Changamoto za kumiliki gari "unique"

Changamoto za kumiliki gari "unique"

Kwasasa Sijajua Ila Natamani Ninunue Gari La Hivi, Nimelitumia Karibu Miaka Miwili (Japo Nitajitahidi Zaidi Kuongeza Umakini katika kulikagua).

Kiukweli Nikubali Hili Lilikuwa Gari la Kwanza na sikuwa Mzoefu kabisa Wa Magari, Aliyenikagulia Alikuwa Jamaa yangu ila Na yeye Naona Hakuwa na Uzoefu wa Haya Magari.

Changamoto Kubwa ilitokea Kuna siku Nilienda, Carwash Jamaa wa Carwash akataka alisogeze ile kuingia na kutaka kuondoka haraka haraka akaweka reverse njiani Anapita Mwenye Kuluger mpya na kuna kimteremko badala akanyage brake akakanyaga mafuta. Akamvaa Mwenye Kuluger Ubavuni akaipindisha mpaka mlango Na Kuumia sana (Bahati Nzuri Kwa nje Gari Yangu haikuumia sana ilibonyea kidogo sana, na ikakwaruzika Taa ya Nyuma kidogo, Sasa ndani vitu vilivurugika sana... wakaniomba msamaha na kurekebisha vitu vichache maana pale pale wana garage hasa bumper nikaondoka, Baada ya Siku Mbili Ndipo Shida zikaanza Kujitokeza.
Boss, unaruhusu vipi mtu wa carwash aendeshe gari lako?
 
Nakumbuka mwaka 2019 nilikuwa na Nissan Wingroad niliagiza kutoka Japan, nilikuwa nafanya kazi mkoa wa Ruvuma kijiji cha Namtumbo. Kijiji kizima kilikuwa kinaishangaa gari yangu, ilikua unique sana kwa wakati ule na ilikuwa inavutia. Sikuwa mdau sana wa speed.

Siku hiyo nimetoka nalo kwangu niende job, asubuhi kulikuwa na ukungu wa baridi barabarani. Haikuwa rahisi kuona mbele mpaka ufute fute kioo kwa ndani. Nikapambana mdogo mdogo kumbe mbele yangu kuna jamaa alikuwa anatoka msituni na mzigo wa kuni kawabebesha punda nashtuka paap hawa hapa. Kanyaga break nikamvaa punda mmoja. Mlango wa pembeni upande wa abiria wote chini, tairi upande huo huo nalo likachomoka. Kushuka nikagundua nimekata "bearing na hub yake yote"

Ikabidi safari iishie hapo. Tukamalizana na yule mkulima kisela. Nikaita fundi, gari ikapelekwa gereji. Kimbembe kikaanza ktk upatikanaji wa ile bearing kule Songea. Kila duka nililokuwa nazunguka nikiwatajia aina ya gari hawanielewi, wanaishia kuniuliza tu, wingroad? Ndio gari gani? Zunguka sana kona zote wapi. Nikaagiza Dar ambapo pamoja na gharama za usafiri mpaka inafika Namtumbo iliteketea kama 250k, inshort mpaka gari inarudi njiani na kufunga tairi nilimaliza kama 350k wkt ingekua hizi gari zingne hata 200k nisingefikisha.

Nilikaa nalo miezi mitatu mbele akatokea mkulima mwenye wenge la magari baada ya kuuza ufuta. Nikamsukumia.
Tokea lini ikawa kijiji?
 
Boss, unaruhusu vipi mtu wa carwash aendeshe gari lako?
Hapana Mkuu Sikumpa ruhusa kuendesha, Nilipofika Nikashuka (Gari Sijazima) nikawa ninamuelekeza alioshe na kukubaliana maana ni sehemu ambayo sikuwa nimewahi kuosha Gari. Nikiwa na Mpango aniambie nipaki wapi ili aoshe. Huwezi Amini Mpaka Kesho Sikujua Aliingiaje kwenye Gari Naona Anarudi nyuma kwa speed na kuna Gari Linapita Barabarani (Sikuwa na cha kufanya, Nikabaki nimetulia kama nimemwagiwa maji) wenzie wanampigia kelele kanyaga brake kuna gari nyuma.

Haikuchukua Hata Sekunde 5 alikuwa amelifikia Gari.

Japo Hili Tukio Lilinipa Funzo kubwa mno.
 
