Kende ndiko hushambulia sana hao siafu, sijui nani kawafundisha dadeki 😀Unawaza makende tu
Wanawafukuzia majoka nyie mnawaona keroHayajawahi kukuta
Mimi nilikua mhanga wa hao sisimizi nilitafta akheri powder aah sikuona hata mmoja akikatiza hawatokani na kumwaga sukari wala kuweka mazingira ktk hali ya uchafu tena nikaapo wanatoka chini unaona mshororo mrefu mwekundu wa hao wadudu wanakera mno na wanag'ata
Kuna mtu ananisumbua sana nataka umtengeneze.Tafuta dawa. Lakini quick fix wakitokea tu weka ganda la tango....menye tango halafu weka kipande cha ganda wanapotokea. Wanakimbia wote.
Kwani wanakula majokaWanawafukuzia majoka nyie mnawaona kero
Nunua twiga gama (dawa ya mchwa ile ambayo ukichanganya na maji inabadilika rangi kuw nyeupe kama maziwa fresh)chimba eneo la uwanja wako mpaka mtaro wa upana wa 1ft urefu wa 1ft changanya hiyo dawa mwaka huko kwenge mtaro wako kote alafu fukia (ili harufu ibaki ardhini)hutokaa uone mdudu yeyote kwako (wale wanaokaa ardhini kama mchwa,kumbikumbi,msura,na nyenyeri)Imekua kero sasa, maana hawa wadudu wanasumbua sana.
Je nitumie dawa gani, kuondoa uwepo wao au kuwaangamiza
Sio siafu hawa ni kama siafu ila ni tofauti.Wanaitwa siafuu
Wa stendi mambo gani sasa haya huwa una fukuwaga makaburi!Sio siafu hawa ni kama siafu ila ni tofauti.
(Kama uliwahi kuchimba kaburi au mzoga uliofukiwa kama miezi 2 hivi ndio unawakuta hao
Mimi nilikutana nao kwenye lifti ghorofa ya kumi na tisa pale Mkapa nilitamani nifungue mlango.Mkuu si unaishi ghorofa ya Saba, walifika huko??
Kuna wakati inabidi ili ushahidi kutimia au kupata vipimo au mgogoro baada ya mtu kuzikwa si unajua serikali yetu hii au mahakama ikishaamua?Wa stendi mambo gani sasa haya huwa una fukuwaga makaburi!
Nimekupata mkuuKuna wakati inabidi ili ushahidi kutimia au kupata vipimo au mgogoro baada ya mtu kuzikwa si unajua serikali yetu hii au mahakama ikishaamua?
Imekua kero sasa, maana hawa wadudu wanasumbua sana.
Je nitumie dawa gani, kuondoa uwepo wao au kuwaangamiza
Imekua kero sasa, maana hawa wadudu wanasumbua sana.
Je nitumie dawa gani, kuondoa uwepo wao au kuwaangamiza
Wewe ulitakaje?sisimizi tu unaandika uzi
je ingekuwa kunguni 🤔🤔
NjooKuna mtu ananisumbua sana nataka umtengeneze.
Nakuja inbobo