Changamoto ya Mawasiliano mtandao wa Yas

Tangu lini mtandao wa Yasinta ukawa stable?
 
Jina sio zuri hata
 
Nilijua ni mimi tu nina huduma ninapata toka kwao hakuna kilichokua kinapatikana,mbaya zaidi hawasemi
 
Mtandao mbovu.
Mimi upande wa kutoa pesa haifanyi kazi kapisa.
Ukitumia app yao ile ya tigopesa nayo hakuna kitu.
 
Tangu lini NYASH MIX BY ASS, ikafanya kazi kwa Ufanisi?? 🤔 🤔 🤔
 
Tatizo ni hilo Jina la N yas h
Yaani hata mtoto Mchanga anaweza kulia sana usiku kumbe tatizo ni Jina mlilompa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…