Changamoto ya Mawasiliano mtandao wa Yas

Changamoto ya Mawasiliano mtandao wa Yas

Salama wakuu

Kuanzia mida ya jioni leo huu mtandao wa Yas naona unanipa shida kufanya mawasiliano kwenye kifaa changu

Simu hazitoki, sms haziingii internet imekata ukiwatafuta huduma kwa wateja no hazitoki

Sijajua shida ipo kwenye simu yangu au na wale wanaoutumia mtandao huu wamepata changamoto hii?
Tangu lini mtandao wa Yasinta ukawa stable?
 
Salama wakuu

Kuanzia mida ya jioni leo huu mtandao wa Yas naona unanipa shida kufanya mawasiliano kwenye kifaa changu

Simu hazitoki, sms haziingii internet imekata ukiwatafuta huduma kwa wateja no hazitoki

Sijajua shida ipo kwenye simu yangu au na wale wanaoutumia mtandao huu wamepata changamoto hii?
Jina sio zuri hata
 
Salama wakuu

Kuanzia mida ya jioni leo huu mtandao wa Yas naona unanipa shida kufanya mawasiliano kwenye kifaa changu

Simu hazitoki, sms haziingii internet imekata ukiwatafuta huduma kwa wateja no hazitoki

Sijajua shida ipo kwenye simu yangu au na wale wanaoutumia mtandao huu wamepata changamoto hii?
Nilijua ni mimi tu nina huduma ninapata toka kwao hakuna kilichokua kinapatikana,mbaya zaidi hawasemi
 
Salama wakuu

Kuanzia mida ya jioni leo huu mtandao wa Yas naona unanipa shida kufanya mawasiliano kwenye kifaa changu

Simu hazitoki, sms haziingii internet imekata ukiwatafuta huduma kwa wateja namba hazitoki

Sijajua shida ipo kwenye simu yangu au na wale wanaoutumia mtandao huu wamepata changamoto hii?
Mtandao mbovu.
Mimi upande wa kutoa pesa haifanyi kazi kapisa.
Ukitumia app yao ile ya tigopesa nayo hakuna kitu.
 
Salama wakuu

Kuanzia mida ya jioni leo huu mtandao wa Yas naona unanipa shida kufanya mawasiliano kwenye kifaa changu

Simu hazitoki, sms haziingii internet imekata ukiwatafuta huduma kwa wateja namba hazitoki

Sijajua shida ipo kwenye simu yangu au na wale wanaoutumia mtandao huu wamepata changamoto hii?
Tangu lini NYASH MIX BY ASS, ikafanya kazi kwa Ufanisi?? 🤔 🤔 🤔
 
Salama wakuu

Kuanzia mida ya jioni leo huu mtandao wa Yas naona unanipa shida kufanya mawasiliano kwenye kifaa changu

Simu hazitoki, sms haziingii internet imekata ukiwatafuta huduma kwa wateja namba hazitoki

Sijajua shida ipo kwenye simu yangu au na wale wanaoutumia mtandao huu wamepata changamoto hii?
Tatizo ni hilo Jina la N yas h
Yaani hata mtoto Mchanga anaweza kulia sana usiku kumbe tatizo ni Jina mlilompa
 
Back
Top Bottom