Changamoto ya kupata mke

Changamoto ya kupata mke

Bora aisee, maana wakaati mwingine huwa mkicharuana mmoja anamkubusha mwenzake,"hivi unakumbuka mimi na wewe tulivyokutana,unakumbuka siku yetu ya kwanza kuonana ilikuwaje?"basi mnaacha ugomvi nakuanza kufurahi tena.Wacha fumbo liendelee!
Ha haa basi hata mie naunga mkono fumbo hili liendelee tu maana hakuna namna
 
Habari za weekend?

Mimi ni kijana mwenye miaka 30 sasa, nimeanza kujitegemea toka 2011 baada ya kumaliza chuo, si haba sasa nina ahueni ya maisha katika shughuli zangu za kila siku!!

Changamoto kubwa niliyonayo ni jinsi ya kupata mke, huko nyuma nafikiri niliwekeza mahali pasipo sahihi(wakati bado nasoma), mwisho wa siku nikaishia kuumizwa tu hali ambayo ilinifanya niwepowepo tu na mapenzi nishindwe kuyapa uzito unaostahili!

Huku mtaani kila nikijaribu kufurukuta nakutana na vikwazo, either nakutana na mabinti wa 20's ambao habari ya kuolewa si kipaumbele kwao, nikigeuka upande wa pili nakutana na single moms na vituko vyao, sasa huwa nikichanganya na yanayosemwa humu MMU navunjika moyo kabisa!!

Ninachouliza, ni mbinu gani zapaswa kufuatwa ili kupata mtu mwenye utayari na ndoa, najua wapo wanawake wengi wanaotamani kupata wanaume wenye utayari wa kuoa!! Lakini je nakutana nao wapi?
Apataye mke apata kitu chema. Mke mwema hutoka kwa Bwana Mungu. Piga sala, mshirikishe

Mungu. Tafuta mcha Mungu wa ukweli hautajuta.
 
ili sasa lishakuwa tatizo sugu inabidi selikari iingilie kati mana hali ishakuwa mbayaa wanaume tumekata tamaa kabisa ya kupata majiko

ila najiuliza kwann vijana wa vipato vya kawaida tena wengine tumewaajili ktk vitega uchumi wanaWAKE na wanaishi maisha ya AMANI
why sisi wenye kiasi cha mboga kazi ya uhakika wengne gari za kutembelea nyumba nk
lkn tunalandalanda tu mitaani na kuzidi kulalamika nahisi kina sehemu tunakosea tujichunguzee sisi wenyewe kwanza udhaifu ni upi
Viburi ,kujitukuza , kutaka kuabudiwa na kutokuamini kama mmependwa nyie na sio mali zenu , kuwa wachaguzi mno maana mnaamini kuwa pesa na hali zenu mnaweza kuwin mwanamke yeyote .Hao mlio waajiri ni opposite na nyie katika haya niliyoandika 🙂 😉 mawazo tuu
 
Kabla hujasema unapata shida kupata mke mwema je wewe ni mume mwema?
Haiwezekani use mlevi labda au mzinifu.unashinda mabaa kila siku kutegemea kupata mwanamke wa standard tofauti na maeneo unayoshinda.
Utamuonaje kwanza.
 
gwankaja mkuu, siye waarabu hutafutaga nyumba ya kuoa kwanza (ukoo fulani) kwanza.. pili ndo binti!! Maana ukielewa familia ndo utamwelewa mke!!
Wee kama mwisilamu nenda kwa imamu au shehe umuulize nyumba iliyotulia hapo mtaani!!
na kama wee mkristo nenda kanisani utaweza Discover gold au Mgodi wakujitwika !! good luck
 
duuuu kazi ipoooo...ndo maana biashara ya ukahaba inaongezeka..Nani atafikiria ndoaaa kwa mambo haya ya wadada!!
 
Titizo ni pasepshen za wadada zetu ndo Zinatufanya tupate changamoto ya kuoa. Wanataka uwe na gari, nyumba af muwe mnaishi maisha flan ya kwenye TV
 
Hivi kwani kuishi na furaha ni lazima kuoa? kabla ya kufanya maamauzi ya kuoa ni vema ukafikiriaa haya, pengine ndoa yaweza kuwa kikwazo ktk maisha yako ya kila siku.
unadhan furaha inatoka wap km huna mke? ama kweli we ibilis jmn au ukifanikiwa mwisho wa siku unataka ukatumie wap ebu shaur watu vzur acha upopo na hii iwe ww binafsi lkn mtu anataka mke huyo jamaaa
 
unadhan furaha inatoka wap km huna mke? ama kweli we ibilis jmn au ukifanikiwa mwisho wa siku unataka ukatumie wap ebu shaur watu vzur acha upopo na hii iwe ww binafsi lkn mtu anataka mke huyo jamaaa
sio kila ndoa bi furaha ndoa nyingine unataman kujinyongaaa.

Maisha ya furaha ni muhimu zaid hapa dunian euther ya ndoa au bachelor
 
Habari za weekend?

Mimi ni kijana mwenye miaka 30 sasa, nimeanza kujitegemea toka 2011 baada ya kumaliza chuo, si haba sasa nina ahueni ya maisha katika shughuli zangu za kila siku!!

Changamoto kubwa niliyonayo ni jinsi ya kupata mke, huko nyuma nafikiri niliwekeza mahali pasipo sahihi(wakati bado nasoma), mwisho wa siku nikaishia kuumizwa tu hali ambayo ilinifanya niwepowepo tu na mapenzi nishindwe kuyapa uzito unaostahili!

Huku mtaani kila nikijaribu kufurukuta nakutana na vikwazo, either nakutana na mabinti wa 20's ambao habari ya kuolewa si kipaumbele kwao, nikigeuka upande wa pili nakutana na single moms na vituko vyao, sasa huwa nikichanganya na yanayosemwa humu MMU navunjika moyo kabisa!!

Ninachouliza, ni mbinu gani zapaswa kufuatwa ili kupata mtu mwenye utayari na ndoa, najua wapo wanawake wengi wanaotamani kupata wanaume wenye utayari wa kuoa!! Lakini je nakutana nao wapi?

A u serious?! Unajua tatizo lako nn? Unatumia akili yako bila kumshirikisha Mungu trust me utaishia kuumia! Hebu Mwambie Mungu uone km hutapata
 
Muombe mungu saana
Hakuna mahali special kupata mke bora.
Mungu hachelewi wala kuwahi.
Jiganye kuwa mume bora nae mke mwema ayajitokeza soob
 
Kabla hujasema unapata shida kupata mke mwema je wewe ni mume mwema?
Haiwezekani use mlevi labda au mzinifu.unashinda mabaa kila siku kutegemea kupata mwanamke wa standard tofauti na maeneo unayoshinda.
Utamuonaje kwanza.

Mmmh, hili nalo neno,!! Mtu maeneo yako bar, vijiweni huko nk.. Useme unataka mke mwema? No! Mi ndo nakukimbiza kabisa
 
Titizo ni pasepshen za wadada zetu ndo Zinatufanya tupate changamoto ya kuoa. Wanataka uwe na gari, nyumba af muwe mnaishi maisha flan ya kwenye TV

Ndugu, tumewavumilia wasiokuwa na kitu kwa upendo baada ya kupata wametuona hatufai! So don't generalize.... Ht wanaume wapo wsiosomeka km wanawake! Bt God is faithful Kuna wanaojielewa bado wenye hofu ya Mungu na wenye mapenz ya kweli!
 
Back
Top Bottom