JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Yaani ulikuwa unatumia simu na hujui ni Aina gani? HehehNina simu hapa display imekufa nilidondosha.Aisee simu ni kali,ila sijui ni aina gn?
Ukiweka laini texts na calls zinaingia lakini huoni ni nani?
Nimezunguka sanaaaaaa but wapiii,ndo basi tena nimeiweka tu sijui cha kufanya
Mimi Nilipo Gari Niliyonayo Zinahesabika Sasa Changamoto yake ni Kuwa Inachemsha.
Gari ni BMW 320i ya Mwaka 2002.
Hii Gari Ina Changamoto ya Kuchemsha yaani unatoka vizuri asubuhi utaona inaanzakupoteza nguvu na mvuke unatoka.
Gari ipo mkoani nyanda za Juu Kusini, Kwasasa Nimeiacha Garage Fundi anashauri nibadilishe Engine.
Kwa mwenye Uzoefu na haya magari na Aliyewahi Kupata Hii Changamoto kwa Haya magari.
Msaada Hata wa mawazo.
Nikiokota hela lazima nivute Range Rover Sports na vogue.
🙂🙂🙂🙂 nyanda za juu kusini na BMW wapi na wapi hapa Dar es Salaam bwana Mad Max kanyosha mikono.. ila huyo fundi wake kiboko hataki stress ati wabadilishe engine
ila RR Velar matusi sana ile gari.. jana maeneo flani ila naingia tu na toyo anashuka mlimbwendo mtoto mkali katokeo mbingu ya saba, anashuka kwenye Velar yake piruuu namba E, kidogo ntongoze sema u busy nikamsameheKila la heri Boss.
Kama unataka starehe we vuta tu hiyo chuma.
Waone https://instagram.com/east_cars?igshid=YmMyMTA2M2Y=Mimi Nilipo Gari Niliyonayo Zinahesabika Sasa Changamoto yake ni Kuwa Inachemsha.
Gari ni BMW 320i ya Mwaka 2002.
Hii Gari Ina Changamoto ya Kuchemsha yaani unatoka vizuri asubuhi utaona inaanzakupoteza nguvu na mvuke unatoka.
Gari ipo mkoani nyanda za Juu Kusini, Kwasasa Nimeiacha Garage Fundi anashauri nibadilishe Engine.
Kwa mwenye Uzoefu na haya magari na Aliyewahi Kupata Hii Changamoto kwa Haya magari.
Msaada Hata wa mawazo.
Tunakosa sana fursa. Kuna nchi ndogo na za kishamba tu watu wanaendesha ndinga za Europe kinyama tu. Tanzania tuna ushamba sana yaani kila mtu IST, Harrier, Rumion, Rav4, Hillux, Prado, Corolla, Mark x, Premio, Vanguard. Yaani ni kero. Ukiingia mtandaoni leo gari kali za Europe ni bei chee sana kuliko hizo za Kijapan ambazo nyingi ni mabati matupu, hazitulii barabarani, lakini tunalazimika wote kununua hizo za Japan. Hivi unajua BWM kali kabisa mtandaoni used unapata kwa bei rahisi kuliko Vanguard au Rav4 Miss Tanzania? Likewise, Audi, Volvo, VW Tiguan, VW Tuareg, Ford Escape, Benz nyingi ni bei affordable kuliko Toyota. Botswana tu hapo watu wako na ndinga kibao za Europe, kwa Tanzania utajuta, spea hakuna!
Fanya mpango ukaziokote bungeni mzee baba naomba niwe chawa wakoNikiokota hela lazima nivute Range Rover Sports na vogue.
Nairobi ni makao makuu ya kila kitu Africa mashariki na kati itabaki kuwa hivyo hadi mwisho, business hub, for multinational corporations, trans-national companies, Nairobi is Nairobi for all business nairosHivi kuna siri gani? Yani kwann wenzetu wameweza sisi tushindwe?
Nilipita mahala mtu yupo na demu wake, jamaa anasema "mwanaume uyooo" mbele ya demu wake. Duh. Sura nauza ila ikifika muda wa kwenda petrol station au service kudadeki.
Mwanzo Kabisa ilikua inapasua pipe, yaani ikichemsha maji yantokea kwenye pipe ikiziba inatoboa sehemu nyingine tukabadilisha thermostat, water pump ikatulia kidogo nimeitumia kama miezi miwili Juzi Tar 18 natoka asubuhi nimeikagua kama kawaida maji yapo sawa natoka napandisha kimlima kidogo naona inakosa nguvu, nikamaliza mlima nikaweka pembeni kufungua bonet mvuke unatoka.Mnatakiwa kitafuta Coolant ina leak wapi?
Je ni kwenye water pump, Thermostat, au pipe za HVAC.... Maana ndio issues common za leak kwenye engine kama hiyo yako M54B22.
The worst ni kama kuchemsha kumepelekea leak ianze ndani ya engine. Hapa utatoboka.
Mkuu Ulipata Changamoto Gani?Sahivi najua gharama za bajaji boda daladala zoote. Hatari.
Asante Sana, Nimewacheki.
Mkuu nimeona hapo una E46 BMW, ni inakusumbua nn?Mkuu Ulipata Changamoto Gani?
Kama kuchemsha hapo ni water pump, tu. Badirisha water pump na thermostat mzigo unaingia kazini kama kawaida.Mimi Nilipo Gari Niliyonayo Zinahesabika Sasa Changamoto yake ni Kuwa Inachemsha.
Gari ni BMW 320i ya Mwaka 2002.
Hii Gari Ina Changamoto ya Kuchemsha yaani unatoka vizuri asubuhi utaona inaanzakupoteza nguvu na mvuke unatoka.
Gari ipo mkoani nyanda za Juu Kusini, Kwasasa Nimeiacha Garage Fundi anashauri nibadilishe Engine.
Kwa mwenye Uzoefu na haya magari na Aliyewahi Kupata Hii Changamoto kwa Haya magari.
Msaada Hata wa mawazo.
Hivyo Nimebadilisha Vyote Miwili nyuma.Kama kuchemsha hapo ni water pump, tu. Badirisha water pump na thermostat mzigo unaingia kazini kama kawaida.
Service sawa inakula pesa...Nilipita mahala mtu yupo na demu wake, jamaa anasema "mwanaume uyooo" mbele ya demu wake. Duh. Sura nauza ila ikifika muda wa kwenda petrol station au service kudadeki.
740i kisha nikaja 330i nikatulia na 323iService sawa inakula pesa...
Fuel station??? Ni gari gani ya mjerumani na ina engine gani?