Changamoto za uke wenza

Changamoto za uke wenza

Shoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.

Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.
Dooh ngoja nikusaidie kusikitika.... It's hurts mno hiyo situation ni ngumu kumeza nakuombea upate nguvu za kuvuka hapo soon...
 
Hebu tuambiane mlio katika ukewenza ,mmewezaje?mimi siwezi maana nataka mwanaume awe na mimi muda wote na nikimpenda mwanaume awe karibu yangu kila saa kila muda,na ninataka kila saa anipe mambo sasa ukewenza nyie mnawezaje hamna hamu au?inakuwaje,

Akili yangu inajua nina mume halafu asilale kwangu akalale kwingine ,ninaishi na mwanaume lazima anipe mambo muda wote nikitaka au akitaka nampa,,nikifikiria tu kama ni ukewenza yupo na mke mwingine nahisi nyege ajabu nataka itakuwaje[emoji23]

Basi kila mmoja atajifanya hajui ukewenza semeni ukweli mlio na wakewenza tupeni ustahimilivu ikitokea na sisi tujue namna ya kurekebisha,maana sioni dalili hata ya kuwaza kumuacha G,ndio kwanza penzi linaninogea kila sehemu,zamani niliokota kokoto sasa nimeokota dhahabu nadekezwa,naringa,napendwa mpaka najisikia raha na furaha
Bado hayajakukuta.Utakuja kuhadithia. Sisi wanaume sio wa kuridhika na papuchi moja
 
Acha tuu. Kuna muda nawaza mpaka naamsha vidonda vya tumbo ila ndo moyoo
Usijishushe thamani dada, kama unaumia ujitahidi kukata mawasiliano.

Mzigua nnakupendea hapo, unasemaga ukweli.Kuna vitu huwa unaweka wazi wengi hawawezi kuviweka wazi.

Pole sana.
 
Asante kaka. Nitajitahidi
Usijishushe thamani dada, kama unaumia ujitahidi kukata mawasiliano.

Mzigua nnakupendea hapo, unasemaga ukweli.Kuna vitu huwa unaweka wazi wengi hawawezi kuviweka wazi.

Pole sana.
 
wanaume wako 60 wote wanataka kuoa na wanawake wako 200 wote wanataka kuolewa kwa huo uwiano usiulize et wanawezaje wewe jua kwamba mmeo ni wako peke yako ukiwa nae ndani ila akitoka tu nje ni wa wengi huyo uke wenza si lazima akuolee mwingine ila kuchepuka tu ni uke wenza sema tu haujahalalishwa
 
Back
Top Bottom