shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 842
- 1,928
Habarini wadau.
Ninachangamoto ya kiafya kidogo nipo hospitali.
Sasa nimefika hapa nakuta mambo yamebadirika serikali imeamua kutumia mifumo katika tiba
Sasa changamoto iliyopo ni tatizo la mfumo kujaza data za ugonjwa ni changamoto.
Hadi nesi mmoja analalamika anasema kama ndio hivyo mgonjwa atakuwa anatoka saa tisa tangu asubuhi maana hali ni mbaya.
Angalizo nikwamba najua serikali mna nia nzuri ya kuendana na wakati na pia kuboresha huduma isije ikawa ni kero na kuongeza vifo kwa wagonjwa maana madaktari wanatumia muda mrefu kuhudumia mgonjwa mmoja kisa mfumo.
Ushauri wangu ni kwamba serikali fanyeni haraka kuchunguza mifumo yenu.
Namalizia kwa kusema ni mwendo wa kugaragara.
Ninachangamoto ya kiafya kidogo nipo hospitali.
Sasa nimefika hapa nakuta mambo yamebadirika serikali imeamua kutumia mifumo katika tiba
Sasa changamoto iliyopo ni tatizo la mfumo kujaza data za ugonjwa ni changamoto.
Hadi nesi mmoja analalamika anasema kama ndio hivyo mgonjwa atakuwa anatoka saa tisa tangu asubuhi maana hali ni mbaya.
Angalizo nikwamba najua serikali mna nia nzuri ya kuendana na wakati na pia kuboresha huduma isije ikawa ni kero na kuongeza vifo kwa wagonjwa maana madaktari wanatumia muda mrefu kuhudumia mgonjwa mmoja kisa mfumo.
Ushauri wangu ni kwamba serikali fanyeni haraka kuchunguza mifumo yenu.
Namalizia kwa kusema ni mwendo wa kugaragara.