Changamoto za uke wenza

Changamoto za uke wenza

Kwa hiyo unataka kutuambia sie madereva wa Magari makubwa ambao sometimes tunakwama Congo mwezi mzima tunachapiwa? Vipi wife wa rubani nae atakuwa anachapiwa tu maana hawezi kurudi nyumbani kila siku. Mwanamke kuigawa nje ni tabia tu wala si kusema hawezi kuvumilia siku mbili mpaka zamu yake ifike.
 
Kwa hiyo unataka kutuambia sie madereva wa Magari makubwa ambao sometimes tunakwama Congo mwezi mzima tunachapiwa? Vipi wife wa rubani nae atakuwa anachapiwa tu maana hawezi kurudi nyumbani kila siku. Mwanamke kuigawa nje ni tabia tu wala si kusema hawezi kuvumilia siku mbili mpaka zamu yake ifike.
Mkuu mimi sikulazimishi kuamini mnachokiamini ,
ila usia wangu usijisahau jaribu kufanya utafiti na ziara za kushtukiza ,
usipende kumwambia kila unapirudi au akajua ratiba zako za safari,litakusaidia kujua mengi ,maana wapo pia wanao jiheshimu na wapo ambao hawajielewiii

ila kwanyinyi madereva Doh ni hatar ila ngoja wengine watakuja kukueleza na wao
 
Umeshakuwa katika ndoa za mitala?!


Ukweli ni kuwa hamna mwanamke anayetaka mumewe aoe mke mwingine


Kama unampenda mumeo siku akikwambia anataka kuoa mke mwingine mapenzi yatapungua kwa asilimia kubwa kama sio kwisha
hapana Ila hata km nikiwepo sichepukiii
 
hapana Ila hata km nikiwepo sichepukiii

Usisemee situation ambayo hujakutana nayo


Baba yangu aliniambia nisije kukataa mtt km si wangu na nijiepushe kuzaa watoto hovyo mfano kuwa na watt 3 na kila mtt ana mama yake sikumuuliza kwann lkn nw naelewa kwann
 
Umeshakuwa katika ndoa za mitala?!


Ukweli ni kuwa hamna mwanamke anayetaka mumewe aoe mke mwingine


Kama unampenda mumeo siku akikwambia anataka kuoa mke mwingine mapenzi yatapungua kwa asilimia kubwa kama sio kwisha
Uko sahihi sana mkuu
 
Kwanza mke wa kwanza huwa ni mkubwa sana na huwa ana watoto wakubwa nyumbani ,mtu ana miaka 49+,50 huna haja ya kuwa na wasiwasi

Mke wa pili kaolewa kwa mapenzi yake na kupenda

Halafu siku zote wanawake wanaokuwa kwenye polygamy ni wana dini Fanya tafiti kuna mmoja huku mtaani ni mke mwenza tokea mafuriko yatokee mume wake hakurudi tena nilimsikia akiwalalamikia akina mama kuwa ni miezi 9 hajamuona mume wake na kashikwa ,angekuwa mwingine hapo kitambo amechepuka wengi ni wale waliolelewa kidini dini


Huku mtaani kuna wanawake ambao ni zaidi ya 20 wapo kwenye ndoa naweza kukuonyesha na hawapo kwenye polygamy lakini wanachepuka balaa

Tafiti yangu mm hawa wenye ndoa moja ndio kiboko ase tena wale wa maofisini na uswazi uswaZi
 
Upo sahihi kabisa mkuu cha msingi tu kila baada ya miezi mitatu unawapima afya zao ili kuangalia kama wamekwisha jisajiri kwenye upande mwingine
 
Kwanza mke wa kwanza huwa ni mkubwa sana na huwa ana watoto wakubwa nyumbani ,mtu ana miaka 49+,50 huna haja ya kuwa na wasiwasi

Mke wa pili kaolewa kwa mapenzi yake na kupenda

Halafu siku zote wanawake wanaokuwa kwenye polygamy ni wana dini Fanya tafiti kuna mmoja huku mtaani ni mke mwenza tokea mafuriko yatokee mume wake hakurudi tena nilimsikia akiwalalamikia akina mama kuwa ni miezi 9 hajamuona mume wake na kashikwa ,angekuwa mwingine hapo kitambo amechepuka wengi ni wale waliolelewa kidini dini


Huku mtaani kuna wanawake ambao ni zaidi ya 20 wapo kwenye ndoa naweza kukuonyesha na hawapo kwenye polygamy lakini wanachepuka balaa

Tafiti yangu mm hawa wenye ndoa moja ndio kiboko ase tena wale wa maofisini na uswazi uswaZi
Mkuu unachosema ni sahihi ila wengine wanaolewa wapo wapo tu ,na kubwa nilichokuja kugundua wengi wanakuwa vibinti bado vina ile Ashq jonoon maana havituliii ba wapo wale hamdillah mungu amewastiri nao wakastifika.


Nilichojaribu kusema kwenye uzi wangu si kuponda hili jambo la hashaaa,bali ni kuvubuwa changamoto ambazo zimejificha ,maana yote haya niliyo yaeleza hapo ni mambo ambayo yanafanyika kwa usiri mkubwa kwa hali ya kawaida huwezi yaona ....
 
Upo sahihi kabisa mkuu cha msingi tu kila baada ya miezi mitatu unawapima afya zao ili kuangalia kama wamekwisha jisajiri kwenye upande mwingine
Sawa kabisa mkuu ndio lengo langu la kuleta uzi huu kuwa watu wawe na tahadhari wasiwe wenye kujisahau
 
Upo sahihi kabisa mkuu cha msingi tu kila baada ya miezi mitatu unawapima afya zao ili kuangalia kama wamekwisha jisajiri kwenye upande mwingine
Unajua kuchipuka mkuu hakuonekani usoni na wala huwezi mzania mtu na hata ukiambiwa unaweza bisha .
 
Kuchepuka ni tabia tu na tamaa za kimwili binadamu anakuwa nazo..
 
Back
Top Bottom