Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Ni kweli....Salama wakuu
Kuanzia mida ya jioni leo huu mtandao wa Yas naona unanipa shida kufanya mawasiliano kwenye kifaa changu
Simu hazitoki, sms haziingii internet imekata ukiwatafuta huduma kwa wateja namba hazitoki
Sijajua shida ipo kwenye simu yangu au na wale wanaoutumia mtandao huu wamepata changamoto hii?