Naona dalili za kufanywa mke mdogo hapa hebu njoo piemuni kwanzaSame to you!
Uwe mwaka wa mafanikio makubwa sana kwako. Nitafurahi likirudi maana nalipenda lile jina. Nkikumbuka yale ya kwa waziri mkuu ndio hahahahahaah
Yaani kicheko nilichoangua ni hatari hahahahahahNaona dalili za kufanywa mke mdogo hapa hebu njoo piemuni kwanza
Kuna kaukweli ndo maana umecheka hivyoYaani kicheko nilichoangua ni hatari hahahahahah
“Mkaidi muadhibu kwa kutokwenda kulala kwake”.... hii ni adhabu..? [emoji848][emoji848]
Laveyan satanism, moja ya kitabu kitakatifu cha kwetu ni pamoja na babylonian talmud
Leo Kuna mada nilikuwa naisikiliza wasafi tv kwa kweli niliipenda.Ooh. Sorry kwa kudhania wa kike. Though mama zetu akishamchukia mke mwenzake utaambiwa kila baya kuhusu babako achikia mbali mamako mdogo.
It is very wrong kulaani uke wenza kwa kisa kimoja tu cha nyumbani kwenu.
Nilikuwa na imani Kama yako. Niliapa kwa kila mtu kabla ya kuoa kuwa hutakuja kusikia Nina vitu Kama hivi Mara mtoto wa nje Mara sijui michepuko Mara sijui MKE wa pili,yah nishakuwa, ila siwez upumbavu wa kuongeza mke. nawaachia washamba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una mauongo mengi Sana. Hakuna aliyeoa anaweza kuja na story ya baba na mama yake hapa wakati tayari ana ya kwake yanayomuweka bize Na kuhitaji kichwa chake kwa asilimia kubwa kudeal nayonishaoa, nafurahia na hata kama akiniudhi sioi wa pili. ukomavu wa kili sio kuoa. kuoa ni step ya maisha ..kuna watu wa umri wako hawajoa ila wana akili zaid yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Historia ya binadamu haikuanzia kwa Abraham, bali kwa Adam na Eva, tufate hapaUmesahau akina abraham waliozaa na mahouse girl wao, tabia hii iendelee?
Kusema simple ila yaumiza moyo, ndomana mwenzetu kayasema, yasingekuwa ya uchungu angepiga kimya hata mzee hasingemwambia kama nilinuniwa na Dada zako.Na wanajua ndoa za uke wenza ni heka heka adi mnazeeka......ila mawifi wakupende, wasikupende, kama kaka kapenda awana nafasi
Na yeye acha yamuume kisa cha kuingilia ndoa ya mwenzie ni nn? Kaja na hekaheka zoooote afu kaonekana kama mchawi flani ivi wa maisha ya mwenzakeKusema simple ila yaumiza moyo, ndomana mwenzetu kayasema, yasingekuwa ya uchungu angepiga kimya hata mzee hasingemwambia kama nilinuniwa na Dada zako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee.Shida ya wake wa pili wengine ushirikina.
Kuna mahali kwenye biblia inapoonyesha watoto wa adam na eva waliooana?Historia ya binadamu haikuanzia kwa Abraham, bali kwa Adam na Eva, tufate hapa
Sent using Jamii Forums mobile app