Changamoto za Biashara ya Delivery kwa Bongo

Changamoto za Biashara ya Delivery kwa Bongo

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Biashara ya Home delivery inachangamoto sana hasa wateja wanapo kuwa ni Wabongo wenzetu.

Inahitaji moyo sana kufanya hii biashara na wabongo make kuna changamoto sana.

Changamoto kubwa sana ni mtu ku cancel oda dakika za majeruhi, au kupunguza quantity, au kupeleka mzigo na simu anazima.

Kuna wakati nilikuwa nafanya Delivery ya kuku walio chinjwa kwa kweli nilienjoy sana kwa Wahindi na Wazungu na nilikuwa napata shida sana kwa Wabonho wenzangu.

Swala la unapigiwa simu uandae kuku labda watatu then baada ya lisaa unaambia sory nitachukua wawili tu make nimepata dharura mtoto kauhua ghafla ilikuwa ni jambo la kawaida sana.

Siku nyingine unaandaa unapeleka na simu inazimwa mtu hapatikani kabisa na mwanzo alikuwa anasisitiza sana upeleke.

Siku nyingine unapewa oda baadae anakuambia tualishe nimepata safari ya ghafla sana au mtoto kaugua ghafla naenda hospitali.

Au unapeleka anatafuta sababu ili asichukue au unafikisha anakuambia amepungukiwa hela hivyo pesa nyingine atanimalizia wakati mwingine.

Au unapelea tna unafika swala la bei mnaanza tena ku negotiate upya na mwanzo alikuwa anajua bei.

Ila kwa Wahindi sikuwahi kukutana na Changamoto ya kwamba usilete tena mara sijui punguza idadi.

Kufanya delivery na wabongo wenzetu labda cash kwanza kitu ambacho pia huwa ni kigumu sana.

Hii ni kwa vitu vingi sana na wanao fanya hizi Biashara watakuwa nimashahidi wa usumbufu wanao upata
 
Sio kwa wateja tuu. Hata wauzaji pia.Mfano niliagiza kiatu number 7 nkaletewa number 8.
Kubadilisha inakua mlolongo mpaka unakata tamaa. Na hapo ushampa hela yake na cost ya delivery juu. Wa hivi siwapendi kabisa. Kukuletea kitu ambacho sicho ulitaka.
 
Kwasisi wa tz hizi biashara za kimtandao tunafanya tu kama hobbies nyingine yaani tunajaribu hatupo nayo serious sana. Hii mwisho wa siku inafanya tusione unafuu unaokuja na huu mfumo.

A. Wauzaji.

1. Anatangaza bidhaa au huduma bei anasema njoo inbox.
2. Anatangaza bidhaa au huduma but hatoi full description ya anachouza au huduma anayotoa.
3. Anakuwa na majibu ya jazba pale wateja wanapohoji au kidadisi kuhusu bidhaa au huduma.

4. Jambo la ajabu ni nafuu sana kwenda kununua kitu kariakoo kuliko mtandaoni, wanauza vitu kwa bei za kilanguzi sana plus wanapenda kuweka gharama za after service kama delivery charges zimuangukie mteja mwisho wa siku wateja hawaoni unafuu wowote.

5. Wauzaji wanakuwa interested kuuza tu na sio kutoa huduma kwa mteja kwa maana ya baada ya mauziano kupata mrejesho wake kuwa ameridhika ama la. Unaweza letewa kitu ukakuta ni kinyume na standard ulitaka then unashangaa ukimjulisha muuzaji anakuwa mbogo na wachache sana wanakuwa tayari kukusaidia kupata haki yako kama mteja.

6. Hakuna hati ya makabidhiano kama risiti wengi wanafanya biashara kiholela tu sababu hawana trainings za kuwa merchant wa mtandaoni.
Yapo mengine mengi sana yanayokwamisha hii kitu.

B. Wanunuzi.

1. Hawana imani na mauziano ya kimtandao.
2. Hawapo tayari kuingia gharama ya ziada na bei halisi wanaijua na wanajua wapi wanaweza pata bidhaa hiyo wakitaka kwa unafuu zaidi.
3. Wengi huagiza kama kujaribu na sio serious kuwa wanataka kuwa tegemezi ya mfumo huo wa manunuzi kwa njia ya mtandao.
4. Uvivu wa kufanya research ya anachotaka mfano hawasomi maelezo kama yakiwapo wanakwenda straight kuuliza details hata kama zipo kwenye bango.

