Changamoto za Biashara ya Delivery kwa Bongo

Ni Ile ya kulima mahindi?
Mjomba nna biashara tofaut tofaut 4..hyo ya mahind ni project yangu ya 5 na nakaribia kuvuna mwez ujao.tena mahind yangu ni mazur balaaaa..naombea tuu nyani na binadamu wasinifanyie kitu mbaya.
 
Hapa umebeba point zote. Yaani umegusa kunakotakiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unapatikana wapi, na unafuga kuku wa aina gani
 
Naunga mkono hoja
I
 
Tangu nilipoagiza nguo nikaletewa nguo tofauti na picha niliyotumiwa ndio niliona hawa watu wa delivery wanazingua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…