Changamoto ya mchwa kwenye nyumba

Changamoto ya mchwa kwenye nyumba

Prince Nadheem

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2012
Posts
1,259
Reaction score
1,056
Habari zenu wanajamvi!

Kama mada inavyojieleza hapo juu. Nimehamia kwenye nyumba yangu maeneo ya Chanika. Sijapiga tiles bado chini nina rough floor (nilikimbia changamoto ya kodi nyumba za watu 🤣🤣🤣). Sasa recently naona nyumba inavamiwa na mchwa wale wakubwa na wanajenga vichuguu vya kufa mtu.

Je, hii changamoto naitatuaje? Natumia dawa ya DKO ila nahitaji suluhisho la kudumu kabla sijaendelea na michakato mingine ya tiles na skimming.

Nakaribisha michango jengefu

🙏🙏🙏
 
Habari zenu wanajamvi!

Kama mada inavyojieleza hapo juu. Nimehamia kwenye nyumba yangu maeneo ya Chanika. Sijapiga tiles bado chini nina rough floor (nilikimbia changamoto ya kodi nyumba za watu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]). Sasa recently naona nyumba inavamiwa na mchwa wale wakubwa na wanajenga vichuguu vya kufa mtu.

Je, hii changamoto naitatuaje? Natumia dawa ya DKO ila nahitaji suluhisho la kudumu kabla sijaendelea na michakato mingine ya tiles na skimming.

Nakaribisha michango jengefu

[emoji120][emoji120][emoji120]

Kuna dawa inaitwa Termicide itafute inaua hao mchwa
 
Tafuta mabaki ya tumbaku yale tunayomwaga shambani kama mbolea then chimba pembezoni mwa kuta kwa nje na ndani mwaga hiyo mbolea zen fukia uendelee na maisha hutokuja kuona mchwa.
kama ndani ushapiga rafu floor tafta termite killer.
 
tafuta mabaki ya tumbaku yale tunayomwaga shambani km mbolea zen chimba pembezoni mwa kuta kwa nje na ndani mwaga hiyo mbolea zen fukia uendelee na maisha hutokuja kuona mchwa.
km ndani ushapiga rafu floor tafta termite killer.
Hili vumbi la mabaki ya tumbaku na sumu zake ni kiboko, kuwakomesha, unamwaga na kwenye garden, mchwa watakuona ni Taliban.

Everyday is Saturday...............................😎
 
Hili vumbi la mabaki ya tumbaku na sumu zake ni kiboko, kuwakomesha, unamwaga na kwenye garden, mchwa watakuona ni Taliban.

Everyday is Saturday...............................😎
Haya mabaki ya tumbaku huwa yanapatikana wapi?
 
Haya mabaki ya tumbaku huwa yanapatikana wapi?
Kwa sasa kiwanda ni kimoja tu Alliance One, Morogoro.
Ukichukua mengi utahitaji kibali cha manispaa, kuhakikishia serikali hutayatapanya ovyo na kukera majirani.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Ona balaa la mchwa.

IMG_20210526_114711_151.jpg
 
Habari zenu wanajamvi!

Kama mada inavyojieleza hapo juu. Nimehamia kwenye nyumba yangu maeneo ya Chanika. Sijapiga tiles bado chini nina rough floor (nilikimbia changamoto ya kodi nyumba za watu 🤣🤣🤣). Sasa recently naona nyumba inavamiwa na mchwa wale wakubwa na wanajenga vichuguu vya kufa mtu.

Je, hii changamoto naitatuaje? Natumia dawa ya DKO ila nahitaji suluhisho la kudumu kabla sijaendelea na michakato mingine ya tiles na skimming.

Nakaribisha michango jengefu

🙏🙏🙏
hiyo DKO unaweka kiasi gani mkuu...unatakiwa uweke ya kutosha nicheki PM
 
Back
Top Bottom