Changamoto za kutahiri ukubwani

Changamoto za kutahiri ukubwani

Tutafutane mkuu tusimuliane haya. Hii kitu unapigwa kisu alfajiri umezungukwa na wamama wakiimba! Ukilia wanalia, ukikaa kimya vigelele kwa wingi. Ila hiyo ya kukaa miezi miwili ndio ukapona ulichelewa sana, inatakiwa ndani ya mwezi iwe imepona kabisa. Utakuwa hukula kilaii ya kutosha[emoji2][emoji2]
Niligusisha kwenye tandiko (ngozi ya ng'ombe)
 
Nilitahiriwa nikiwa na miaka 30 tena nikiwa nimeoa tayari. Ilikuwa shida sana, ngoma inaweza kudinda with no apparent reason, sasa zile nyuzi zikivuta ni maumivu makali kweli kweli. Nilijuta kwa nini niliamua kufanya tohara.

It was a sruggle! what about you?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom