Changamoto ya suruali za Chinos na Cadet za kuvutika kuchuja

Changamoto ya suruali za Chinos na Cadet za kuvutika kuchuja

Andres

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2013
Posts
502
Reaction score
815
Wakuu kama kichwa kinavyosema,

Mi ni mdau mkubwa wa Chinos, ni suruali yangu pendwa. Sasa changamoto ninayokutana nayo ni ukishafua zaidi ya mara 2 tu, especially zile za dark blue basi inachuja.

Nimejaribu kununua maduka mbalimbali mjini lakini naona zote ni mule mule, sasa nikahisi labda nakosea kwenye washing, maybe sabuni nayotumia, kama kuna mwenye ufahamu anisaidie.
 
Cheap is expensive wanasema. Ingia brand house utungue kitu mkataba

Wala is not about that mkuu. Nimenunua za expensive na cheap, zinatofautiana kidogo sana kwenye hili. Za bei ya juu zitapauka after kufua mara 3 mpk 4 za cheap ndo hata mara ya kwanza
 
Wala is not about that mkuu. Nimenunua za expensive na cheap, zinatofautiana kidogo sana kwenye hili. Za bei ya juu zitapauka after kufua mara 3 mpk 4 za cheap ndo hata mara ya kwanza
Zina tofauti mkuu.
Mimi kuna cardet nazonunuaga kwenye maduka ya Max ya hawa GSM, mkuu sile cardet utavaa zitachanika pasipo kupauka. Sasa kuna hizi za mtaani hizi za 17 mpaka 35, yani hizi nikinunua nikifua mara mbili haitaminiki inakuwa imepauka over chafu chafu tu.
 
Zina tofauti mkuu.
Mimi kuna cardet nazonunuaga kwenye maduka ya Max ya hawa GSM, mkuu sile cardet utavaa zitachanika pasipo kupauka. Sasa kuna hizi za mtaani hizi za 17 mpaka 35, yani hizi nikinunua nikifua mara mbili haitaminiki inakuwa imepauka over chafu chafu tu.

Mkuu sizungumzii cadet as cadet zile ngumu, nazungumzia Chinos.. Ni aina ya cadet ambazo kitambaa chake kinavutika, it’s like kitambaa flani hivi elastic..
 
Zina tofauti mkuu.
Mimi kuna cardet nazonunuaga kwenye maduka ya Max ya hawa GSM, mkuu sile cardet utavaa zitachanika pasipo kupauka. Sasa kuna hizi za mtaani hizi za 17 mpaka 35, yani hizi nikinunua nikifua mara mbili haitaminiki inakuwa imepauka over chafu chafu tu.

Maybe nakosea kwenye kuzitunza ndo maana nikaja kuomba ushauri wa kuzifua
 
Kuna mwingine nae alileta uzi wa boxer kuchoka baada ya siku chache,kiufupi nguo nyingi kwa sasa tunapigwa,hizi T shirt za 25k,cadet na jeans 35k,boxer za 5k na 10k kupata ambayo inadumu ni bahati nasibu...
nilikua mimi mkuu ila now nawaka cardet zangu ni zara org now days navizia sell kutoka store zao nanunua pia navizia tmall na taobao napat VITU ORG NA PESA NI AROUND 35 TO 40 NAPENDEZA SANA SANA
 
nilikua mimi mkuu ila now nawaka cardet zangu ni zara org now days navizia sell kutoka store zao nanunua pia navizia tmall na taobao napat VITU ORG NA PESA NI AROUND 35 TO 40 NAPENDEZA SANA SANA
hii bei n pamoja na shipping? Hv taobao na tmall ni nzuri kuliko aliexpress?
 
Back
Top Bottom