Midazolam
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 807
- 1,340
Kuna nyumba nilipanga kilindi nimeanza kupanga kila nikipika chakula nikirudi nawakuta wamejaa,mbona nilihama na kuacha kodi,mzee mwenye nyumba alichukia hatari.nikamwambia utajiju na sisimizi wako
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app