Changamoto za kumiliki gari "unique"

Changamoto za kumiliki gari "unique"

Mimi Nilipo Gari Niliyonayo Zinahesabika Sasa Changamoto yake ni Kuwa Inachemsha.

Gari ni BMW 320i ya Mwaka 2002.

Hii Gari Ina Changamoto ya Kuchemsha yaani unatoka vizuri asubuhi utaona inaanzakupoteza nguvu na mvuke unatoka.

Gari ipo mkoani nyanda za Juu Kusini, Kwasasa Nimeiacha Garage Fundi anashauri nibadilishe Engine.

Kwa mwenye Uzoefu na haya magari na Aliyewahi Kupata Hii Changamoto kwa Haya magari.

Msaada Hata wa mawazo.

Mnatakiwa kitafuta Coolant ina leak wapi?

Je ni kwenye water pump, Thermostat, au pipe za HVAC.... Maana ndio issues common za leak kwenye engine kama hiyo yako M54B22.

The worst ni kama kuchemsha kumepelekea leak ianze ndani ya engine. Hapa utatoboka.
 
Mimi Nilipo Gari Niliyonayo Zinahesabika Sasa Changamoto yake ni Kuwa Inachemsha.

Gari ni BMW 320i ya Mwaka 2002.

Hii Gari Ina Changamoto ya Kuchemsha yaani unatoka vizuri asubuhi utaona inaanzakupoteza nguvu na mvuke unatoka.

Gari ipo mkoani nyanda za Juu Kusini, Kwasasa Nimeiacha Garage Fundi anashauri nibadilishe Engine.

Kwa mwenye Uzoefu na haya magari na Aliyewahi Kupata Hii Changamoto kwa Haya magari.

Msaada Hata wa mawazo.
Waone https://instagram.com/east_cars?igshid=YmMyMTA2M2Y=
 
Tunakosa sana fursa. Kuna nchi ndogo na za kishamba tu watu wanaendesha ndinga za Europe kinyama tu. Tanzania tuna ushamba sana yaani kila mtu IST, Harrier, Rumion, Rav4, Hillux, Prado, Corolla, Mark x, Premio, Vanguard. Yaani ni kero. Ukiingia mtandaoni leo gari kali za Europe ni bei chee sana kuliko hizo za Kijapan ambazo nyingi ni mabati matupu, hazitulii barabarani, lakini tunalazimika wote kununua hizo za Japan. Hivi unajua BWM kali kabisa mtandaoni used unapata kwa bei rahisi kuliko Vanguard au Rav4 Miss Tanzania? Likewise, Audi, Volvo, VW Tiguan, VW Tuareg, Ford Escape, Benz nyingi ni bei affordable kuliko Toyota. Botswana tu hapo watu wako na ndinga kibao za Europe, kwa Tanzania utajuta, spea hakuna!

Hata mtoto ni rahisi sana kumpata, ishu huja kumuhudumia...
 
Mnatakiwa kitafuta Coolant ina leak wapi?

Je ni kwenye water pump, Thermostat, au pipe za HVAC.... Maana ndio issues common za leak kwenye engine kama hiyo yako M54B22.

The worst ni kama kuchemsha kumepelekea leak ianze ndani ya engine. Hapa utatoboka.
Mwanzo Kabisa ilikua inapasua pipe, yaani ikichemsha maji yantokea kwenye pipe ikiziba inatoboa sehemu nyingine tukabadilisha thermostat, water pump ikatulia kidogo nimeitumia kama miezi miwili Juzi Tar 18 natoka asubuhi nimeikagua kama kawaida maji yapo sawa natoka napandisha kimlima kidogo naona inakosa nguvu, nikamaliza mlima nikaweka pembeni kufungua bonet mvuke unatoka.

Baada ya Hapo Ikakosa Nguvu Kabisa, Ukiwasha Kuondoka Haiondoki. Kuipeleka Garage ilibidi kuivuta.
 
Mimi Nilipo Gari Niliyonayo Zinahesabika Sasa Changamoto yake ni Kuwa Inachemsha.

Gari ni BMW 320i ya Mwaka 2002.

Hii Gari Ina Changamoto ya Kuchemsha yaani unatoka vizuri asubuhi utaona inaanzakupoteza nguvu na mvuke unatoka.

Gari ipo mkoani nyanda za Juu Kusini, Kwasasa Nimeiacha Garage Fundi anashauri nibadilishe Engine.

Kwa mwenye Uzoefu na haya magari na Aliyewahi Kupata Hii Changamoto kwa Haya magari.

Msaada Hata wa mawazo.
Kama kuchemsha hapo ni water pump, tu. Badirisha water pump na thermostat mzigo unaingia kazini kama kawaida.
 
Back
Top Bottom