Ase mkuu nisaidie hap kidogo..hivi ukijaza hivyo ukaacha then baadae ukija kuingia kweny account yako ili uendelee..mbona hairespond kukupa mwendelezo ili uendelee kuingiza taarifa zako! Mm natumia cm lakn, au wenda ndio tatizo. Nisaidie plzKila kipengele ukijaza kikikamilika inasoma asilimia 100% ..kipengele cha viambatanisho vingine ndo sijaweka barua inasoma 50%
Ase mkuu nisaidie hap kidogo..hivi ukijaza hivyo ukaacha then baadae ukija kuingia kweny account yako ili uendelee..mbona hairespond kukupa mwendelezo ili uendelee kuingiza taarifa zako! Mm natumia cm lakn, au wenda ndio tatizo. Nisaidie plz
Wenda japo sidhani, kwan wew uliendelea kam kawaida.Unaendelea ulipoishia au network labda haikua sawa
Kuna shule nimekutana nayo wameomba watu 400+ na nafasi ni 1 [emoji23][emoji23] mpaka nikachoka
Hapa bila mganga, wanyonge hakuna kutoboa
Wenda japo sidhani, kwan wew uliendelea kam kawaida.
Hii ni ukishamaliza kuchagua shule ndio utaweza kuona idadi na bado idadi itaendelea mana bado deadline hvy unaweza kukuta shule mko 10 ila siku ya deadline unakuta mko 1000+
View attachment 2200340
Kwangu tangia asubuhi haifunguki,sijui huko Kwa wengineKwa mliopo online vipi mtandao uko poa muda huu?
Somo ganiHii ni ukishamaliza kuchagua shule ndio utaweza kuona idadi na bado idadi itaendelea mana bado deadline hvy unaweza kukuta shule mko 10 ila siku ya deadline unakuta mko 1000+
View attachment 2200340
Nasubiri ripoti toka kwenuKwa mliopo online vipi mtandao uko poa muda huu?
hapo hapo ulipoweka taarifa kuna sehemu pameandikwa ONDOAnimekosea taarifa za chuo inawezekana kubadilisha? msaada
Hy ya pili kutoka mwisho, wakat nna-apply ilikuwa na watu 88 wakati na-screenshot nmekuta hy 98. Hapo mpaka siku ya deadline unakuta watu 200+ 😁😁Mamamaaee![emoji1][emoji1]
Bila shaka masomo umeyaona ila bado unauliza n masomo gnSomo gani
Vp umeshaona idadi ya watu ulioomba nao ajira ya ualimu.?Nakuona Mzee wangu, pambania kombe.[emoji276]
Mm kila shule nilochagua nipo aloneBila shaka masomo umeyaona ila bado unauliza n masomo gn
Ndio mkuu unaondoa kwanza then utaongeza nyingine. Ila machaguo mwisho ni matano.ukishakamilisha maombi yako unaweza kuondoa shule ulizojaza na kuweka nyingine?