CHANGAMOTO ZA KUOMBA AJIRA ZA ZIMAMOTO KUPITIA MFUMO WAO

CHANGAMOTO ZA KUOMBA AJIRA ZA ZIMAMOTO KUPITIA MFUMO WAO

Wakwetu03

Senior Member
Joined
Sep 15, 2010
Posts
194
Reaction score
87
Ndugu wanajukwaa,nimepata changamoto ya kuomba kazi kupitia mfumo wa kuomba kazi katika jeshi la Zimamoto. Nimefuata taratibu zote za kujisajili kwenye mfumo wa ajira ili kuomba kazi kama ilivyotangazwa hata hivyo napata changamoto katika hatua ya mwisho ya kuwasilisha maombi yangu kwani link ya kuomba kazi haifunguki. Naomba msaada kwa mwenye kujua namna ya kufanya ili nikamilishe maombi haya maana leo ndio siku ya mwisho ya kuwasilisha. Asanteni sana
 
Huwa wanaitaji vigezo Gani ili kujifunga nao samahani lakini
 
Back
Top Bottom