Changamoto ya Palestina, Ugaidi duniani, sio issue ya Dini ya kiislam, bali uroho wa madaraka

Hawapo pamoja na Hamas kwa mujibu wa nani ? Wewe dogo ni mpumbavu ?!.
 
Hahaaaaa, verse za MK254

Huwa sikawii nikiwa tagged, tena zimeandikwa kwa lugha nyepesi, halafu hapo chini nimeongeza zile ambazo zinaagiza waislamu wachinje wayahudi wote

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
 
Hawapo pamoja na Hamas kwa mujibu wa nani ? Wewe dogo ni mpumbavu ?!.
Naona umepanic, ila jua uroho wa madaraka wa HAMAS unaondoka na mtoto mmoja kila baada ya dakika 10,
 
Watu wakishika mistari kama hii wanaitumia kwenye siasa ili kupata popularity
 
Uroho gani wa madaraka wewe mjinga. Uliwachagua wewe ?
Sikuwachagua mimi, ila hio haifuti ukweli kuwa maamuzi yao ya kipuuzi na misimamo yao mikali inacost maisha ya watu wengi sanaaaa,
 
Sikuwachagua mimi, ila hio haifuti ukweli kuwa maamuzi yao ya kipuuzi na misimamo yao mikali inacost maisha ya watu wengi sanaaaa,
Ulitaka wawe na maamuzi na misimamo gani ?
 
Ngumu sana narudia ngumu sana kuutenganisha uislam na ugaidi,janjaweed wanaua waislamu wenzao wenye asili ya weusi.
 
Nime summarize tu mkuu,
Ila unaweza nitajia nchi hata moja tu duniani, inayo ongozwa na watu walio ingia ikulu kwa mgongo wa dini na inafanya vizuri, haina rushwa na wananchi wake wana ustawi ?
Afghanistan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…