Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Itakua anakupa helaShoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.
Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.
Wangu ni tofauti sio kama wanaume zenu hao
Itakua anakupa hela
Leo nmechepuka na kimchepuko changu kidogodogo kinananipa raha sana kuliko my wife nimetumia chumba elf 15 na elf 10 ya nikiompa kama asante kwa shughuli na elf300 ya bodaboda jumla 28000 nmepiga magori 2 ya uhakikaShida mwananmke akishazaa tu huwa mnaanza kiburi, kubania mzigo na kero debe sasa kuchepuka kama hamjua wanaume huwa tunatumia hela nyingi sana. Pima tu kama una boyfriend mwenye kazi huwa mnatumia sh. Ngapi kila mkikutana, halafu weka kuwa huyo ndo mumeo na akichepuka ndo hela anayoitumia kila week na wewe ndan u ambania bania
Mimi ni mume wa mtu nipo tayar kukufuta machoz yote na kukupa rah za dunia hii usije kufa bila kipata raha nakuja dm soon sawa my [emoji7]Asante mpenzi..nimepoa na niko kwwenye safari ya kumove on. bora kumdate mume wa mtu sio bf wa mtu..
Kumbe unamfahamuKwako Mwl Kashasha
Hamna wanaume wa kweli aisee labda my daddy tu, the rest ni monster walah. Hawa exist kwenye hii sayari
Mama Sabrina hakuna cha G wala nini hapa..umeamua tu kufurahisha genge
Huyu G atakuwa amemuumba tu kufurahisha genge, hayupo.
Hayupo au amejitengenezea roboti
So unapambana na hali yako [emoji2]Shoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.
Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.
Hhahahahahaj ni geresha tu mwayaaHuyu G atakuwa amemuumba tu kufurahisha genge, hayupo.
Ni robot khantweHayupo au amejitengenezea roboti