Vocal Fremitus
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,287
- 6,648
- Thread starter
-
- #21
Hahahahaaaaa mzee unatumiaje cm hujui ni aina gani? Au ulipewa zawadi haukuinunua?Nina simu hapa display imekufa nilidondosha.Aisee simu ni kali,ila sijui ni aina gn?
Ukiweka laini texts na calls zinaingia lakini huoni ni nani?
Nimezunguka sanaaaaaa but wapiii,ndo basi tena nimeiweka tu sijui cha kufanya
Huko siku hizi mbali sogea namanga tu hapoakikwama spare suluhu huwa nawalekeza Nairobi
Kuyajua kwa maana kujua vipuri vya gari lako na wapi unaweza kupata vipuri. Maana ni dhahiri huyo jamaa hakuwa anafahamu wapi pa kupata vipuri.Sio tu kujua magari, uwe na ukwasi wa kutosha [emoji23][emoji23][emoji23]
@National Anthem Lyamber mawazo yenu yanahitajika hapa viongoziMimi Nilipo Gari Niliyonayo Zinahesabika Sasa Changamoto yake ni Kuwa Inachemsha.
Gari ni BMW 320i ya Mwaka 2002.
Hii Gari Ina Changamoto ya Kuchemsha yaani unatoka vizuri asubuhi utaona inaanzakupoteza nguvu na mvuke unatoka.
Gari ipo mkoani nyanda za Juu Kusini, Kwasasa Nimeiacha Garage Fundi anashauri nibadilishe Engine.
Kwa mwenye Uzoefu na haya magari na Aliyewahi Kupata Hii Changamoto kwa Haya magari.
Msaada Hata wa mawazo.
Upo sahihi kaka. Inaonekana jamaa alinunua tu gari hakua na ABC ikitokea kifaa kimekorofisha wapi atapata replacement. Au pengine nae alifikiri dunia ni kijiji, ukitaka chochote unaagiza fasta kama alivyoagiza ford [emoji23][emoji23][emoji23]Kuyajua kwa maana kujua vipuri vya gari lako na wapi unaweza kupata vipuri. Maana ni dhahiri huyo jamaa hakuwa anafahamu wapi pa kupata vipuri.
Kama hujui aina ya simu,utawezaje kupata display?Nina simu hapa display imekufa nilidondosha.Aisee simu ni kali,ila sijui ni aina gn?
Ukiweka laini texts na calls zinaingia lakini huoni ni nani?
Nimezunguka sanaaaaaa but wapiii,ndo basi tena nimeiweka tu sijui cha kufanya
Hizo sio unique zimejaa nyingi gereji za kinondoni na mwenge. Zipo mpaka za kukata ingawa bei za spare bado pasua kichwa.Nikiokota hela lazima nivute Range Rover Sports na vogue.
Na punda kun'goa mlango wa gari it's not a joke.Khs Ukungu button ya defrost Kwny Gari huifahamu mpk ufute kioo kwa ndani?
Una contact zake mhindi? Natafuta kioo cha kia grand carnivalMi changamoto niliyoipata kwa mazda cx 5, nikioo cha mbele nilitafuta sana aisee, baadae nikawa nimepata kioo pale mitaa ya gerezani kwa jamaa mmoja hv muhidi halafu bei ya ikawa kironga 400k tu nikaweka kipya maisha yameendelea
Ukweli naenjoy sana kuwa unique tofauti na kufanana na wengine, kuna muda nikipata watu wanazani gari ya ubalozi kwa unyama ilionao, tusiogope kuwa wa tofauti
Ubadiri injini kuweka ya gari tofauti ama ya bmw?Mimi Nilipo Gari Niliyonayo Zinahesabika Sasa Changamoto yake ni Kuwa Inachemsha.
Gari ni BMW 320i ya Mwaka 2002.
Hii Gari Ina Changamoto ya Kuchemsha yaani unatoka vizuri asubuhi utaona inaanzakupoteza nguvu na mvuke unatoka.
Gari ipo mkoani nyanda za Juu Kusini, Kwasasa Nimeiacha Garage Fundi anashauri nibadilishe Engine.
Kwa mwenye Uzoefu na haya magari na Aliyewahi Kupata Hii Changamoto kwa Haya magari.
Msaada Hata wa mawazo.
JituMirabaMinneMimi Nilipo Gari Niliyonayo Zinahesabika Sasa Changamoto yake ni Kuwa Inachemsha.
Gari ni BMW 320i ya Mwaka 2002.
Hii Gari Ina Changamoto ya Kuchemsha yaani unatoka vizuri asubuhi utaona inaanzakupoteza nguvu na mvuke unatoka.
Gari ipo mkoani nyanda za Juu Kusini, Kwasasa Nimeiacha Garage Fundi anashauri nibadilishe Engine.
Kwa mwenye Uzoefu na haya magari na Aliyewahi Kupata Hii Changamoto kwa Haya magari.
Msaada Hata wa mawazo.
Uliiokota, uliiba au ulipewa?!Nina simu hapa display imekufa nilidondosha.Aisee simu ni kali,ila sijui ni aina gn?
Ukiweka laini texts na calls zinaingia lakini huoni ni nani?
Nimezunguka sanaaaaaa but wapiii,ndo basi tena nimeiweka tu sijui cha kufanya
Duuh yaani weee acha nina Tablets aina ni MPman nimetafuta kioo nimeshindwa, ilinunuliwa Swiss huko naitazama tuu hapa. Sina hamu na vitu vya peke yangu.Nina simu hapa display imekufa nilidondosha.Aisee simu ni kali,ila sijui ni aina gn?
Ukiweka laini texts na calls zinaingia lakini huoni ni nani?
Nimezunguka sanaaaaaa but wapiii,ndo basi tena nimeiweka tu sijui cha kufanya
Mimi Nilipo Gari Niliyonayo Zinahesabika Sasa Changamoto yake ni Kuwa Inachemsha.
Gari ni BMW 320i ya Mwaka 2002.
Hii Gari Ina Changamoto ya Kuchemsha yaani unatoka vizuri asubuhi utaona inaanzakupoteza nguvu na mvuke unatoka.
Gari ipo mkoani nyanda za Juu Kusini, Kwasasa Nimeiacha Garage Fundi anashauri nibadilishe Engine.
Kwa mwenye Uzoefu na haya magari na Aliyewahi Kupata Hii Changamoto kwa Haya magari.
Msaada Hata wa mawazo.
Hakika aiseeUkiwa na gari kama hizi lazima uwe unajua magari kweli! La sivyo utakutana na majanga kama haya.
Yap,ndio maana akaamua kujiongeza,hapo ni sensor ya switch tu imeleta shida,kikifa kitu kingine kikubwa,si ni mambo ya kufilisiana hayo kabisaMwanangu mil3 kwa spare tu ya gari ya kutembelea inabidi uwe na mkwanja mrefuuuu
Alishauri niweke mark 2Ubadiri injini kuweka ya gari tofauti ama ya bmw?