Changamoto za kumiliki gari "unique"

Nilitakaga kuingia mtego wa kununua hizo 320i ila muonekano wa mbele sikuupenda nikasema ngoja nisubiri 320i za 2012/15 zishuke bei kidogo zina muonekano mzuri. Hizo za chini ya 2012 ni bei chee ila sijazipenda.
 
Dah angeagiza Uingereza hiyo sensor kule hizo gari ni nyingi sana kama IST hapa Dar. Kwenye ma scrape yard huko zipo nyingi sana.
 
Sema Opel mbona south Africa ziko nyingi sana ulikosaje huko kuna kiwanda chao kabisa upate Nairobi?
 
Mbona unateseka mkuu? wewe nunua tu mbona wahindi pale upanga wanazo nyingi tu European za kila aina. Unatukana wabongo eti washamba kisa mtu hataki presha za gari. Wewe nunua tu acha mihasira ya ajabu unateseka moyoni kisa wabongo wanaendesha vanguard? Its free country bwana acha kutukana watanzania.
 
Ungeweka tangazo tu dada wa watu achukue mp3 player yake huenda angekubariki utelezi.
 
Gari sharti usigongee papuchi ndani hiyo ni sheria.
 
Hayo magari matatizo yake hata USA wanayajua BMW unatakiwa uwe na hela spea ni bei, pitia page za magari USA uone watu wanavyoponda hizo gari. Ila ukiwa wana be baller nunua tu
 
Hizo gari zinasumbua hata kenya japo kwa spea wako kidogo afadhali, ila hizo gari hata marekani wananunua watu wenye hela zikianza kuchoka zinasumbua.
 
Ila mbona kenya ukiangalia unakuta wanazo Subaru Forester SG5, Subaru WRX ,Mark X GRX120(old model), Toyota Supra MK 4, najiuliza zimeingiaje huko
Kwa sababu kenya kuna uchumi mkubwa zaidi kwaiyo disposable income inakuwa niyingi zaidi wabunge wakina sonko wanalipwa hela nyingi zaidi na wana mbwembwe zaidi hivyo tegemea vigari vya ajabu ajabu vingi zaidi sababu pesa za hovyo hovyo nyingi zaidi
 
Nilitakaga kuingia mtego wa kununua hizo 320i ila muonekano wa mbele sikuupenda nikasema ngoja nisubiri 320i za 2012/15 zishuke bei kidogo zina muonekano mzuri. Hizo za chini ya 2012 ni bei chee ila sijazipenda.
Ni kweli, Mwonekano wa mbele nachopenda ni vile Ipo Chini Yaani nikipishana mwenye nayo kama hii Bhasi Nafurahi. Kingine Inavyojaa Barabarani ukiingalia.

Hii Inanikamua Haswa, Hii Ikipona ni kuuza nipate Nyingine Tu Sina Kingine.
 
Ni kweli, Mwonekano wa mbele nachopenda ni vile Ipo Chini Yaani nikipishana mwenye nayo kama hii Bhasi Nafurahi. Kingine Inavyojaa Barabarani ukiingalia.

Hii Inanikamua Haswa, Hii Ikipona ni kuuza nipate Nyingine Tu Sina Kingine.
Utaiuza upate nyingine tena kama hiyo au? Una muda gani nayo toka uinunue? Je ulivyoenda kuinunua uliikagua vizuri engine?
 
Mkuu fundi anakuingiza chaka. Izo gari changamoto yake kubwa uwa ni sensors tu. usibadili Engine, mafundi wake wapo Dar maybe na Arusha zaidi. Huko uliko fundi atakudanganya tu.
Hayo magari yanahitaji vipimo zaidi kwa computer ili kubaini tatizo.
Mcheki huyo dogo anaweza kukusaidia zaidi 0682 114 311
 
Hayo madude hayataki kuosha kwenye engine kwa pressure. Yana sensor nyingi sana kama mishipa ya fahamu. Pia hayatengenezwi kwa kubahatisha. Lazima ulipime kwanza😀😀
 
Umepeleka Garage gani huko nyanda za juu kusini. Kama upo Mbeya Peleka Evolution Auto Garage wana branch yao mitaa ya Mama John. Hapo Soweto kuna mafundi wa gari za Ulaya kuna Benz,BMW kibao raia wanatoka nazo South Africa miaka nenda rudi wanatengeneza huko.

Hapo Mbalizi kwa mzungu Rena, anafanya service ya gari hizo. Ukishindwa nenda Tunduma vuka upande wa Zambia maeneo ya Parking za Basi za Lusaka na Kitwe upande wa kushoto kama unaifata reli kuna njia ya rough road(barabara ya mpaka) mitaa hiyo kuna garage za gari ndogo kuna mafundi watanzania na wazambia wana deal na gari hizo za ulaya na Japan
 
Ni kweli, Mwonekano wa mbele nachopenda ni vile Ipo Chini Yaani nikipishana mwenye nayo kama hii Bhasi Nafurahi. Kingine Inavyojaa Barabarani ukiingalia.

Hii Inanikamua Haswa, Hii Ikipona ni kuuza nipate Nyingine Tu Sina Kingine.
Peleka Evolution Garage mitaa ya Mama John au zama Soweto ndani kuna mafundi wakusaidia
 
Umeambiwa gari haitembei inachemsha kitwe anaendaje? Fundi wake anakuja kwenye gari ilipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…