Hata wa gereji kutest unamkatalia kabisa leta nikatest mwenyewe nitajua tatizo lililonitela limeisha au. Unampa mtu gari BMW hana hata mia mfukoni.
Hapana Mkuu Sikumpa ruhusa kuendesha, Nilipofika Nikashuka (Gari Sijazima) nikawa ninamuelekeza alioshe na kukubaliana maana ni sehemu ambayo sikuwa nimewahi kuosha Gari. Nikiwa na Mpango aniambie nipaki wapi ili aoshe. Huwezi Amini Mpaka Kesho Sikujua Aliingiaje kwenye Gari Naona Anarudi nyuma kwa speed na kuna Gari Linapita Barabarani (Sikuwa na cha kufanya, Nikabaki nimetulia kama nimemwagiwa maji) wenzie wanampigia kelele kanyaga brake kuna gari nyuma.

Haikuchukua Hata Sekunde 5 alikuwa amelifikia Gari.

Japo Hili Tukio Lilinipa Funzo kubwa mno.
 
Wakuu poleni sana,,, kwahiyo sisi wenye starlet za 98,s tulizonunua kwa milioni nne mkononi tunafaidi eeeeeh issue za spea🤣🤣🤣🤣
Nikiweka full tank nasahau kabisa.
 
Mimi Nilipo Gari Niliyonayo Zinahesabika Sasa Changamoto yake ni Kuwa Inachemsha.

Gari ni BMW 320i ya Mwaka 2002.

Hii Gari Ina Changamoto ya Kuchemsha yaani unatoka vizuri asubuhi utaona inaanzakupoteza nguvu na mvuke unatoka.

Gari ipo mkoani nyanda za Juu Kusini, Kwasasa Nimeiacha Garage Fundi anashauri nibadilishe Engine.

Kwa mwenye Uzoefu na haya magari na Aliyewahi Kupata Hii Changamoto kwa Haya magari.

Msaada Hata wa mawazo.
Kwa nini inachemsha?
Uspanic,angalia vitu vifuatavyo
1) Je thermostat ni nzima? kwa maana inafunguka
na kufunga katika joto linalokubalika?na pia
angalia radiator fen iko poa?

Thermostat inaweza sababisha kuchemka
engine kama itakuwa ime stuck close position.
fungua hiyo thermostat ichunguze.

2) Check pia kama head gasket ni nzima, kama
imeshaungua utaona vitu vifuatavyo
i) moshi mweupe kwenye exhaust
ii) fungua radiator cap utaona bubbling kwenye
coolant
iii) waweza kuona pia Oil kwenye radiator pia

3) Inaweza kuwa radiotor yako imeziba inahitsjika
Kusafishwa kama huwa unaweka maji ya kawa
ida na si recomended coolant.

Jambo la kwanza kabisa angalia radiator kama safi na thermostat kama viko poa ndipo ufikilie mambo makubwa ya cylinder head, au cylinder gasket .
 
Nakumbuka mwaka 2019 nilikuwa na Nissan Wingroad niliagiza kutoka Japan, nilikuwa nafanya kazi mkoa wa Ruvuma kijiji cha Namtumbo. Kijiji kizima kilikuwa kinaishangaa gari yangu, ilikua unique sana kwa wakati ule na ilikuwa inavutia. Sikuwa mdau sana wa speed.

Siku hiyo nimetoka nalo kwangu niende job, asubuhi kulikuwa na ukungu wa baridi barabarani. Haikuwa rahisi kuona mbele mpaka ufute fute kioo kwa ndani. Nikapambana mdogo mdogo kumbe mbele yangu kuna jamaa alikuwa anatoka msituni na mzigo wa kuni kawabebesha punda nashtuka paap hawa hapa. Kanyaga break nikamvaa punda mmoja. Mlango wa pembeni upande wa abiria wote chini, tairi upande huo huo nalo likachomoka. Kushuka nikagundua nimekata "bearing na hub yake yote"

Ikabidi safari iishie hapo. Tukamalizana na yule mkulima kisela. Nikaita fundi, gari ikapelekwa gereji. Kimbembe kikaanza ktk upatikanaji wa ile bearing kule Songea. Kila duka nililokuwa nazunguka nikiwatajia aina ya gari hawanielewi, wanaishia kuniuliza tu, wingroad? Ndio gari gani? Zunguka sana kona zote wapi. Nikaagiza Dar ambapo pamoja na gharama za usafiri mpaka inafika Namtumbo iliteketea kama 250k, inshort mpaka gari inarudi njiani na kufunga tairi nilimaliza kama 350k wkt ingekua hizi gari zingne hata 200k nisingefikisha.

Nilikaa nalo miezi mitatu mbele akatokea mkulima mwenye wenge la magari baada ya kuuza ufuta. Nikamsukumia.
Hahaha
 
IMG_0734.jpeg
 
Back
Top Bottom