dooh polee sana... ila sometimes sisi wanaume bana
Huko unako movia on unaelekea wapi? nataka nikuwah huko
Dada una akiri sana
Wanawake mapenzi yanawaumiza sababu wao wanapenda toka moyoni lakini sisi wanaume tunatamani tu.
Kama unampenda kumuacha ni ngumu na hasa kama ye anakupenda pia.Kuna muda inabidi vitu vingine tujifanye hatuvioni
Kikubwa usimpe mtu moyo wako wote aisee. Wanaume ni waongo sana ukishanogewa ndo unajua ukweli. Kikubwa ukiwa na mahusiano jijengee mko wengi Pata raha yako chapa lapa as long as ni nguvu zake hata akiwa na kumi atajiju yeye
Ohoooooo!! Ndo yule ulisema wa jf? Pole sana mwaya.
Huwa sielewi kabisa hii ya kudanganya, tena wengine unakuta ameoa kabisa na anakana hajaoa.
Mie nilijifanya kupuuzia mwisho wa siku it was too much.
Mwenza pole yaani na t*ko hilo bado jitu linakutenda...lakini ilikuwaje na wewe hadi ukazama kwa mtu anaishi kabisa na mwanamke ndani na usigundue?Kuna muda najifariji hivyo ila nikiwaza analala na mwanamke mwingine wakati mimi hata bwana wa kuzugia nashindwa kuwa nae inanichoma kama pasi
If you cant resist the rape,lay down for enjoyment! Usijiumize Sana nafsi fumba macho jilie raha
ha...haaaa....haaa.... dogo UKE wenza hauepukiki kwa kuwa mwanaume anaweza kutembea na mwanamke mwingine lakini asiwe mke labda MKE mwenza hilo linawezekana.Hebu tuambiane mlio katika ukewenza ,mmewezaje?mimi siwezi maana nataka mwanaume awe na mimi muda wote na nikimpenda mwanaume awe karibu yangu kila saa kila muda,na ninataka kila saa anipe mambo sasa ukewenza nyie mnawezaje hamna hamu au?inakuwaje,
Akili yangu inajua nna mme halaf asilale kwangu akalale kwingine ,nnaishi na mwanaume lazima anipe mambo muda wote nikitaka au akitaka nampa,,nikifikiria tu kama ni ukewenza yupo na mke mwingine nahisi nyege ajabu nataka itakuwaje[emoji23]
Basi kila mmoja atajifanya hajui ukewenza semeni ukweli mlio na wakewenza tupeni ustahimilivu ikitokea na sisi tujue namna ya kurekebisha,maana sioni dalili hata ya kuwaza kumuacha G,ndio kwanza penzi linaninogea kila sehemu,zamani niliokota kokoto sasa nimeokota dhahabu nadekezwa,naringa,napendwa mpaka najisikia raha na furaha
Duh sasa mbona umempendelea baba yako pekee basi na mie baba yangu ni mkweli pia wawe wawili kwa kuanzia
Unachelewa nini Kuja kwangu?
Aisee,pole saana.
Siku ukija na uzi umemfumania G na bimdogo naomba unitag...Nakuambia hivi nishapitia wanaume wa hivyo shule kamili ninayo kichwani, G wangu ni malaika hakuna kama yeye jasiri haachi asili nakuambia,
Njoo uku tu mkuu... tujarbu kukaaa mbali na uyo jamaa
Wote tuseme amina
Kwa wewe ulivyo kweli hutaweza. Wenzako wavivu sana especially wakishapata watoto. Mara ohooo!! Siko kwenye mood, mara ohoo sijisikii vizuri, mara nimechoka acha nilale, mara ohoo!! Kila siku imekuwa chakula? Visingizio kila siku na mwanaume kila siku anatengeneza 25million na anatakiwa 21 per month wewe unampa 1 kwa week mara nne kwa mwezi. Ni wazi atazipunguzia nje na mwisho atanogewa na kuoa. Wengine alikuja anajua kuoga na kujipiga utuli lakini akishaolewa usafi unamshinda na kupunguza hamu kwa mme wake.Hebu tuambiane mlio katika ukewenza ,mmewezaje?mimi siwezi maana nataka mwanaume awe na mimi muda wote na nikimpenda mwanaume awe karibu yangu kila saa kila muda,na ninataka kila saa anipe mambo sasa ukewenza nyie mnawezaje hamna hamu au?inakuwaje,
Akili yangu inajua nna mme halaf asilale kwangu akalale kwingine ,nnaishi na mwanaume lazima anipe mambo muda wote nikitaka au akitaka nampa,,nikifikiria tu kama ni ukewenza yupo na mke mwingine nahisi nyege ajabu nataka itakuwaje[emoji23]
Basi kila mmoja atajifanya hajui ukewenza semeni ukweli mlio na wakewenza tupeni ustahimilivu ikitokea na sisi tujue namna ya kurekebisha,maana sioni dalili hata ya kuwaza kumuacha G,ndio kwanza penzi linaninogea kila sehemu,zamani niliokota kokoto sasa nimeokota dhahabu nadekezwa,naringa,napendwa mpaka najisikia raha na furaha
Pole kwa yalokukuta,wengi tuu imeshawatokea hii,u will get past this..
By the way Kuna uafadhali gani kumdate mme wa mtu zaidi ya bf?
Maana me naona bora bf coz majeshi yanaeza kuhamishwa mda wowote kuliko mme wa mtu,anakua ndo keshafungwa kwa mkewe na ndoa..
Mwenza pole yaani na t*ko hilo bado jitu linakutenda...lakini ilikuwaje na wewe hadi ukazama kwa mtu anaishi kabisa na mwanamke ndani na usigundue?
Nimekuja kugundua baadae mwenza. Nilikua mjinga na upofu wa mapenzi