So ili huu mfumo wa biashara mtandaoni ufanikiwe inabidi pande zote mbili wawe serious na kutokuwa na makando makando na kudeal na uhalisia wa mazingira ya kibiashara na sio kuwmbase uongo na taarifa za kusadikika.
 
Kwasisi wa tz hizi biashara za kimtandao tunafanya tu kama hobbies nyingine yaani tunajaribu hatupo nayo serious sana. Hii mwisho wa siku inafanya tusione unafuu unaokuja na huu mfumo.

A. Wauzaji.

1. Anatangaza bidhaa au huduma bei anasema njoo inbox.
2. Anatangaza bidhaa au huduma but hatoi full description ya anachouza au huduma anayotoa.
3. Anakuwa na majibu ya jazba pale wateja wanapohoji au kidadisi kuhusu bidhaa au huduma.
4. Jambo la ajabu ni nafuu sana kwenda kununua kitu kariakoo kuliko mtandaoni, wanauza vitu kwa bei za kilanguzi sana plus wanapenda kuweka gharama za after service kama delivery charges zimuangukie mteja mwisho wa siku wateja hawaoni unafuu wowote.
5. Wauzaji wanakuwa interested kuuza tu na sio kutoa huduma kwa mteja kwa maana ya baada ya mauziano kupata mrejesho wake kuwa ameridhika ama la. Unaweza letewa kitu ukakuta ni kinyume na standard ulitaka then unashangaa ukimjulisha muuzaji anakuwa mbogo na wachache sana wanakuwa tayari kukusaidia kupata haki yako kama mteja.
6. Hakuna hati ya makabidhiano kama risiti wengi wanafanya biashara kiholela tu sababu hawana trainings za kuwa merchant wa mtandaoni.
Yapo mengine mengi sana yanayokwamisha hii kitu.

B. Wanunuzi.

1. Hawana imani na mauziano ya kimtandao.
2. Hawapo tayari kuingia gharama ya ziada na bei halisi wanaijua na wanajua wapi wanaweza pata bidhaa hiyo wakitaka kwa unafuu zaidi.
3. Wengi huagiza kama kujaribu na sio serious kuwa wanataka kuwa tegemezi ya mfumo huo wa manunuzi kwa njia ya mtandao.
4. Uvivu wa kufanya research ya anachotaka mfano hawasomi maelezo kama yakiwapo wanakwenda straight kuuliza details hata kama zipo kwenye bango.


So ili huu mfumo wa biashara mtandaoni ufanikiwe inabidi pande zote mbili wawe serious na kutokuwa na makando makando na kudeal na uhalisia wa mazingira ya kibiashara na sio kuwmbase uongo na taarifa za kusadikika.
Number 1 na 3 yaani umeongea vya maana sana.
Asilimia 95 ya online sellers ni gubu wakipata maswali na hilo la njoo inbox linakera zaidi.
Huko inbox sijui wataenda wangapi. Transparency sifuri.
 
Number 1 na 3 yaani umeongea vya maana sana.
Asilimia 95 ya online sellers ni gubu wakipata maswali na hilo la njoo inbox linakera zaidi.
Huko inbox sijui wataenda wangapi. Transparency sifuri.
Mkuu kwa hayo alivyoeleza jamaa hapo juu ni kweli tupu maana hali tulionayo hadi aibu tupu mimi nina kampuni yangu ya kuagiza mizigo midogo midogo hasa electronic kutoka mataifa ya ulaya na amerika, sasa unakuta mtu anakwambia niagizie kitu fulan mpaka ifike nitakuwa tayari nina hela aisee mtu unajipinda kununua mzigo unafika jamaa unamtafuta hapatikani au anasingizia mengine.

Balaa lake linakuja pale amekuagiza kitu ambacho ni ngumu wewe kupata mteja hadi inauma sana mfano nina macomputer ya ajabu ajabu mno bei zake ni ghali sana nimebaki naziangalia tu
Screenshot_20200610-143529_eBay.jpg

Kupata tu hata mteja wa kuiulizia ni shughuli
 
Napitia the same challange aise kumbe ni desturi ya biashara hii asante umenipa namna ya kudeal na hii nshu yan alipe kabla hajapelekewa hata nusu
 
Mkuu kwa hayo alivyoeleza jamaa hapo juu ni kweli tupu maana hali tulionayo hadi aibu tupu mimi nina kampuni yangu ya kuagiza mizigo midogo midogo hasa electronic kutoka mataifa ya ulaya na amerika, sasa unakuta mtu anakwambia niagizie kitu fulan mpaka ifike nitakuwa tayari nina hela aisee mtu unajipinda kununua mzigo unafika jamaa unamtafuta hapatikani au anasingizia mengine.

