Ha haa basi hata mie naunga mkono fumbo hili liendelee tu maana hakuna namnaBora aisee, maana wakaati mwingine huwa mkicharuana mmoja anamkubusha mwenzake,"hivi unakumbuka mimi na wewe tulivyokutana,unakumbuka siku yetu ya kwanza kuonana ilikuwaje?"basi mnaacha ugomvi nakuanza kufurahi tena.Wacha fumbo liendelee!
Apataye mke apata kitu chema. Mke mwema hutoka kwa Bwana Mungu. Piga sala, mshirikisheHabari za weekend?
Mimi ni kijana mwenye miaka 30 sasa, nimeanza kujitegemea toka 2011 baada ya kumaliza chuo, si haba sasa nina ahueni ya maisha katika shughuli zangu za kila siku!!
Changamoto kubwa niliyonayo ni jinsi ya kupata mke, huko nyuma nafikiri niliwekeza mahali pasipo sahihi(wakati bado nasoma), mwisho wa siku nikaishia kuumizwa tu hali ambayo ilinifanya niwepowepo tu na mapenzi nishindwe kuyapa uzito unaostahili!
Huku mtaani kila nikijaribu kufurukuta nakutana na vikwazo, either nakutana na mabinti wa 20's ambao habari ya kuolewa si kipaumbele kwao, nikigeuka upande wa pili nakutana na single moms na vituko vyao, sasa huwa nikichanganya na yanayosemwa humu MMU navunjika moyo kabisa!!
Ninachouliza, ni mbinu gani zapaswa kufuatwa ili kupata mtu mwenye utayari na ndoa, najua wapo wanawake wengi wanaotamani kupata wanaume wenye utayari wa kuoa!! Lakini je nakutana nao wapi?
Viburi ,kujitukuza , kutaka kuabudiwa na kutokuamini kama mmependwa nyie na sio mali zenu , kuwa wachaguzi mno maana mnaamini kuwa pesa na hali zenu mnaweza kuwin mwanamke yeyote .Hao mlio waajiri ni opposite na nyie katika haya niliyoandika 🙂 😉 mawazo tuuili sasa lishakuwa tatizo sugu inabidi selikari iingilie kati mana hali ishakuwa mbayaa wanaume tumekata tamaa kabisa ya kupata majiko
ila najiuliza kwann vijana wa vipato vya kawaida tena wengine tumewaajili ktk vitega uchumi wanaWAKE na wanaishi maisha ya AMANI
why sisi wenye kiasi cha mboga kazi ya uhakika wengne gari za kutembelea nyumba nk
lkn tunalandalanda tu mitaani na kuzidi kulalamika nahisi kina sehemu tunakosea tujichunguzee sisi wenyewe kwanza udhaifu ni upi
Hebu punguza dharau zako kama huwezi kuziachaDuh hio kweli
Jihadhari na ma single moms
Jiahadhari na walio achwa au wenye stress za maisha acha kabisa
unadhan furaha inatoka wap km huna mke? ama kweli we ibilis jmn au ukifanikiwa mwisho wa siku unataka ukatumie wap ebu shaur watu vzur acha upopo na hii iwe ww binafsi lkn mtu anataka mke huyo jamaaaHivi kwani kuishi na furaha ni lazima kuoa? kabla ya kufanya maamauzi ya kuoa ni vema ukafikiriaa haya, pengine ndoa yaweza kuwa kikwazo ktk maisha yako ya kila siku.
sio kila ndoa bi furaha ndoa nyingine unataman kujinyongaaa.unadhan furaha inatoka wap km huna mke? ama kweli we ibilis jmn au ukifanikiwa mwisho wa siku unataka ukatumie wap ebu shaur watu vzur acha upopo na hii iwe ww binafsi lkn mtu anataka mke huyo jamaaa
Nime koma sirudii tena.Hebu punguza dharau zako kama huwezi kuziacha
HahahahahhahahhahahaWanawake wanawaza kutuchuna tu na kuwekaza makwao
Good boyNime koma sirudii tena.
Habari za weekend?
Mimi ni kijana mwenye miaka 30 sasa, nimeanza kujitegemea toka 2011 baada ya kumaliza chuo, si haba sasa nina ahueni ya maisha katika shughuli zangu za kila siku!!
Changamoto kubwa niliyonayo ni jinsi ya kupata mke, huko nyuma nafikiri niliwekeza mahali pasipo sahihi(wakati bado nasoma), mwisho wa siku nikaishia kuumizwa tu hali ambayo ilinifanya niwepowepo tu na mapenzi nishindwe kuyapa uzito unaostahili!
Huku mtaani kila nikijaribu kufurukuta nakutana na vikwazo, either nakutana na mabinti wa 20's ambao habari ya kuolewa si kipaumbele kwao, nikigeuka upande wa pili nakutana na single moms na vituko vyao, sasa huwa nikichanganya na yanayosemwa humu MMU navunjika moyo kabisa!!
Ninachouliza, ni mbinu gani zapaswa kufuatwa ili kupata mtu mwenye utayari na ndoa, najua wapo wanawake wengi wanaotamani kupata wanaume wenye utayari wa kuoa!! Lakini je nakutana nao wapi?
Duuuuh mkuuu pole sana naona kama njia zako kama zangu tu ila tusikatr tamaa maisha lazima yaendeleee tu
Kabla hujasema unapata shida kupata mke mwema je wewe ni mume mwema?
Haiwezekani use mlevi labda au mzinifu.unashinda mabaa kila siku kutegemea kupata mwanamke wa standard tofauti na maeneo unayoshinda.
Utamuonaje kwanza.
Titizo ni pasepshen za wadada zetu ndo Zinatufanya tupate changamoto ya kuoa. Wanataka uwe na gari, nyumba af muwe mnaishi maisha flan ya kwenye TV