Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo tatizo ni baba yako siyo uke wenza.
Mwaka wa sita leo naishi na wanawake wawili lawama pekee ninazopataga ni kwa nini kwa mama fulani umelala siku nyingi??
Na hapo ujue upande A ulizingua nikaenda B,siku nimerudi A ni mpole na atauliza kwa lugha ya upendo maana tofauti na hapo nitarudi B,lakini kuhusu mahitaji ya familia ni 50/50 kabisa kama A watalala njaa basi na kule B hali iko vilevile maana kama A kuna chochote nitakigawa na B wapate,sasa naomba umlaumu baba yako alinogewa akili akaweka rehani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Za kiunoni zenyewe watoe wapi!!! Wanajichetua tu.Na ana uwezo sana kiuchumi huyo shemeji yako au ndo anasambaza tu umaskini na hao watoto 13? Afu maskini ndo tunapenda zaidi mitala sijui ndo tunajitutumua angalau tuonekane although hatujakosa nguvu za kiuchumi basi tuna za viunoni mweeh
Uko sahihi mkuuHaswaaaa. Baba yake pengine hakufata utaratibu wa kuwa na mke wa pili yeye aliliendea tu hilo suala halafu anataka alaumu mfumo mzima wa polygamy
Wanagaa gaa na upwaZa kiunoni zenyewe watoe wapi!!! Wanajichetua tu.
Hakikisha wanapata haki ya ndoa to the maximum, hii inawezekana maana wote wanakuwa wamekukumbuka kwa nyakati tofauti kwa sababu unaishi nao kwa nyakati tofauti kuna kahali flani ka kukumiss.Mkuu hebu tumegee siri yako ya mafanikio katika maelewano yao just tips tuu, zitusaidie wengine
Hakikisha wanapata haki ya ndoa to the maximum, hii inawezekana maana wote wanakuwa wamekukumbuka kwa nyakati tofauti kwa sababu unaishi nao kwa nyakati tofauti kuna kahali flani ka kukumiss.
Ukielezwa kezi za upande wa pili ziache hukohuko usihame nazo ila zipokee na kuahidi kuzifanyia kazi.NB:wake wenza kesi ndogo ndogo ni kawaida.
Hakikisha mahitaji ya msingi yapo kila familia na yakikosekana basi iwe kwa pande zote mbili.
Nguo,wanunulie kwa usawa.
Usikubali wawe marafiki,lakini kemea uadui kati yao na mkaidi muadhibu kwa kutokwenda kulala na siyo kumnyima mahitaji.
Hizo chache zinatosha mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha.... mie nazitaka kama pumzi vile sijui kwa kiwango gani ila sitaki kuzikosa 😃😃Mtakahela, unakuwa unatakaga hela shin ngapi kwani?? (Kidding)
Usikubali wawe marafiki,lakini kemea uadui kati yao na mkaidi muadhibu kwa kutokwenda kulala na siyo kwa kumnyima mahitaji.
Hana uwezo hata watoto wengine inabidi asaidiwe na ndugu kusomesha may be ndio maana wake zake wametafuta wanaume wengineNa ana uwezo sana kiuchumi huyo shemeji yako au ndo anasambaza tu umaskini na hao watoto 13? Afu maskini ndo tunapenda zaidi mitala sijui ndo tunajitutumua angalau tuonekane hatujakosa nguvu za kiuchumi angalau tuna za viunoni mweeh
98% ya familia za mitala hazinaga amani wala maelewano kubali kataa lakini ndo ivo, ata wawe wanaishi mikoa tofauti hao wake wenza yaani hakunaga.....na wengi walio oa mara nyingi ukiongea nao lazima akwambie anajutia kuoa mke zaidi ya mmoja ni kwanini???
😀😀😀😀😊Hahahaha.... mie nazitaka kama pumzi vile sijui kwa kiwango gani ila sitaki kuzikosa 😃😃
anasikitisha sana, wake wakipata maumivu lazima apate mumeMi shemeji yangu wake zake wanaelewana sana lakini ndio kila mtu ana mchepuko wake ila shemeji yetu ameshajua tunamuonea hata huruma aanaishia kunywa mipombe tu kachakaa hafai halafu wake zake wanajiremba warembo hao kufukuza anashindwa tayari ana watoto 13 yaani anatiaga huruma
Hajalazimishwa kubaki Kuna wanaoweza wanabaki wanaoshindwa wanaachia kijiti kwahiyo siyo utumwa ni maamuzi ya watu.
Dini yangu na imani yangu inaniambia adam alikuwa na wawili LILITH na EVA so wacha iendee kama vile babu yetu ADAM alivyofanyaWanamme kuna muda huwa wanajisahau sana. BTW Adam and Eve were two in Eden this proportionality should keep running esp for we Christians.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dini yangu na imani yangu inaniambia adam alikuwa na wawili LILITH na EVA so wacha iendee kama vile babu yetu ADAM alivyofanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote na nani? Nishakuambia akili za baba yako usizifanye ni akili za wanaume wotewote mnaanza kwa kusema hivyo coz unatetea uamuzi wako ila baadae inakuwa movie nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani jamani, kwanza kabisa happy new year na lile jina ulipendalo ntalirudisha kwa ajili yakoUnanimalizaga sana. Na ninavyolipenda lile jina lako la zamani sasa
Same to you!Jamani jamani, kwanza kabisa happy new year na lile jina ulipendalo ntalirudisha kwa ajili yako