Changamoto za kupata mtoto mchanga ukiwa umri wa kustaafu, unakuwa ni Baba Babu. Dawa ni kujipanga kabla, vinginevyo ni kubebesha watu mizigo yako

Hayo mwachie Mungu, kuna watu hupoteza watoto dakika hizohizo za ustaafu, wanalazimika kuanza upya, usiombee machungu wanayopitia watu hao
Amen Amen. Mungu ni mwema!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…