Changamoto ya mfumo wa nactvet kushindwa kutoa avn

Changamoto ya mfumo wa nactvet kushindwa kutoa avn

Murashani GALACTICO

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2012
Posts
2,511
Reaction score
5,390
Mfumo wa NACTVET kushindwa kutoa AWARD VERIFICATION NUMBER.
USERNAME na PASSWORD walionitumia baada ya ku create account hazikubali ku log in na hata nikifanya FORGOT PASSWORD bado mfumo unanipa notification kwamba USER NAME na NAMBA YA SIMU sio Sahihi.

Mwenye uelewa wa hii changamoto naomba msaada.
 
TATIZO NI INCOMPETENCE NA KIBURI PAMOJA NA KUSHINDWA KUTIMIZA WAJIBU WA WALIOPEWA DHAMANA YA KUTOA HIZO CERTIFICATE.
KWA KIBURI NA UZEMBE HUO WAMESABABISHIA WAHITIMU WENGI KUKOSA HAKI ZAO KWANINI WAHUSIKA WASITUPIE JICHO KWA HAO WAHALIFU ?
 
Hii hata Mimi imenikuta ni wiki imeisha sasa naambiwa hivyo hivyo, sasa sijui mpango wao ukoje, ni vyema wakapitia mfumo wao na kutoa ufafanuzi zaidiii
 
Back
Top Bottom