Changamoto za kutahiri ukubwani

Changamoto za kutahiri ukubwani

Nilitahiriwa nikiwa na miaka 21, nyumbani, kienyeji Na bila ganzi! Sikulia wala Hata kupepesa macho sikupepesa na sikushonwa Wala sikuwekewa dawa yeyote. Nilikunywa Supu mchana na usiku na kula nyama choma, in short chakula changu kilikuwa ni myama na maji yangu yalikuwa ni damu ya ng'ombe iliyochanganywa na maziwa mgando. Nilipona automatically baada ya miezi miwili[emoji1548][emoji1548]
Wamasai mba tabu sana
 
Nivema kutahiri ukiwa mtoto kwani hata uponaji huwa ni haraka. lakini kuna jamaa yangu aliwahi kuniambia sio vema kumtahiri mtoto chini ya umri wa miaka 5 akanambia kuwa inaweza kuathiri ukuaji wa mashine nakupelekea matoto kuwa na mshine ndogo kuliko kawaida maarufu kama kibamia atakapokuwa mkubwa ..sijui kuna ukweli gani hapo jamani...
Sio kweli kwa upande wangu nilitahiriwa udogoni kwa sabb mzee wangu3 ni daktari ikawa ni rahisi nina mashine kubwa hadi inasemekana kuna msichana nimesogeza kizazi chake
 
Kanda ya ziwa hakuna utararibu wa kutahiri, ukiona mtu katahiriwa basi ni mwislamu au kakutana na zahama ya kuchekwa akiwa shuleni au kulazimishwa na bint (mpenziwe)!
Duuuh , mkono Wa sweta Sio Poa aisee , Hua unahifadhi sana uchafu , watu Wa huko wanahitaji kubadilika
 
Kutahiriwa ukubwani ni sheedah ..... Kuna jamaa alilazimishwa na mke mdogo .... akatahiriwa.... kumbe ana sukari bila kujua, basi kidonda kikasumbua hali ikawa mbaya jamaa akafa!!! ilihuzunisha sana! Wakati huo elewa alikuwa na mke mkubwa na watoto wakubwa tu! bora angeendelea tu kubaki na govi lake!
 
Nakumbuka babu alikuwa anakaa na kirungu kidogo chakutupiga ugoko au kiwiko ila mshua alale galfa kuokoa jahazi
Hahahaaa Ulikua kwenye mawazo yangu yaan na mimi nilitaka kukumbusha enzi zile babu alikua na kakirungu anakupiga kwenye vifundo vya mguu(ankle) ukidindisha na mashine inalala automatic. Miksa kukojoa kwa kukuchuchumaa dah raha sana aisee jandoni enzi zetu

Na ukitoka huko yaan unatuzwa hela na wamama na wadada ushakua mwanaume sasa unaenda kuogeshwa, stories za kule porini balaaa halafu ilikua kundi mmekusanywa watoto wengi karibu 30 na rubega zenu za kaniki

Wakati ukuta aisee
 
Nilitahiriwa nikiwa na miaka 21, nyumbani, kienyeji Na bila ganzi! Sikulia wala Hata kupepesa macho sikupepesa na sikushonwa Wala sikuwekewa dawa yeyote. Nilikunywa Supu mchana na usiku na kula nyama choma, in short chakula changu kilikuwa ni myama na maji yangu yalikuwa ni damu ya ng'ombe iliyochanganywa na maziwa mgando. Nilipona automatically baada ya miezi miwili[emoji1548][emoji1548]
Miezi miwili ? Watu tumekatwa bila ganzi 12 yrs ndani ya 2 weeks tupo wazima .Ulichelewa sana kupona na miaka nayo imekumaliza
 
Nivema kutahiri ukiwa mtoto kwani hata uponaji huwa ni haraka. lakini kuna jamaa yangu aliwahi kuniambia sio vema kumtahiri mtoto chini ya umri wa miaka 5 akanambia kuwa inaweza kuathiri ukuaji wa mashine nakupelekea matoto kuwa na mshine ndogo kuliko kawaida maarufu kama kibamia atakapokuwa mkubwa ..sijui kuna ukweli gani hapo jamani...
Huo ni uwongo hata waarabu wanatahiri mtoto ndani ya 30 days toka kuzaliwa.Ukubwa wa uume au udogo unategemea /inarithishwa na vina saba (DNA)toka kwa baba wa mtoto hakuna uhusiano na muda wa kutahiriwa.
 
Duuuh , mkono Wa sweta Sio Poa aisee , Hua unahifadhi sana uchafu , watu Wa huko wanahitaji kubadilika
Njoo Makete, mkono sweta ni Asili, ndiyo maana hii kampeni ilitembea Sana maeneo hayo. Kutairi ni utamaduni, kama haupo katika jamii haiwi issue.
 
Tutafutane mkuu tusimuliane haya. Hii kitu unapigwa kisu alfajiri umezungukwa na wamama wakiimba! Ukilia wanalia, ukikaa kimya vigelele kwa wingi. Ila hiyo ya kukaa miezi miwili ndio ukapona ulichelewa sana, inatakiwa ndani ya mwezi iwe imepona kabisa. Utakuwa hukula kilaii ya kutosha[emoji2][emoji2]
Nilitahiriwa nikiwa na miaka 21, nyumbani, kienyeji Na bila ganzi! Sikulia wala Hata kupepesa macho sikupepesa na sikushonwa Wala sikuwekewa dawa yeyote. Nilikunywa Supu mchana na usiku na kula nyama choma, in short chakula changu kilikuwa ni myama na maji yangu yalikuwa ni damu ya ng'ombe iliyochanganywa na maziwa mgando. Nilipona automatically baada ya miezi miwili[emoji1548][emoji1548]
 
Tatizo kubwa kanda ya ziwa..... kutahiri ukubwani!!

Wengi wenye miaka 50 - 80 bado!!
 
Back
Top Bottom