Balaa lake linakuja pale amekuagiza kitu ambacho ni ngumu wewe kupata mteja hadi inauma sana mfano nina macomputer ya ajabu ajabu mno bei zake ni ghali sana nimebaki naziangalia tuView attachment 1479452
Kupata tu hata mteja wa kuiulizia ni shughuli
Duh inaumiza sana yaan mm mwanzo nilitoa chozi mtu ananisisitiza sanaaa anataka huduma mpaka unamuamini unaarrange namna ya kwenda hahahhahahahahah ukifika muda anakwambia kapata dharura dah bongo nyoso
 
Mie kuna mdau juzi ananiambia nimwagizie hadi ufike ndio achukue wee nilisoma sms nikakaa kimya maana chumba kimejaa bidhaa za watu bila hata mteja
Hahahahahahahahahahahaha dah inabidi kukaa kimya japo pesa unatamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duh inaumiza sana yaan mm mwanzo nilitoa chozi mtu ananisisitiza sanaaa anataka huduma mpaka unamuamini unaarrange namna ya kwenda hahahhahahahahah ukifika muda anakwambia kapata dharura dah bongo nyoso
Acha kabisa wacha tukomae mdogo mdogo kama mwl rtc maana nae alitukanwa sana humu ila mwisho wa siku kila mtu anamwelewa labda aliejiunga leo jf ndio hata mwamini ila jamaa ni mwaminifu hadi kwenye uaminifu wenyewe so ngoja nasi tupambane
 
Acha kabisa wacha tukomae mdogo mdogo kama mwl rtc maana nae alitukanwa sana humu ila mwisho wa siku kila mtu anamwelewa labda aliejiunga leo jf ndio hata mwamini ila jamaa ni mwaminifu hadi kwenye uaminifu wenyewe so ngoja nasi tupambane
Yeah hilo ndilo la msingi kwa sasa
 
Changamoto zote ulizoeleza nimekutana nazo Chamsingi nikukazana tu kukuza brand, nadhani baadae tutaheshimiana tu Ni swala la muda
 
Mimi ndo naingia huko kidogo kidogo nimepata kitu hapa
 
Mkuu kwa hayo alivyoeleza jamaa hapo juu ni kweli tupu maana hali tulionayo hadi aibu tupu mimi nina kampuni yangu ya kuagiza mizigo midogo midogo hasa electronic kutoka mataifa ya ulaya na amerika, sasa unakuta mtu anakwambia niagizie kitu fulan mpaka ifike nitakuwa tayari nina hela aisee mtu unajipinda kununua mzigo unafika jamaa unamtafuta hapatikani au anasingizia mengine.

Balaa lake linakuja pale amekuagiza kitu ambacho ni ngumu wewe kupata mteja hadi inauma sana mfano nina macomputer ya ajabu ajabu mno bei zake ni ghali sana nimebaki naziangalia tuView attachment 1479452
Kupata tu hata mteja wa kuiulizia ni shughuli
Nina shida na hayo macomputer ya ajabu ajabu mkuu.
 
Mkuu kwa hayo alivyoeleza jamaa hapo juu ni kweli tupu maana hali tulionayo hadi aibu tupu mimi nina kampuni yangu ya kuagiza mizigo midogo midogo hasa electronic kutoka mataifa ya ulaya na amerika, sasa unakuta mtu anakwambia niagizie kitu fulan mpaka ifike nitakuwa tayari nina hela aisee mtu unajipinda kununua mzigo unafika jamaa unamtafuta hapatikani au anasingizia mengine.

Balaa lake linakuja pale amekuagiza kitu ambacho ni ngumu wewe kupata mteja hadi inauma sana mfano nina macomputer ya ajabu ajabu mno bei zake ni ghali sana nimebaki naziangalia tuView attachment 1479452
Kupata tu hata mteja wa kuiulizia ni shughuli
Pole sana i say. Hasara hasara.
 
Back
Top Bottom