Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
Kulikua hakuna ndoa hapo dingi ako alikua anadhihirisha ufuska wake tu, ndoa zina utaratibu wake , sasa we kaja tu kutambulisha huyu ndo mama yenu mwingine kienyeji enyeji tuuu, dingi alikua muhuni tu, poleni Sana kwa yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah... no kumiliki wanawake wengi kadiri uwezavyo... shahidi yangu Jogoo
Hapo tatizo ni baba yako siyo uke wenza.
Mwaka wa sita leo naishi na wanawake wawili lawama pekee ninazopataga ni kwa nini kwa mama fulani umelala siku nyingi??
Na hapo ujue upande A ulizingua nikaenda B,siku nimerudi A ni mpole na atauliza kwa lugha ya upendo maana tofauti na hapo nitarudi B,lakini kuhusu mahitaji ya familia ni 50/50 kabisa kama A watalala njaa basi na kule B hali iko vilevile maana kama A kuna chochote nitakigawa na B wapate,sasa naomba umlaumu baba yako alinogewa akili akaweka rehani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jinsia Me wote mulemule... shahidi yangu Beberu
Ah wewe bhana... basi shahidi yangu mfalme Suleiman
Wanaume mnapinga uke wenza endapo ni mama zenu ndo victims. Ila mkiwafanyia wake zenu hua hamjali. Mkeo ni mama pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ah wewe bhana... basi shahidi yangu mfalme Suleiman
Sisi mdingi wetu alikuwa anasema nataka kuowa mchina mbele ya Mama,, Kila akilewa analeta story hizo hizoo tuu... Imepita Kama miaka 2 akawa hazungumzii kuhus huyo mchinaa, ikabidi mdogo wangu amkumbushee "baba eti mamdogo mchina Yuko wapi?? "... [emoji3],, Dogo alikula banzii la hatariii chaliii; siku 3 hakwenda skuli...[emoji1787]!
Kumbe baada ya kufatilia yule mchina alimtapeli Kama milion 12 ... Mpka leo yupo na mkewe fresh tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
GoodMwanamke akitoa comment hii namwelewa, hata mvulana nitamwelewa ila mwanaume aliyedumu katika ndoa miaka 10+ nitamuita mnafiki tu! Hakuna mwanaume anapenda kuoa mke wa pili au kuwa na michepuko bali mkewe anasababisha financial services oh Financial Analyst
NakubaliNdio hapo sasa!!! Yeye baba yake hakua na msimamo na familia yake hakuiheshimu ndio maana yote yakatokea
Sisi kwetu kwanza ni marufuku kusikika neno wa kambo sijui, wote ni mama tofauti ndio hapo mamkubwa/mdogo bibi ni bibi na kokote mtu anapojisikia kwenda anaenda (kila mke na mji wake) mpaka ujue undugu ni kwasababu ya babu tu labda mtu akuambie tu
Na wajomba zangu wameoa wake wawili wawili na wala hakuna shida yoyote tuliyosikia
Basi acha nicheze karata ya mtume Muhammad...suleimani sio aspirin.
lakin sababu kubwa ya kuanguka kwa suleiman ilikuwa ni kwa sababu ya ishu ya kuwa na wanawake wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Samson alikuwa na mke mmoja... Delila. Nadhani unajua kilichomtokeasuleimani sio aspirin.
lakin sababu kubwa ya kuanguka kwa suleiman ilikuwa ni kwa sababu ya ishu ya kuwa na wanawake wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
We ungekuwa mke wa Yona ungeamini alimezwa na Samaki? Punguza wivu mama wa mahelaasiejali, asie wa kujifunza, wa kutaka kurudisha maumivu ya mama yake ndio atafanya hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hojaWanaweke punguzen wivu mmeumbwa kwa ajir yet lazm tuwaoe weng weng kutokan na uwezo wa mwanaume..
hata mmoja sawa ila kikubwa tuwaoe
Ila hata huyo mmoja anaweza kuwa mshirikina.