Changamoto za kumiliki gari "unique"

Offer nilizokuwa napewa ni za laki 2 wengine laki 4 ila ukienda kuulizia bei kwao ni 900K bila gearbox yake. Ukiweka na gearbox wanaongeza laki 4.5 juu 😂😂😂 nikitazama engine ni nzima haijawahi kufunguliwa gari iliungua na moto yote ikapona engine tu. Maana moto haukufika kuiharibu kabisa mbele.

Nilikaza moyo tu ikafikia wakati nilikata tamaa njaa ilinikamata vibaya mno. Mungu si Rashidi sina hili wala lile napigiwa simu kuna mafundi wanakuja kukagua.
 
Wanakuuzia hizo BM bei affordable coz wanajua kwa kukukamatia, usichekelee huo msiba, jichanganye ununue hakuna rangi utaacha kuiona.
 
Sensor gani inauzwa 3M? Imekuwa Ferrari au Bentley?

Sensor is one of cheapest things to buy in any car.

Acheni kujazana upumbavu.
 
Choice mkuu, kwanini umpangie mtu gari la kununua wakati hela ni zake? Yaani mtu atafute yeye mwenyewe kwa jasho lake aje anunue harrier halafu wewe umuone mshamba kisa hajanunua BMW ambayo wewe unaipenda? Ukinunua wewe inatosha mkuu... asante
 
Masikini hawezi nunua gari kenya , kodi pia zipo juu
 

Ukiwasha muungurumo ukoje? Inamisi? Ukitaka kuondoka haizimi?
 
Saa zingine ushamba hua unasumbua sasa huyo ameshindwa kugoogle hio spare akaipata used au mpya?
 
Ila mbona kenya ukiangalia unakuta wanazo Subaru Forester SG5, Subaru WRX ,Mark X GRX120(old model), Toyota Supra MK 4, najiuliza zimeingiaje huko
 
😄😄 Motivational speaker wanajisemeaga kirahisi rahisi tu 'dunia Ni Kijiji spare utaagiza tu'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…