A Anonymous Guest Nov 21, 2024 #1 Katika kata ya Ubungo Makubuli baadhi ya vijiji vyake ikiwa Kibangu, Wanaichi kwa wiki tatu sasa wamekosa huduma ya Maji kutoka DAWASA hivyo kupata shida na kuhofia mlipuko wa magonjwa na hawana msaada wowote.
Katika kata ya Ubungo Makubuli baadhi ya vijiji vyake ikiwa Kibangu, Wanaichi kwa wiki tatu sasa wamekosa huduma ya Maji kutoka DAWASA hivyo kupata shida na kuhofia mlipuko wa magonjwa na hawana msaada wowote.
Papaa Mobimba JF-Expert Member Joined Jan 27, 2018 Posts 882 Reaction score 3,337 Nov 21, 2024 #2 Changamoto ya Maji kwa Dar naona iko kila mahali