Changamoto za biashara: Ajuza amenitapeli laki 3 ya tigo pesa kizembe sana

Changamoto za biashara: Ajuza amenitapeli laki 3 ya tigo pesa kizembe sana

pole sana kwa kutapeliwa lakini ilikuwa kizembe sana!
 
Mimi ni moja ya wafanya biashara wa simu pesa airtel money ,tigo pesa n.k.
Hii biashara zamani ilikuwa inalipa sana,kwa sasa move imepungua sana
1.wakala wako wengi sana
2.utapeli mwingi hasa km uliyemuweka hayuko makini.
Mwaka huu nimetapeliwa kizembe sana uwezi amini tena nilikuwa mimi mwenyewe.,niko makini sana na matapeli ila nimepigwa kizembe.

Alikuja bibi mtu mzima sana,kanipa simu nimsaidie kutoa laki4 ,simu yake ya techno inasamani kama elfu40 hivi.
Wakati niko kwenye mchakato kaniambia nipe laki3 nikampe mjukuu wangu yule pale na kweli nilimuona mjukuu wake,alidai anataka kusafiri haraka.

Kwa wakati ule nilikuwa na wateja so sikuzingatia sana na nilimwamini yule bibi.
Baadae nakuja kukumbuka bibi simuoni.
Nikasubiri kama 30 saa hivi ,nikaamua kuikagua simu ,nikakuta ina namba1 tu ,nilivyopiga haikupatikana mpaka sasa ninavyoandika hapa.
Wadau wenzangu nipeni uzoefu jinsi matapeli wanavyofanya.

Nimemsamehe coz najua nikifuatilia nitatumia zaidi ya laki3.
Daah ! pole sana mkuu , kikubwa ongeza umakini na kazi
 
Halafu bado unajiita uko makini? Jichunguze tena na tena kwa hilo tukio tu,ipo siku utataperiwa tena,ksbb hujui nini maana ya pesa
 
Hivi huwa wanatumia dawa au? Dogo dukani aliwahi kupigwa halafu maelezo hata hayaeleweki[emoji134][emoji134]
Hakuna cha dawa wala nini,ni uzembe tu wa watu,hasa mataperi wengi ni wataalam sana wa kumsoma mtu aliepo dukani,kama wanaweza kumuingia
 
Mimi ni moja ya wafanya biashara wa simu pesa airtel money ,tigo pesa n.k.
Hii biashara zamani ilikuwa inalipa sana,kwa sasa move imepungua sana
1.wakala wako wengi sana
2.utapeli mwingi hasa km uliyemuweka hayuko makini.
Mwaka huu nimetapeliwa kizembe sana uwezi amini tena nilikuwa mimi mwenyewe.,niko makini sana na matapeli ila nimepigwa kizembe.

Alikuja bibi mtu mzima sana,kanipa simu nimsaidie kutoa laki4 ,simu yake ya techno inasamani kama elfu40 hivi.
Wakati niko kwenye mchakato kaniambia nipe laki3 nikampe mjukuu wangu yule pale na kweli nilimuona mjukuu wake,alidai anataka kusafiri haraka.

Kwa wakati ule nilikuwa na wateja so sikuzingatia sana na nilimwamini yule bibi.
Baadae nakuja kukumbuka bibi simuoni.
Nikasubiri kama 30 saa hivi ,nikaamua kuikagua simu ,nikakuta ina namba1 tu ,nilivyopiga haikupatikana mpaka sasa ninavyoandika hapa.
Wadau wenzangu nipeni uzoefu jinsi matapeli wanavyofanya.

Nimemsamehe coz najua nikifuatilia nitatumia zaidi ya laki3.
Baadhi ya wazee wamejiingiza kwenye wimbi la utapeli hatar
 
Pole sana...

Kwenye biashara usikubali kumuhudumia mtu mwenye maelezo ya harakaharaka au kukuharakisha...

Atakuchanganya psychologically na utapigwa/kuibiwa...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom