30 sasa, nimeanza kujitegemea toka 2011 baada ya kumaliza chuo, si haba sasa nina ahueni ya maisha katika shughuli zangu za kila siku!!
Changamoto kubwa niliyonayo ni jinsi ya kupata mke, huko nyuma nafikiri niliwekeza mahali pasipo sahihi(wakati bado nasoma), mwisho wa siku nikaishia kuumizwa tu hali ambayo ilinifanya niwepowepo tu na mapenzi nishindwe kuyapa uzito unaostahili!
Huku mtaani kila nikijaribu kufurukuta nakutana na vikwazo, either nakutana na mabinti wa 20's ambao habari ya kuolewa si kipaumbele kwao, nikigeuka upande wa pili nakutana na single moms na vituko vyao, sasa huwa nikichanganya na yanayosemwa humu MMU navunjika moyo kabisa!!
Ninachouliza, ni mbinu gani zapaswa kufuatwa ili kupata mtu mwenye utayari na ndoa, najua wapo wanawake wengi wanaotamani kupata wanaume wenye utayari wa kuoa!! Lakini je nakutana nao wapi?
Leta sifa zako make watafutaji hawabebi yeyote wana vigezo vyao. Tatizo siyo kumpata mwanamke Bali kumpata mke ndo issue.Mbona hata mi natafuta mume aliye tayar sijampata
Tuko wengi aiseeHili ni janga la kitaifa mkuu, hauko peke yako
Tatizo siyo mtoto bali tatizo ni baba mtoto kuendeleza mawasiliano na gegedoHata hao single moms bado wanastahili kuolewa. Kuwa kwao na mtoto isiwe kigezo cha kukwepwa. Wako wanaojielewa na kuwa na mtoto kwa ilitokea isivyotarajiwa.
Kama wewe mke mwema utapata mume mwema piaee mwenyez mungu nijaalie mumemwema!insahaalah╮(╯_╰)╭☜
Kweli Mkuu ni ngumu sanaHii imenigusa hata mimi kwa umri na maisha yangu yako poa,pesa kwangu sio mtihani,kama ni elimu nina Shahada,ajira ya serikali,nina biashara ambazo nimeajiri watu,lakini ni miaka mitatu sasa natafuta mke sipati,naona wanawake wote wajasilia mwili,ni ngumu sana kupata mke hasa kwa sisi wakazi wa Dar es Salaam
Atafutae hachokiDah pole Mkuu tuko pamoja mi pia kama wewe naumiza kichwa nitampata wapi mke anayenifaa imekuwa ngumu hadi naelekea kukata tamaa nijitafutie mtoto tu make kwa umri huu miaka 30 mambo bado hayasomeki niliweka hadi post love connect kutafuta mke nikataja hadi sifa lakini bado. Duh kichwa kinauma na sitaki kubeba yeyote bora nizae tu.
Si ajabu nae huko aliko anakutafuta ubavu wake ulipo... Ni kuvuta subira tuHii imenigusa hata mimi kwa umri na maisha yangu yako poa,pesa kwangu sio mtihani,kama ni elimu nina Shahada,ajira ya serikali,nina biashara ambazo nimeajiri watu,lakini ni miaka mitatu sasa natafuta mke sipati,naona wanawake wote wajasilia mwili,ni ngumu sana kupata mke hasa kwa sisi wakazi wa Dar es Salaam
Ni kweli usemayo...Hata hao single moms bado wanastahili kuolewa. Kuwa kwao na mtoto isiwe kigezo cha kukwepwa. Wako wanaojielewa na kuwa na mtoto kwa ilitokea isivyotarajiwa.
Mkuu naona tukajaribu vijijini,maana umri unasonga mbeleKweli Mkuu ni ngumu sana
Labda ngoja niwe mvumilivuAtafutae hachoki
Si ajabu nae huko aliko anakutafuta ubavu wake ulipo... Ni kuvuta subira tu
Good things take time
Hahaha kweli kabisa kiongoziMkuu naona tukajaribu vijijini,maana umri unasonga mbele
Angalau hii inamake sense...asante mkuu!!Mkuu wanawake wote hao? Tatizo letu km mda bd wa kuoa tunawaburuza sana hawa mabint Na kuwaacha unapofika mda wa kuoa unatafuta ambaye hajafanywa upuuz huu mwanamke anabadilika tu kulingana na msimamo wako hata km tabia yake ilikuwa mbovu na yote ss wanaume huwa ndio tunasababsha utakuta ke ameachwa Na kila mwanaume na wote walio mpitia hawakua serious kwenye ndoa
Ushaur kwa dunia ya sasa huna haja ya kuchagua sana tafta utakae
Mwona ni mzur kwako kimaumbile thn mwambie suala la ndoa tabia huwa inabadilika tu ukichagua sana utapata koroma
Haya mkuu,15-25yrs tunawaburuza,,,,Mkuu wanawake wote hao? Tatizo letu km mda bd wa kuoa tunawaburuza sana hawa mabint Na kuwaacha unapofika mda wa kuoa unatafuta ambaye hajafanywa upuuz huu mwanamke anabadilika tu kulingana na msimamo wako hata km tabia yake ilikuwa mbovu na yote ss wanaume huwa ndio tunasababsha utakuta ke ameachwa Na kila mwanaume na wote walio mpitia hawakua serious kwenye ndoa
Ushaur kwa dunia ya sasa huna haja ya kuchagua sana tafta utakae
Mwona ni mzur kwako kimaumbile thn mwambie suala la ndoa tabia huwa inabadilika tu ukichagua sana utapata koroma
Tambua unapowaza kuoa wengine wanangojea kwa hamu kwani ndilo pori nafuu la kufingulia zipu!Hivi kwani kuishi na furaha ni lazima kuoa? kabla ya kufanya maamauzi ya kuoa ni vema ukafikiriaa haya, pengine ndoa yaweza kuwa kikwazo ktk maisha yako ya kila siku.