Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Tabia ya kuendesha magari kwa mkono mmoja na kutumia simu mara kwa mara waendeshapo magari huwa sipendezwi nayo maana inapunguza umakini barabarani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani uwezo na ujuzi wa kubadilisha muelekeo wa Gps yenye kuonyesha gari ipo maneno gani hata sielewi inawezekanaje, wabongo hatari.Niliwahi kuitisha Uber maeneo ya Mbagala inipeleke maeneo ya Tandika sokoni. Wakati naita range ya nauli ilikuwa kati ya Tsh 9000 hadi Tsh 11,000; wakati wa safari niliona kwenye ramani kama route imecheza na kuonesha tuko pande za Kipawa - Gongo La Mboto tunaitafuta Temeke. Kufika Tandika nauli inasoma Tsh 23,000. Nikakumbuka siku chache zilizopita nilisoma malalamiko hapa JamiiForums kwamba kuna madereva wa Uber wameanza wizi wa kucheza na ramani/route na kufanya bei ya nauli isome kubwa, nikajua na huyu amenichezea picha la kihindi. Nikagoma kumlipa hiyo Tsh 23,000 nikakomaa hadi nikamlipa Tsh 11,000 yake na kusepa.
F@l@ sana yule dereva
Una uhakika?BOLT
Kwa hiyo jumla mkawa wanne?Duuh hatari!!!
Nilishawahi kupakia ma.shoga watatu kutoka mlimani city wasio na aibu yoyote ile. Dunia inaenda kasi sana.
Una uhakika?
Naomba uzoefu wako Pisi kali kwa huduma za Bolt hapo jiji la Dodoma 🙏We ndio una uhakika!
Anachekesha sana yule jamaa[emoji28]kuna mkenya ana kipindi dstv,kinaitwa njoro wa uber[emoji38][emoji38][emoji38].
utacheka mpaka basi.
Labda bolt. Uber hauwezi kufanya hivyo vitu kaka yangu uber ipo very secure....Niliwahi kuitisha Uber maeneo ya Mbagala inipeleke maeneo ya Tandika sokoni. Wakati naita range ya nauli ilikuwa kati ya Tsh 9000 hadi Tsh 11,000; wakati wa safari niliona kwenye ramani kama route imecheza na kuonesha tuko pande za Kipawa - Gongo La Mboto tunaitafuta Temeke. Kufika Tandika nauli inasoma Tsh 23,000.
Nikakumbuka siku chache zilizopita nilisoma malalamiko hapa JamiiForums kwamba kuna madereva wa Uber wameanza wizi wa kucheza na ramani/route na kufanya bei ya nauli isome kubwa, nikajua na huyu amenichezea picha la kihindi. Nikagoma kumlipa hiyo Tsh 23,000 nikakomaa hadi nikamlipa Tsh 11,000 yake na kusepa.
F@l@ sana yule dereva
Ni Uber. I am talking from experienceLabda bolt. Uber hauwezi kufanya hivyo vitu kaka yangu uber ipo very secure....
Sema madereva kutana na watu wa kila aina wasio na aibu, hasa mashoga, na wa ku danga, yaani stori unazisikia lakini inabidi ukae kimya maana hayakuhusu. Sema daah