John makonda
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 263
- 246
Ningependa kuchangia walau kidogo kuhusu mahindi kukosa soko
Hizo ni dalili la kutokua tayali hayo ni matokeo ya kuto kukijua vyema Tanzania endapo Kila mkulima stamina kisses Kama tuna to shawishi Hali itakuaje?
Hiyo ni neema kidogo tu ya mahindi tayari Changa moto mahindi tusiyachukulie ni kwa ajili ya ugali tu hapo ndipo tatizo lipo mahindi yanaweza kutumika kama chakula Cha mifugo endapo tu wafugaji wataelimishwa ufugaji Bora yakatumika kulishia mifugo
Pia mahindi yanaweza kutumika kutengeneza vinywaji mbali mbali
mahindi yanaweza kuzalisha mafuta ambayo Yana thamani kubwa na mabaki yakatumika kwa mifugo pia
Hata hayo wataalamu hawayaoni ni kwa vile huwa fursa huwa hatuzioni
changa Moto ya mahindi ni fursa mbalimbali ndiyo maana nilitangulia kusema hiyo ni neema kidogo tu hata kilimo Bora Cha mahindi kinafanyika eneo dogo tu tumeshaanza kulia
vipi mpunga, karanga, ufuta, mtama, ngano, ulezi, kahawa nk, ambavyo yote hayo yakizalishwa vyema tumejiaandaaje?
Hizo ni dalili la kutokua tayali hayo ni matokeo ya kuto kukijua vyema Tanzania endapo Kila mkulima stamina kisses Kama tuna to shawishi Hali itakuaje?
Hiyo ni neema kidogo tu ya mahindi tayari Changa moto mahindi tusiyachukulie ni kwa ajili ya ugali tu hapo ndipo tatizo lipo mahindi yanaweza kutumika kama chakula Cha mifugo endapo tu wafugaji wataelimishwa ufugaji Bora yakatumika kulishia mifugo
Pia mahindi yanaweza kutumika kutengeneza vinywaji mbali mbali
mahindi yanaweza kuzalisha mafuta ambayo Yana thamani kubwa na mabaki yakatumika kwa mifugo pia
Hata hayo wataalamu hawayaoni ni kwa vile huwa fursa huwa hatuzioni
changa Moto ya mahindi ni fursa mbalimbali ndiyo maana nilitangulia kusema hiyo ni neema kidogo tu hata kilimo Bora Cha mahindi kinafanyika eneo dogo tu tumeshaanza kulia
vipi mpunga, karanga, ufuta, mtama, ngano, ulezi, kahawa nk, ambavyo yote hayo yakizalishwa vyema tumejiaandaaje?