RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
it doesnt make sense. Its ridiculous!Kama mfuko unaruhusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
it doesnt make sense. Its ridiculous!Kama mfuko unaruhusu
Cardet nzuri GSM zina-range kiasi gani mkuu?Zina tofauti mkuu.
Mimi kuna cardet nazonunuaga kwenye maduka ya Max ya hawa GSM, mkuu sile cardet utavaa zitachanika pasipo kupauka. Sasa kuna hizi za mtaani hizi za 17 mpaka 35, yani hizi nikinunua nikifua mara mbili haitaminiki inakuwa imepauka over chafu chafu tu.
asant sanachukua adress ya carrier wako mpe anuani seller au mpe carrier link yenye hio sell na mkabidhi pesa atapokea mzigo na kukuletea directly mpaka dsm ,mfano umeona item na hujui cha kufanya nenda ofisini kwa msafirishaji mfano silent wape link waplace oda wewe lipia na subiri item yako
Mpe mfano wa VCCOBS au DAOKERS.
Siku moja nimeenda kununua kwa jamaa mmoja aliyekuwa ananiuzia hizi suruali bahati mbaya (kwake) na bahati nzurI kwangu akawa hana akamwambia kijana akaniletee store (mambo ya winga) nikakaa kusubiri shida nilishalipa hela 35K kuishika na kuiona nikahisi hii quality siyo ila nikajifariji kwa sababu mimi ni mteja wake wa siku nyingi hawezi nipiga
Nimetoka pale kupita pita maduka mengine nikamuona jamaa anazo nae hizi Daokers nikaenda kumuuliza bei nashangaa ananiambia 25K,ni fake kama aliyonipa jamaa iliniuma sana nikahama nakuhama duka. Ndo mana mimi cku zote huwaga staki kuwa mteja wa mtu mmoja. Hawa wauza bidhaa wakishaona ushakua mteja wao wanakupiga bei wanayotaka wao mana wanajua kwamba hujui bei.
Jamaa sijui kama alitumia japo 0.01% ya akili yake kabla haja-type alichojibu hapo juu.it doesnt make sense. Its ridiculous!
Kama upo mkoani na na hakuna ofisi je!chukua adress ya carrier wako mpe anuani seller au mpe carrier link yenye hio sell na mkabidhi pesa atapokea mzigo na kukuletea directly mpaka dsm ,mfano umeona item na hujui cha kufanya nenda ofisini kwa msafirishaji mfano silent wape link waplace oda wewe lipia na subiri item yako
chochote kifikscho dar au zanzibar mikoani ni uhakikaKama upo mkoani na na hakuna ofisi je!