Changamoto za uke wenza

Hahaha! Ukioa mtihani unakuja mwanamke akizaa,au akiwa siku zake lazima uchepuke maana ushazoea unapiga Kila siku,ndo maana mudy aliruhusu wake wanne,Kuna member mmoja humu anaitwa Pablo yeye alisema tunambeza Mohammed lakini alikuwa sahihi kuruhusu wake wengi
 
Shogaangu bora wewe ni girlfriend mie niligundua ana mke na watoto tena hapo tumeshafika mbali tunaanza na kutaka kutambulishana.
Yasikie tu kwa mwingine yasikukute kwakweli.
 
Na huwezi kuzifikia kamwe aisee. Ni sawa na upendo wa mama kwa mtoto
Upendo wa mama kwa mtoto hakika hauna mfano humu Duniani basi nimenyoosha Kichwa na miguu yote juu kuashiria nimekosa hoja nyingine
 
Kungwi mtoto kwa nini usijitegemee mpaka umtegemee mwanaume kifedha
 
Unachanganya mafaili sasa
 
Hahaha!!! We jamaa, kifungu gani hicho
 
Umeona upendo nilio Kuwa naumaanisha ndo huo sasa. Hii ya upendo wa nje nikusogeza siku ziende ukiwa na true love lazima uumie only few wanaopendana na kuvumilia na Wana enjoy. Ila huku bongoland mtu Ana partners kumi hyo true love itapatikana wapi?
Upendo wa mama kwa mtoto hakika hauna mfano humu Duniani basi nimenyoosha Kichwa na miguu yote juu kuashiria nimekosa hoja nyingine
 
I know my daddy very well. Aisee lakini upendo wake kwangu hauna mfano ataumia nikiumia tofauti na mwanaume mliyekutana utu uzima, yeye atajifanya anakupenda wakati akiwa na nyege. Akuoendaye hawezi kumuumiza, ku kudaganya kamwe tofauti na mzazi. To me true love ni ya wazazi tu the rest ni shida
Hata daddy wako anachepuka,Hilo I can guarantee,ingawa simjui
 
Kitendo cha mwanadamu kumfananisha mwanadamu mwenzie na malaika wakati wanafanya ngono pamoja ni ukosefu wa akili. Angekuwa malaika angekuoa kwanza ndio akuvue chupi.
 
Inshaalaah soon
Kama ndoa ni soon umeyajuaje ya kuwa na bwana muda wote na kumpa kila akitaka au wewe kupata kila ukitaka. Wenye experience ndio wana uwezo mzuri kujua ndoa inachosha au kukinaisha au ndoa siku zote ni honey moon
 
Unamwanaume mvivu halo

Mimi nakitaga mpaka wiki haombi na huwa anatamani niondoke KBS maana Mimi ukinikumbatia umepigwa pini ukinigusa jamaa kasha zimka


Sijawahi pata mwanamke anayetaka mambo muda wote nadhani ningestarehe sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…