Ni kweli....Salama wakuu
Kuanzia mida ya jioni leo huu mtandao wa Yas naona unanipa shida kufanya mawasiliano kwenye kifaa changu
Simu hazitoki, sms haziingii internet imekata ukiwatafuta huduma kwa wateja namba hazitoki
Sijajua shida ipo kwenye simu yangu au na wale wanaoutumia mtandao huu wamepata changamoto hii?
Kama Ina maanisha hivyo, watu wengi watajitoa!!!Mmtandao wa Kiss my as--s
Wewe utakuwa shabiki wa Yanga si bure.jamaani biashara ya watu wewe jina linakusumbua je?
Mimi nna buku2 nilitaka kutoa nile sahani ya wali kwa mama lishe ikagoma cjala mpaka sasa na sielewiNina wasiwasi mno kwenye tigo pesa yangu kuna af7 yangu
Duh pole sana .. vumilia kufikia asbuh mtandao utakua poa na utaweza kula hapo kwa mama lishe...Mimi nna buku2 nilitaka kutoa nile sahani ya wali kwa mama lishe ikagoma cjala mpaka sasa na sielewi
🤣🤣Nina wasiwasi mno kwenye tigo pesa yangu kuna af7 yangu
Hivi huwa inatokaMimi nna buku2 nilitaka kutoa nile sahani ya wali kwa mama lishe ikagoma cjala mpaka sasa na sielewi
Bado wanajisafisha kutoka TIGOMmtandao wa Kiss my as--s
Bahati mbaya wasio na hela huwa na majina mazuri kuliko wenye hela!Jina sio zuri hata